Kwa nini tunatamani mahusiano na wazungu au ni kwa nini wazungu wanatutamani?

Kwa nini tunatamani mahusiano na wazungu au ni kwa nini wazungu wanatutamani?

wanawachuna tu,hata hivo wazungu huwa wanakutana makahaba,ukiona mzungu yupo relationship na binti wa kiafrica basi ujue huyo binti historia yake haikuwa nzuri.
 
Ao wazungu wenyew mbona wanachepuka sana tu.

They know how to do it bila mkewe kuhisi wala kujua ndio maana divorce ya Mzungu ikija inakuwa surprise shocking na valentines day ndio siku ya kaachwa .not fake people wazungu .ila fake smile Mzungu ndio mwenyewe mwafrika akicheka sio fake .wazungu save money na mwafrika spend all of it.mzungu hahongi wala hachunwi atakupa pesa akitaka yeye sio wewe .mzungu very suspicious
 
wanawachuna tu,hata hivo wazungu huwa wanakutana makahaba,ukiona mzungu yupo relationship na binti wa kiafrica basi ujue huyo binti historia yake haikuwa nzuri.

Mie nimeolewa na Mzungu alikuwa second boyfriend wangu an he married me Mwaka wa kumi huu.mzungu anapenda haswa mtanzania kwa Sababu Tanzanian women are very very calm .Watu wengi they need to use drugs to be calm .ushaona black america akikasirika wewe au m nigeria utakoma.
 
Shkamoo pesa! Wanawapenda wazungu coz mawe c tatzo kwao
 
Jibu moja tu wanaume weusi wanachepuka, na wanawake weusi wanajua Kua wanaume weusi wanawaua wao Kua wanachepuka ndio maana wakaona bora waende kwa wazungu ambao hawajui Kua wanawake weusi wanachepuka! Kitu
Kingine pesa za kula bata wanaume wengi wanaishi ulaya wengi wana malengo ya maisha mazuri hawapo tayari kutumia pesa hovyo hovyo Kama
Wazungu ambao amezaliwa baba yake Hana shida wala hafikilii kumsaidia ndugu yeyote ndio maana wasichana weusi wanaenda kujibanza huko! Kitu kingine
Wanaume wanao wapata wasichana weusi ni wale watalaka unakuta mzungu ameoa karibia ndoa 3 wazungu wenzie wamemkimbia sasa anakutana na mtoto
Kutoka bongo anakiu ya starehe ndio a nalala na mbabu! Wa miaka 62! Wasichana wachache sana wanaolewa au kutoka na wazungu under 45 hata Kama msichana ana 22-26!!
Wazungu wanachepuka zaidi ya waafrika ila wanatumia Akili.mwanaume wa kiafrika Mara arudi asubuhi mara nyumba ndogo.mzungu atakuwa mkweli atakuambia nimeoa unasemaje ? Mwafrika sijaoa nawakati kaoa au mke wangu hafanyi Hivi na vile
 
labda ka sababu wanarangi tofauti kwa hiyo superiority complex itatake place........ na always mwafirika anajiona inferior kwa muzungu kwa wale wasiojielewa.......... sasa hapa kipengele cha divison of power inakuwa ipo saiya kutoka na inferiority......... superior culture goes together with with inferior culture hayo tu........... mafahali wawili hawakai zizi moja....
 
Wazungu hapana kwakweli, wakwende huko na vi utambi vyao....
 
wanawachuna tu,hata hivo wazungu huwa wanakutana makahaba,ukiona mzungu yupo relationship na binti wa kiafrica basi ujue huyo binti historia yake haikuwa nzuri.
hapo naomba ufafanuzi
 
mie nimeolewa na mzungu alikuwa second boyfriend wangu an he married me mwaka wa kumi huu.mzungu anapenda haswa mtanzania kwa sababu tanzanian women are very very calm .watu wengi they need to use drugs to be calm .ushaona black america akikasirika wewe au m nigeria utakoma.
huenda pia una salio la kutosha
 
wazungu wanachepuka zaidi ya waafrika ila wanatumia akili.mwanaume wa kiafrika mara arudi asubuhi mara nyumba ndogo.mzungu atakuwa mkweli atakuambia nimeoa unasemaje ? Mwafrika sijaoa nawakati kaoa au mke wangu hafanyi hivi na vile
hii mpya kwangu
 
Watu wapo kikazi zaidi wanatafuta pepaz mkuu...
Mbaya zaidi nia ya mlimbwende iwe hiyo , kisha mzungu anaekuja mpata ni kishuka sipati picha sijui inakuaje hapo baadae baada ya kumtumia
 
wanaume weusi especially hawa wetu wa kibongo ni sheededer! hawana msimamo, wana ajenda zao za siri na wapo kimaslahi zaidi. kwa mfano kama unaolewa na mwanaume wa ki-TZ mkiwa marekani ni lazima kuna kitu anataka kwako, makaratasi au umlipie bills....wengi wao ni wavivuuu wanataka mteremko. ila ukipata mzungu anayeshughulisha either kuajiriwa au kibiashara ataku-support tu na akikuchoka atakwambia siyo hawa wetu akikuchoka atakuletea mchepuko na ukimwi juu!
 
Wazungu ni straight foward jmn c ka wanaume wa kibongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
labda ka sababu wanarangi tofauti kwa hiyo superiority complex itatake place........ na always mwafirika anajiona inferior kwa muzungu kwa wale wasiojielewa.......... sasa hapa kipengele cha divison of power inakuwa ipo saiya kutoka na inferiority......... superior culture goes together with with inferior culture hayo tu........... mafahali wawili hawakai zizi moja....

waafrika tupo inferior kwa mzungu tupende tusipende ndio ukweli wenyewe. waafrica pekee ambao hawapo inferior kwa mzungu ni wale bushmen wa bitswana. but as ling as unaishi maisha ambayo 50% ya budget ya nchi yako inategemea wao i dnt see how u cn say u not inferior to them.
 
wanaume weusi especially hawa wetu wa kibongo ni sheededer! hawana msimamo, wana ajenda zao za siri na wapo kimaslahi zaidi. kwa mfano kama unaolewa na mwanaume wa ki-TZ mkiwa marekani ni lazima kuna kitu anataka kwako, makaratasi au umlipie bills....wengi wao ni wavivuuu wanataka mteremko. ila ukipata mzungu anayeshughulisha either kuajiriwa au kibiashara ataku-support tu na akikuchoka atakwambia siyo hawa wetu akikuchoka atakuletea mchepuko na ukimwi juu!

Endelea kudate na wazungu sie wabongo tuache... at the end utajikuta na wewe umekuwa mdhungu et
 
Back
Top Bottom