Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 308
- 403
Nitajieni idara au sekta yoyote katika nchi hii ambayo mambo yamenyooka na hakuna longo longo,nimekaa pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo sio kukatika KWA umeme!Kwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta nini chanzo cha kukatika umeme maana wananchi tunateseka sana mboga zetu zinachacha kwenye mafriji sisi wafanya biashara wa vinywaji tunapata shida sana skuizi
Kabisa wanazinguaMgao wa umeme unanufaisha familia za watawala na wamiliki wa CCM. As long as, hizi familia zinaendelea kumiliki CCM na Serikali, usitegemee mgao wa umeme kukoma.
Makampuni ya waingizaji majenereta, sahizi yanashindana kuingiza majenereta makubwa kwaajili ya makampuni. Kwa muda mfupi, wamewatengeneza matajiri wakubwa watakaokichangia chama.
Majenereta yote unayoyaoni nchi nzima, waingizaji hawazidi watano.
Poleni sanaTayari wameshakata hapa
Umesahau yale mamitambo ya IPTL bado yapo hayana kazi. Magufuli alimalizana nayo sasa hiv wanatengeneza mazingira yapewe tena mkataba.Kwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta nini chanzo cha kukatika umeme maana wananchi tunateseka sana mboga zetu zinachacha kwenye mafriji sisi wafanya biashara wa vinywaji tunapata shida sana skuizi
Hakuna zote ni 🚮Nitajieni idara au sekta yoyote katika nchi hii ambayo mambo yamenyooka na hakuna longo longo,nimekaa pale
Hawana mipango wajinga sanaTatizo sio kukatika KWA umeme!
Tatizo ni kuwa sijui ni nani alituloga tuamini chanzo pekee kikubwa cha umeme nchini mwetu ni maji!!
Yaani umeme wa maji pekee hauwezi kuwa toshelevu KWA nchi yetu!
NDIO MAANA unakatika katika sana!hasa kipindi hiki cha ukame!!
Inawezekana sio wajinga bali wanalazimishwa na mfumo kufuata mazoea tuliyojijengea nchini!!Hawana mipango wajinga sana
Ila wanatuona manyaniInawezekana sio wajinga bali wanalazimishwa na mfumo kufuata mazoea tuliyojijengea nchini!!
Na ukirudi tunashangilia huooooooooooooo kama hidani vile. Tuna laana sisiKwa nini umeme unakatika kila muda au serikali mnataka kuuza majenereta nini chanzo cha kukatika umeme maana wananchi tunateseka sana mboga zetu zinachacha kwenye mafriji sisi wafanya biashara wa vinywaji tunapata shida sana skuizi