Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Kwa nini wachaga ni wabaguzi sana katika vyeo- bila kuwa mchaga hupandi cheo

Status
Not open for further replies.
Hivi zinazoitwa sababu za kihistoria ndo zipi vile.....??.MAANA TUKIJUA HIZO SABABU ZA KIHISTORIA MAANA YAKE ITAKUWA VICEVERSA KWA WAIO WACHAGHA
nyerere alisomesha watoto wake uchagani pia na nadhani nyerere nae alikuwa ni mchaga wa old moshi ila hapa sikumbuki vizuri ila hakutaka wachaga waunde taifa lao.hakujenga shule butiama kwakuwa watoto wake wangeweza kusoma kule moshi, hakutaka wachaga wote waende high school badala yake akawapendelea makabila mengine hata kama walilingana marks au walikuwa nazo ndogo kuliko za wachaga, hii ilipelekea wachaga wengine kuhamia mikoa mingine ili wafaulu na wengine walikimbilia kenya ndo wakarudi kama wasomi, aliudhoofisha ushirika wa KNCU(kilimanjaro native planters association) kwa kuweka watu wake na kuunda wa kila mkoa uwe na ushirika bila kujua unadhalisha nini mwishowe akajikuta amedhohofisha viushirika vingine nchi nzima japo lengo lake alitaka awe na sauti katika maamuzi kwani wachaga wenzake walikuwa hawakubaliani nae kimaamuzi. pia kilimanjaro ndio mkoa wenye shule nyingi tanzania zilizojengwa tangu kipindi chha ukoloni wa wazungu kitu ambacho hakijafikiwa na mikoa mingine pamoja na lundo la shule za kata. hii ni mifano michache ya kihistoria, mbona hamhoji kwanini wahindi na waarabu walikuja tanzania maskini lakini wametajirishwa na serikali yetu na kutuacha sisi maskini mpaka leo tuache ukabila tuje na hoja za maana
 
Mimi mwenyewe nipo huku Ulaya,nakula book na mvi yote hii. Wenzangu wakiwa na senti kidogo ni starehe unategemea nini?
 
nyerere alisomesha watoto wake uchagani pia na nadhani nyerere nae alikuwa ni mchaga wa old moshi ila hapa sikumbuki vizuri ila hakutaka wachaga waunde taifa lao.hakujenga shule butiama kwakuwa watoto wake wangeweza kusoma kule moshi, hakutaka wachaga wote waende high school badala yake akawapendelea makabila mengine hata kama walilingana marks au walikuwa nazo ndogo kuliko za wachaga, hii ilipelekea wachaga wengine kuhamia mikoa mingine ili wafaulu na wengine walikimbilia kenya ndo wakarudi kama wasomi, aliudhoofisha ushirika wa KNCU(kilimanjaro native planters association) kwa kuweka watu wake na kuunda wa kila mkoa uwe na ushirika bila kujua unadhalisha nini mwishowe akajikuta amedhohofisha viushirika vingine nchi nzima japo lengo lake alitaka awe na sauti katika maamuzi kwani wachaga wenzake walikuwa hawakubaliani nae kimaamuzi. pia kilimanjaro ndio mkoa wenye shule nyingi tanzania zilizojengwa tangu kipindi chha ukoloni wa wazungu kitu ambacho hakijafikiwa na mikoa mingine pamoja na lundo la shule za kata. hii ni mifano michache ya kihistoria, mbona hamhoji kwanini wahindi na waarabu walikuja tanzania maskini lakini wametajirishwa na serikali yetu na kutuacha sisi maskini mpaka leo tuache ukabila tuje na hoja za maana
Duh,Nyerere alikua mchaga wa old Moshi,khaaaa!Nimependa hii post yako ila hapo pameniacha hoi,Nyerere mchaga!!!!
 
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!




Message sent . Sina cha ziada.....

B.P 2013
 
Last edited by a moderator:
Acheni kumponda mleta mada,ni kweli wachaga na wapare ni wapendeleaji sana ktk nafasi bora za kazi! Hata kama mna elimu sawa, watakupanga mikoa isiyo na maendeleo na wao kujipanga maeneo yenye maslahi.Na kuna nafasi nyingini hazihitaji elimu kubwa, ila wanafanya unyama tu! kifupi ni kweli tupu!

Inaonyesha wewe hujawahi hata kuajiriwa maana hujui taratibu za kuajiriwa. Ukishakuwa mswahili wa ukwereni ni kazi kweli kweli.
 
Inaonyesha wewe hujawahi
hata kuajiriwa maana hujui taratibu za kuajiriwa. Ukishakuwa mswahili wa
ukwereni ni kazi kweli kweli.

------ babako Masaburi yako! nyie wachaga ndio mlivyo hampendi ukweli nyambafu! eti sijaajiriwa! una uhakikaa?!
 
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!
Hawa wajamaa babu zao walijinyima siku nyingi na kuwapeleka shule wakati babu zako wakikataza baba zako kusoma na kuwalazimisha wachunge ngombe. hela zao wakiwa wanakunjwa pombe na kuoa wake wengi.kwa maana hiyo kama umegundua hivyo peleka watoto shule tena wasome masomo magumu kama hesabu ili ikitokea kazi tra awe na sifa.asome PCB aweze kupata kazi hospitali.ukimpeleka HGL,HKL, VETA, AMAZON na vyuo lukuki vya mapishi utaishia kulalamika tuu.Kama wewe ni askari kamata digrii ya aina yoyote uone kama hutapanda cheo acha ujinga nenda shule
 
Sio kweli, inaweza kuonekana ni Ubaguzi, lakini sababu kubwa hasa ya hao unaowaita Wachaga kuchukua nafasi nyingi kubwa, ni kwamba Mkoa wa KLM ndio unaoongoza kwa Elimu TZ na imekuwa hivyo kwa sababu za kihistoria, Hakuna Mkoa ambao unatilia mkazo Elimu kama KLM, na hakuna Mkoa wenye shule nyingi kama KLM, na imekuwa hivyo kwa karibu miaka 100, hivyo haishangazi popote unapoenda TZ au nje ya TZ utakuta watu wa KLM ndio wana kazi nzuri!

Hata ukienda kwenye Vyuo Vikuu, vitengo vingi vinaongozwa na watu waliosoma KLM, ukienda Nairobi Kenya UN, ukiwa na mawazo kama yako utasema pia kuna Ubaguzi kwa maana karibu kila mfanyakazi Mtanzania utakayemuona amesomea mkoa wa KLM, sasa UN wanajua nini kuhusu huo unaouita Uchaga au sio Uchaga? hivyo sio Ubaguzi bali ni kwamba Mkoa wa KLM umebahatika kutambua umuhimu wa ELIMU tangu zamani sana kwa sababu za kihistoria!


Mkuu hongera umempa fact nzuri sana
 
sabau iko wazi, mtu anapata cheo kwa sababu amepiga book, sasa wewe unategemea wanaokimbia umande wapte cheo:nono:
 
Aise napenda sana wachagga yaani. ujue hadi nina resolution katika maisha lazima nipate mtoto na mchaga kabla mungu hajanichukua-- kwa sharti mtoto akitoka tu akakulie kwa bibi yake moshi.... i love these people so much!

Pole sna kaka,tabia ya wachaga kazini ni SMARTNES,KAMA UNATAKA CHEO TRY THAT!SIO UBAGUZI,WW KABILA GANI?
 
Makanisani pia. Asilimia 75 ya Paroko wote Tanzania ni Wachaga. Kumbe kanisani nako kuna ubaguzi sikujua. Sijui hata mbinguni itakuwa hivyo? Nahamishia wanangu Kilimanjaro wakasome huko.


Je, na sisi Wahaya mtasema nini? Maana baada ya wachaga kila mahali ni Wahaya.
 
Mfano:
Jeshi la police: 80% ya RPC NI WACHAGA
CRDB: 75% YA BRANCH MANAGER'S TANZANIA NI WACHANGA

ONGEZEA!!!!!!!!!!!!!!!!

usihangaike sana kupata majibu, wachaga ni watu wa kazi! piga kazi wakuone utapanda cheo, hawana mambo ya usharobaro na kubana pua.
 
kwanza wachanga ni kina nani,?unaandika tu basi na wewe ujulikane uliwahi kupost kitu,.tuambie kwanza wachanga ni kina nani hao.?
 
Duh,Nyerere alikua mchaga wa old Moshi,khaaaa!Nimependa hii post yako ila hapo pameniacha hoi,Nyerere mchaga!!!!
ndugu eiyer hii ya nyerere mchaga nimeiweka tu kimakusudi kwani kuna watu walisema wachaga wamependelewa kwasababu za kihistoria nikaona nitoe ufafanuzi kwa kuhoji je nyerere nae alikuwa mchaga manake alisifika kwa kupinga ubaguzi wowote ule iwe ukabila ama udini. lengo wanaolalamika wachaga kuwa juu wajiulize swali hili pia kabla ya kulaumu. maoni yangu ni kuwa hata kama wachaga wasingekuwa juu lazima kungekuwa na kabila lililo juu ya jingine hivyo ndivyo ilivyo kwani hata darasani siku zote kuna wa kwanza na wa mwisho/ kwenye population luna laggard, early majority,late majority,inovators. nahii ni sehemu ya nature kwani nchi yetu mikoaa ya kaskazini ilikuwa imeendelea kabla hata ya uhuru kuliko sehemu nyingine tanzania.hata nigeria kabila la igbo(kama sijakosea spelling) ndio linaongoza kwa kenya ni wakikuyu, hata tufanye nini kwenye watu lazima watakaoongoza na wengine watafuatia. nadhani kwa tanzania kama kuna kabila limebaguliwa basi watakuwa waadzabe ndio wanastahili kulalamika japo sijui kamaitakuwa na maana. hivyo tuache kulalamika ukabila. kwa kujadili tu tunakuwa wabaguzi wa ukabila tayari
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom