Kwa nini vijana wengi wa Dar es Salaam wanapenda kuita wanaume wenzao baba flani?

Mara nyingi kuitana baba fulani sio kama ni jambo geni na hasa kwa maisha ya mjini. Kuna watu ambao hawataki kutambulika majina yao kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za kiusalama au hata za kishirikina kwani mtu akikujua jina lako inakuwa ni rahisi kukufanyia ushirikina ila baba Mwema hawezi kukupata wewe moja kwa moja. Sijaona shida kwahapo kwa kweli labda kama ulikuwa unatafuta njia ya kuwadhalilisha kina baba fulani ila kumbuka pia kuitwa baba kwa wakati huu si jambo dogo hasa kwa nyie vijana wa leo wenye changamoto lukuki
 
Kwani mtu ukimuita baba juma.
Ina maana wewe ni mama juma?
Uislam wa wapi huo sheikh?
 
ukizaa njoo utupe mrejesho
 
[emoji23][emoji23][emoji23]kupika, kufua, kuosha vyombo kama kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha kunitesea mdogo wangu we mwanamke nitakuja nikutie mabao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…