Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!

Sio kweli, inaweza kuonekana ni Ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita Wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba Mkoa wa KLM ndio unaoongoza kwa Elimu TZ na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, Hakuna Mkoa ambao unatilia mkazo Elimu kama KLM, na hakuna Mkoa wenye shule nyingi kama KLM, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda TZ au nje ya TZ utakuta watu wa KLM ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye Vyuo Vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma KLM, ukienda Nairobi Kenya UN, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna Ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi Mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa KLM, sasa UN wanajua nini kuhusu huo unaouita Uchaga au sio Uchaga? hivyo sio Ubaguzi bali ni kwamba Mkoa wa KLM umebahatika kutambua umuhimu wa ELIMU tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!

 
Sio kweli, inaweza kuonekana ni Ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita Wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba Mkoa wa KLM ndio unaoongoza kwa Elimu TZ na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, Hakuna Mkoa ambao unatilia mkazo Elimu kama KLM, na hakuna Mkoa wenye shule nyingi kama KLM, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda TZ au nje ya TZ utakuta watu wa KLM ndio wana kazi nzuri!Hata ukienda kwenye Vyuo Vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma KLM, ukienda Nairobi Kenya UN, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna Ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi Mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa KLM, sasa UN wanajua nini kuhusu huo unaouita Uchaga au sio Uchaga? hivyo sio Ubaguzi bali ni kwamba Mkoa wa KLM umebahatika kutambua umuhimu wa ELIMU tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!
Ni kweli, kama hataki aache
 
Ni kweli, kama hataki aache
Acheni kumponda mleta mada,ni kweli wachaga na wapare ni wapendeleaji sana ktk nafasi bora za kazi! Hata kama mna elimu sawa, watakupanga mikoa isiyo na maendeleo na wao kujipanga maeneo yenye maslahi.Na kuna nafasi nyingini hazihitaji elimu kubwa, ila wanafanya unyama tu! kifupi ni kweli tupu!
 
Acheni kumponda mleta mada,ni kweli wachaga na wapare ni wapendeleaji sana ktk nafasi bora za kazi! Hata kama mna elimu sawa, watakupanga mikoa isiyo na maendeleo na wao kujipanga maeneo yenye maslahi.Na kuna nafasi nyingini hazihitaji elimu kubwa, ila wanafanya unyama tu! kifupi ni kweli tupu!
nafikiri upo sawa kabisa...
 
Hivi zinazoitwa sababu za kihistoria ndo zipi vile.....??.MAANA TUKIJUA HIZO SABABU ZA KIHISTORIA MAANA YAKE ITAKUWA VICEVERSA KWA WAIO WACHAGHA
sio kweli, inaweza kuonekana ni ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba mkoa wa klm ndio unaoongoza kwa elimu tz na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, hakuna mkoa ambao unatilia mkazo elimu kama klm, na hakuna mkoa wenye shule nyingi kama klm, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda tz au nje ya tz utakuta watu wa klm ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye vyuo vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma klm, ukienda nairobi kenya un, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa klm, sasa un wanajua nini kuhusu huo unaouita uchaga au sio uchaga? Hivyo sio ubaguzi bali ni kwamba mkoa wa klm umebahatika kutambua umuhimu wa elimu tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!

 
Hivi zinazoitwa sababu za kihistoria ndo zipi vile.....??.MAANA TUKIJUA HIZO SABABU ZA KIHISTORIA MAANA YAKE ITAKUWA VICEVERSA KWA WAIO WACHAGHA

Kwanza unapaswa kuelewa kwamba hakuna kitu kama Kabila la Wachaga! Ukishaelewa hapo ndio tunaweza kuendelea kueweshana zaidi!
 
Siku hizi hata huku kumbe kuna udaku?
'
Mngekua mnapeleka mada kama hizi chit-chat bana!
 
mimi nimwsoma vyuo zaidi ya vitano hapa nchini na kila chuo wachaga walikuwa wengi kuliko makabila mengine wakifuatiwa na wahaya.
sasa naomba uniambie hawa wakimaliza shule unaqtaka wakwere wawe wengi maofosini?
mimi si mchaga ila napenda jinsi wanavyosrago na maisha acheni kuwaonea.
 
mimi nimwsoma vyuo zaidi ya vitano hapa nchini na kila chuo wachaga walikuwa wengi kuliko makabila mengine wakifuatiwa na wahaya.
sasa naomba uniambie hawa wakimaliza shule unaqtaka wakwere wawe wengi maofosini?
mimi si mchaga ila napenda jinsi wanavyosrago na maisha acheni kuwaonea.
BOSCONTAGANDA upo sahihi kabisa
HATA KWENYE BIASHARA NDOGONDOGO ZA WAMACHINGA NA KUBRASH VIATU NI WAO HAWANA TOFAUTI NA WACHINA
Huko vijijini hutakosa Mwl wa Kichagga au Medical Asst sasa akifungua kabiashara kake akagoma kuweka mtu wa kabila lingine utasema ni mbaguzi wa kikabila, fuatilia hawa wafanyabiashara wanaoenda China au kusomesha watoto wao huko utasema wanastruggle bure
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom