secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa kwa sababu hivyo vitu vinendana.Kwa hio awasikilize akiwa anakata gogo?
Mkuu nimezisikiliza nyingi Sana lakini hii ya leo imezidi. Halafu siyo Kila kitu unakopi, wachambuzi wankile kiredio walikuwa wanakopi Kila kitu hadi nukta, walikuwa wanakopi utadhani walikuwa wanaandika kilichokuwa kinasemwa na akina Bin kazumari. Yaani hata sauti walikuwa wanaiga.Sasa umesikia kiredio kimoja tu, umekuja na mada inayosema kwa nini viredio vidogo as if umesikiliza nyingi. Kuwa na utafiti wa kutosha na hata hivyo unazoziita maarufu ujui wana copy na paste kutoka vyanzo vikubwa? Hance ni copier wa Micky, ukisikia tetesi ujue chanzo David Oinstein au mzee wa Here we Go Fabrizio Romano. Kipi kinacho kushangaza?
Siyo wewe tu, hata mke wako anawashinda wale maamuma.Mimi naamini nikijikita kwenye hiyo kazi naweza kuwapiga makwaju wengi sana, licha ya kuwa sina taaluma nayo wala uzoefu.
Ndo wale ambao timu ikishinda wanaopenda kusema "timu watapata matokeo", sasa Mimi najiuliza kuwa kufungwa siyo matokeo?
Wakifungwa hawajapata matokeo siyo 😁😆😅😂Uimara wa mwalimu katika kubuni mbinu na kutandaza soka lenye tija kwa kasi isiyovumilika umepelekea wapate matokeo
Kinachambuliwa kitu very generous. Yani unaweza kutumia maneno yaleyale kuchambua mechi hata ishirini tofauti tofautiWakifungwa hawajapata matokeo siyo 😁😆😅😂
Wachache wanajitahidi ila wengi wao wanauzumgumzia Mpira utafikiri hawana ubongo.Si kweli bongo Kuna wachambuzi wazuri mfano Ambangile pia Joff Lea ni mchambuzi mzuri sana sema tu sometimes hua anafanya mambo yake anayoyajua yy
Leo mnakeketwa na waarabu.Me sio mchambuzi
Niko hapa kuwapopoa watani wang makolo na kuhakikisha wanakereka
Sitaki aman Kwa watani
Ndo unachambua au unachamba?Leo mnakeketwa na waarabu.
Kinachambuliwa kitu very generous. Yani unaweza kutumia maneno yaleyale kuchambua mechi hata ishirini tofauti tofauti
'MC Algiers leo wanaenda kupata matokeo'.Ndo unachambua au unachamba?
Hapo umechamba bwana mcha 🐐'MC Algiers leo wanaenda kupata matokeo'.
Yanga hawatapata matokeo.
Matokeo😅😆😂😁
Kumbuka mara ya mwisho waliwachakaza 4-0 kwenye confederation cup.Hapo umechamba bwana mcha 🐐
Umeolewa ulanziKumbuka mara ya mwisho waliwachakaza 4-0 kwenye confederation cup.
😂😁Wakati Yanga wananyolewa mabao manne kwa karahi najua ulikuwa hujazaliwa, ilikuwa 2016.Umeolewa ulanzi
Hueleweki😂😁Wakati Yanga wananyolewa mabao manne kwa karahi najua ulikuwa hujazaliwa, ilikuwa 2016.
Mkuu kama ulifungwa magoli mawili nyumbani na wakimbizi kutoka Sudan unadhani Leo utafungwa ngapi.Hueleweki
Au ndo akili za shirikisho