Ulivyoandika tu hivi "mchongo wa MO" umejitambulisha tayari kuwa we ni Uto lia lia [emoji23] [emoji23]
Hebu itahidi kusaidia Uto wahame kwenye mfumo wa NBC league yenye kuruhusu mchezaji aliye offside to go hadi kufunga, badala yake wajipange kutumia ujuzi wa kisomi kupata mabao halali kama yale ya CR walivyowalamba 3 kavu [emoji16][emoji16]
Hiyo ligi ya CAF hainaga magoli ya kuotea ama kununua.
Mie ni shabiki wa Simba nipo sawa kabisa, iweje wewe uwasemee mashabiki wa Simba?
Nenda tu ukadili na kuchomoa mwiko nyuma.
Simba ni ile ile nguvu moja.