lekaga okobheha amanjem mami!!!!
Nalibhona mlekukaya eleloahiii bhebhe naho!!!!!!!!!!!!!
Nalibhona mlekukaya elelo
mkuu uko perfect kabisa hapo....mabint wa kichaga wanawapenda wasukuma kwa kuwa ni wapole, hivyo ni rahisi kwao kuwaweka kwenye control, tofauti na akinikamata mi mchaga mwenzie, maana tunajuana haswa, bifu zetu kati ya mume na mke ma bro huingilia kati, hakuna kitu anachochukia kaka wa kichaga kuona dada yake anateswa kisa mume, tunambeba na biashara au kazi tunamtafutia
Balimo bhinge no
bha NN pye abenabho bha kukaya
Hayaga utungi twabhi tuturugu to mujini
Nalibhona mlekukaya elelo
Nalinkima nkoi wa kukaya,Neyo giki li kaji gete.Nang'ho uli nkema gashi? Yeeee nakutogwa gete
Nalinkima nkoi wa kukaya,Neyo giki li kaji gete.
Gashi tusambalile gete
asante kwa kutupenda
najua ni vito..., na kichwani hapandwi
labda wameolewa na tudakama
lakini mnang'weri? Heee, humpandi kichwani
afu hawacheat wala kwa kijificha sana
mwanamme akibambwa anakuambia kabisa wanakusaidia
nakuonea huruma pekeako
tena enzi zile vijijini
anamwambia kabsa mkewe pumzika kunifulia
ngoja nikatafute wa kukusaidia
kwa usukumani ni kawaida mwanamme kuwa na wanawake wa nje
we dont feel guilty kihivyo
hata wanawake wetu wa kisukuma wanajua hilo
wanajali lakini they can deal with it
any way kuna few exceptions labda
hata polygamy kule ruksa hadi raha
Nalimhola nkoyi, kinehe ubhebhe.
:lol:gashi tulibhingi giki! :lol:
afu wasukuma wengi wanapenda totoz nyeupe na wachagga wengi ni weupe
kweli,wangu alitoa ng'ombe 50,akapigiwa hesabu kila ng'ombe elfu 20.Nakibhuja sana nikasema najinjiwa lulu.afu tunapewa bure bila mahari
kwetu kitu nyeupe lazima uwe na pesa baba