Kwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta?

Kwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta?

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Kwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta nini chanzo cha kukatika umeme maana wananchi tunateseka sana mboga zetu zinachacha kwenye mafriji sisi wafanya biashara wa vinywaji tunapata shida sana skuizi
 
Kwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta nini chanzo cha kukatika umeme maana wananchi tunateseka sana mboga zetu zinachacha kwenye mafriji sisi wafanya biashara wa vinywaji tunapata shida sana skuizi
Co hapo sasa umemuuliza nani ?
Wewe endelea kuwa mzalenda lipa kodi kwa maendeleo ya taifa.
 
Mgao wa umeme unanufaisha familia za watawala na wamiliki wa CCM. As long as, hizi familia zinaendelea kumiliki CCM na Serikali, usitegemee mgao wa umeme kukoma.

Makampuni ya waingizaji majenereta, sahizi yanashindana kuingiza majenereta makubwa kwaajili ya makampuni. Kwa muda mfupi, wamewatengeneza matajiri wakubwa watakaokichangia chama.

Majenereta yote unayoyaoni nchi nzima, waingizaji hawazidi watano.
 
Back
Top Bottom