Kwa nini wachambuzi wa soka wa redio ambazo siyo maarufu wana tabia ya kuwasikiliza wachambuzi wa redio maarufu na kuwakariri?

Kwa nini wachambuzi wa soka wa redio ambazo siyo maarufu wana tabia ya kuwasikiliza wachambuzi wa redio maarufu na kuwakariri?

secretarybird

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2024
Posts
2,998
Reaction score
4,948
Wakuu nimekuwa nikisikiliza redio nyingi ambazo siyo maarufu nchini hasa vipindi vya michezo na nilichogundua ni kuwa hawa wachambuzi wa soka wa hivi viredio wanachukua Kila kitu kutoka kwa wachambuzi wa redio maarufu hapa nchini kama E FM, Wasafi, Crown FM na Clauds FM.

Lea asubuhi nilikuwa nasikiliza uchambuzi wa soka kupitia Crown FM halafu mchana nikabadili stesheni nikakuta kiredio fulani kidogo kinachambua soka nikagundua kuwa wachambuzi wake wame copy na ku pest Kila kitu kutoka kwa wachambuzi wa Crown FM.

Kilichonitia kichefuchefu hata nikatapika ni kuwa wachambuzi wale walikuwa wanaiga sauti ya Jemedari Said na Jof lea duh!.

Nimeficha jina la redio ili ninyi pia msije mkajaribu kusikiliza mkatapika. Ila nina uhakika ngara23 anawakubali wachambuzi wa aina ile.
 
Sasa mchambuzi anachambulia kipaji unategemea nn? Utasikia ooh ubora wa aucho na nidhamu uwanjani ndo umepelekea.. mara udhaifu wa mpinzani kwemye kufanyalow blocking... ni ujinga mtupu nchi hii nikipata hela nakunya pale airport nahama mazima
Wakuu nimekuwa nikisikiliza redio nyingi ambazo siyo maarufu nchini hasa vipindi vya michezo na nilichogundua ni kuwa hawa wachambuzi wa soka wa hivi viredio wanachukua Kila kitu kutoka kwa wachambuzi wa redio maarufu hapa nchini kama E FM, Wasafi, Crown FM na Clauds FM.

Lea asubuhi nilikuwa nasikiliza uchambuzi wa soka kupitia Crown FM halafu mchana nikabadili stesheni nikakuta kiredio fulani kidogo kinachambua soka nikagundua kuwa wachambuzi wake wame copy na ku pest Kila kitu kutoka kwa wachambuzi wa Crown FM.

Kilichonitia kichefuchefu hata nikatapika ni kuwa wachambuzi wale walikuwa wanaiga sauti ya Jemedari Said na Jof lea duh!.

Nimeficha jina la redio ili ninyi pia msije mkajaribu kusikiliza mkatapika. Ila nina uhakika ngara23 anawakubali wachambuzi wa aina ile.
 
Sasa mchambuzi anachambulia kipaji unategemea nn? Utasikia ooh ubora wa aucho na nidhamu uwanjani ndo umepelekea.. mara udhaifu wa mpinzani kwemye kufanyalow blocking... ni ujinga mtupu nchi hii nikipata hela nakunya pale airport nahama mazima
Ndo wale ambao timu ikishinda wanaopenda kusema "timu watapata matokeo", sasa Mimi najiuliza kuwa kufungwa siyo matokeo?
 
Sasa umesikia kiredio kimoja tu, umekuja na mada inayosema kwa nini viredio vidogo as if umesikiliza nyingi. Kuwa na utafiti wa kutosha na hata hivyo unazoziita maarufu ujui wana copy na paste kutoka vyanzo vikubwa? Hance ni copier wa Micky, ukisikia tetesi ujue chanzo David Oinstein au mzee wa Here we Go Fabrizio Romano. Kipi kinacho kushangaza?
 
Back
Top Bottom