Kwa nini tuwaombee waliokufa?

MAKABAYO wewe, kasome acha ubishi
 
MAKABAYO wewe, kasome acha ubishi
hivyo ni vitabu vimetungwa na warumi kujaribu kuingiza utamaduni wao kwenye ukristo
lakini biblia ipo clear wafu hawapaswi kuombewa

Waebrania 9:27-28​

Basi, kama vile kila mtu hufa mara moja tu, kisha husimama mbele ya hukumu ya Mungu, vivyo hivyo Kristo naye alijitoa tambiko mara moja tu kwa ajili ya kuziondoa dhambi za wengi. Atakapotokea mara ya pili, si kwa ajili ya kupambana na dhambi, bali ni kwa ajili ya kuwaokoa wale wanaomngojea.

Mhubiri 9:5​

kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

Zaburi 115:17​

Wafu hawamsifu Mwenyezi-Mungu, wala wale wanaoshuka katika nchi ya kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…