Kwa nini siku hizi Zitto Kabwe ameaamua kujachia midevu kibao

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwann Mungu alitupa ndevu wanaume?
 
Mmmh! too much harmful
Mpaka ndevu za zito tuzijadili
 
Eti wewe ni Post-graduate candidate halafu unakuja na mada ya kuhoji ndevu za mtu!!

Mchunguze tena utuambie anavaa boxer rangi zipi kwa nyakati hizo ulizozitaja.
 
Eti wewe ni Post-graduate candidate halafu unakuja na mada ya kuhoji ndevu za mtu!!

Mchunguze tena utuambie anavaa boxer rangi zipi kwa nyakati hizo ulizozitaja.

Soma maana ya hili jukwaa. Huku siyo siasa.
 
Nimeongea na mkewe,kaniambia UNGEIONA MIVU....mbi ya huko chini,UNGEIZUNGUKA DUNIA KWA KICHEKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…