Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,171
Mimi si mtaalamu wa uchumi wa la mtaalamu wa fedha, lakini nna wazo ambalo naomba wadau tulijadili. Kinachoonekana hivi sasa ni kwamba watu wengi sana wana cash money either kwenye masefu, uchagoni, au hata chini ya ardhi, sina uhakika pia kama hili ni kosa kisheria especially kwenye hii new tz order. Hii imedhihirika hata wakati wa kurudisha fedha za EPA ambapo kuna watuhumiwa walirudisha hizo hela cash kwenye mabegi. Kwa maana hiyo nadhani mitaani kuna hela nyingi tu chafu na ni mabilioni kama sio matrilioni. Hela hizi zinaweza kuwa aidha kutokana na drugs, ufisadi mabao haujawa exposed, illegal arms dealing na hata labda viungo vya binadamu who knows!!!!!!!
Hivyo basi si busara kwa serikali kubadili fedha kipindi hiki na ikiwezekana tukate sifuri tatu i.e mfano 1USD = 1250TZS iwe 1USD = 1.250TZD.
Katika kipindi hiki cha kubadilisha basi inaweza kuwa possible kunail down baadhi ya watu wenye mapesa yasiyoeleweka ( Note: I am not trying to bring the country back in those days when being rich was perceived to align with evilness). Pesa zinabadilishwa zote na maswali yanakuja next. Hii pia itatoa chanagamoto kwa watu kuweka feza benki.
Article hii inaweza kusaidia for wider thinking of this with the current world economic status: Redirect to the target website
Nakaribisha maoni..............
Hivyo basi si busara kwa serikali kubadili fedha kipindi hiki na ikiwezekana tukate sifuri tatu i.e mfano 1USD = 1250TZS iwe 1USD = 1.250TZD.
Katika kipindi hiki cha kubadilisha basi inaweza kuwa possible kunail down baadhi ya watu wenye mapesa yasiyoeleweka ( Note: I am not trying to bring the country back in those days when being rich was perceived to align with evilness). Pesa zinabadilishwa zote na maswali yanakuja next. Hii pia itatoa chanagamoto kwa watu kuweka feza benki.
Article hii inaweza kusaidia for wider thinking of this with the current world economic status: Redirect to the target website
Nakaribisha maoni..............