Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

ulinago amayemu, nalihaya nakakunge sheli ihaha angu ishidiku shazunyaga ehaha

nde na heka ja mchele bhabha, nalapone hukwinhya nang'ho

lekaga okobheha amanjem mami!!!!
 
mabint wa kichaga wanawapenda wasukuma kwa kuwa ni wapole, hivyo ni rahisi kwao kuwaweka kwenye control, tofauti na akinikamata mi mchaga mwenzie, maana tunajuana haswa, bifu zetu kati ya mume na mke ma bro huingilia kati, hakuna kitu anachochukia kaka wa kichaga kuona dada yake anateswa kisa mume, tunambeba na biashara au kazi tunamtafutia
 
sure yan npo chuo moshy jamaa wa ksukuma wanawado wtt wa kchaga
 
mabint wa kichaga wanawapenda wasukuma kwa kuwa ni wapole, hivyo ni rahisi kwao kuwaweka kwenye control, tofauti na akinikamata mi mchaga mwenzie, maana tunajuana haswa, bifu zetu kati ya mume na mke ma bro huingilia kati, hakuna kitu anachochukia kaka wa kichaga kuona dada yake anateswa kisa mume, tunambeba na biashara au kazi tunamtafutia
mkuu uko perfect kabisa hapo....
 
najua ni vito..., na kichwani hapandwi
labda wameolewa na tudakama
lakini mnang'weri? Heee, humpandi kichwani
afu hawacheat wala kwa kijificha sana
mwanamme akibambwa anakuambia kabisa wanakusaidia
nakuonea huruma pekeako
tena enzi zile vijijini
anamwambia kabsa mkewe pumzika kunifulia
ngoja nikatafute wa kukusaidia

kwa usukumani ni kawaida mwanamme kuwa na wanawake wa nje
we dont feel guilty kihivyo
hata wanawake wetu wa kisukuma wanajua hilo
wanajali lakini they can deal with it

any way kuna few exceptions labda
hata polygamy kule ruksa hadi raha

Hongera sana you fooled me into thinking that you are a lady!!
 
Nguli uko wapi??
sioni mchango wako?
Au nimekukwaza !!.......(utanisamehe)
 
afu wasukuma wengi wanapenda totoz nyeupe na wachagga wengi ni weupe
 
afu tunapewa bure bila mahari
kwetu kitu nyeupe lazima uwe na pesa baba
kweli,wangu alitoa ng'ombe 50,akapigiwa hesabu kila ng'ombe elfu 20.Nakibhuja sana nikasema najinjiwa lulu.
 
Back
Top Bottom