Kwa nini Wakenya pekee ndio hudai Watanzania hawajui Lugha ya Kingereza?

Kwa nini Wakenya pekee ndio hudai Watanzania hawajui Lugha ya Kingereza?

Kuna wachina wapo kwenye site sehem fulan hapa Tanzania kuna baadhi hawajui hata kingereza cha Kikuyu cha kuombea maji tena ni moja ya site engineer na katoka kwenye nchi yenyw uchumi mkubwa duniani!!!
Ila hapa kweny swala la wakenya kutucheka watz n jambo la kushangaza sana hata wenyw lugha yao watashangaa kwa kujipendekeza huko[emoji16][emoji16][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app


Ahaaa haaa haaa
uko sahihi.
kiingereza si ujanja, ingekuwa ujanja waChina wasingewapiga wakenya kwenye SGR.
Teh teh teh tihiii
 
Inabidi ifike hatua hawa mapopoma wa kenyatta wabadilike, nchi yao ndio shamba la bibi inafika hatua hawana hata ardhi Mwl. Nyerere alishawahi kusema "Rasilimali ya kwanza kuitunza kwenye nchi yoyote ni ardhi, ardhi ndio utajiri wetu". Ila hawa jamaa wamegawa ardhi wa wazungu halafu wao wanajisifia kujua kiingereza utumwa wa kifikra huu badilikeni.
Sasa hv ameingia mchina na yy anawanyoosha kinoma mtafundishwa na kichina harafu mtajisifia. POOR KUNYAN

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi wakenya wanaongeaga kingereza au kiluga?
Kingereza kina rafudhi mbaya kuliko ubaya wenyewe. Mchukue mtanzania anaejua kingereza na mkenye anaejuea kingereza usikie rafudhi zao,
rafudhi ya mkenya kama anaongea kikamba sio kikamba kijaruo sio kijaruo kiruya siko kiruya. Tuacheni na Rugha yetu ya kimataifa jamani.
Ntawaona wa maana sana siku nikisikia kikamba au kijaruo ni rugha ya kimataifa.
Rafudhi kijaruo kiruya rugha kiluga.
Lol....Makinika bwana
 
Inabidi ifike hatua hawa mapopoma wa kenyatta wabadilike, nchi yao ndio shamba la bibi inafika hatua hawana hata ardhi Mwl. Nyerere alishawahi kusema "Rasilimali ya kwanza kuitunza kwenye nchi yoyote ni ardhi, ardhi ndio utajiri wetu". Ila hawa jamaa wamegawa ardhi wa wazungu halafu wao wanajisifia kujua kiingereza utumwa wa kifikra huu badilikeni.
Sasa hv ameingia mchina na yy anawanyoosha kinoma mtafundishwa na kichina harafu mtajisifia. POOR KUNYAN

Sent using Jamii Forums mobile app

Nchi ya Kenya inamilikiwa na Wazungu, na familia ya Kenyatta,
Hawa wengine kitu pekee wanaona ni mafanikio ni Kuzungumza Kingereza, nothing More.
 
Nchi ya Kenya inamilikiwa na Wazungu, na familia ya Kenyatta,
Hawa wengine kitu pekee wanaona ni mafanikio ni Kuzungumza Kingereza, nothing More.
kikikikiii.... tuko 2019 msee. ondoa mawazo chafu na fikra duni.
 
Don't mind them... Tz na Kenya ni kama simna ya yanga...

Deep down we appreciate each other...


Cc: mahondaw
 
Nilikuelekeza hadi kwenye site za usafiri kwa watalii na expats ambazo wengi wao huwa wanatumia kupata reviews. Nikakupa hadi mfano mmoja, Lonely Planet ila wewe ukanijibu eti nije na ushahidi. Spoonfeeding ndio zenu. Kama hujui siri moja ya Kenya kuwa na makao makuu ya kampuni kubwa na viwanda vingi kutoka kwa wawekezaji wa kimataifa ndio hiyo. 'Workforce' ambayo ni rahisi kuelewana nayo.
Angalia sifa zetu hapo Watanzania,yan tukiwa nje huku hlf unakutana na muafrika yyt yule ktk harakati,tukiulizana tunapotokea ukimuambia ni mbongo hata km mlikaa seat tofauti kwenye train lazima asogee na kuanza story mbali mbali,gear yao kubwa utawasikia nilipokua nchi flan au mji flan nilikua na rafiki,boyfriend au girlfrien mbongo
Screenshot_20190103-070156.jpeg
Screenshot_20190103-070022.jpeg
 
Ivi wakenya wanaongeaga kingereza au kiluga?
Kingereza kina rafudhi mbaya kuliko ubaya wenyewe. Mchukue mtanzania anaejua kingereza na mkenye anaejuea kingereza usikie rafudhi zao,
rafudhi ya mkenya kama anaongea kikamba sio kikamba kijaruo sio kijaruo kiruya siko kiruya. Tuacheni na Rugha yetu ya kimataifa jamani.
Ntawaona wa maana sana siku nikisikia kikamba au kijaruo ni rugha ya kimataifa.
Hapo kwenye pronounce ndio uwa nawakomesha mungiki pale tunapokutana kwenye vijiwe vya kahawa vya nje ya afrika,tena ya lugha zote english na swahili,nishagonga sana mademu wa kikenya kwa kupagawa na kiswahili changu tu [emoji23]
 
Mzungu anamuelewa mtz zaidi akiongea kiingereza,kuliko mkenya.sababu ni lugha mama ya kila sehemu.

Mkenya,mnigeria,mhindi ni miongoni kwa viumbe duniani wana sound vibaya sana wapozungumza kiingereza.
 
Lugha ambayo inatumika na watu wengi ndiyo inapaswa kuwa powerful. Mzungu hawezi kuweka neno powerful halafu ndani ataje kitu chochote kuhusu Africa. Kama powerful language ina uhusiano na utajiri wa eneo inapozungumzwa basi Japanese ilibidi iwe juu zaidi hapo. English ni muhimu ila tusi kibeze Kiswahili, E.A ina chance kubwa ku influence hii lugha kuwa ya Ki dunia. Kenyans kwenye hili mnateteleka. Sijawahi muona Uhuru ata mara moja akiongea Kiswahili akiwa kwenye makongamano ya Kimataifa. Kwenye yale maongezi ya pembeni sawa, ila kwenye hotuba wakalimani wapo, mara moja moja siyo mbaya akawa anachapa Kiswahili kama Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, na Magufuli ambavyo wamefanya mara kadhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usitegemee wakenya kukikuza kiswahili, wala usijidanganye. Very brainwashed africans

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitegemee wakenya kukikuza kiswahili, wala usijidanganye. Very brainwashed africans

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wako brainwashed mpaka raisi wao! Akiwa US anatoa hotuba mbele ya Trump akawa anajaribu kutamka maneno kama wa marekani!! Ilikuwa comedy kwa Trump, Uhuru mpaka watoto wake hawajui Kiswahili vizuri. So sad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nazani kuna unasabaaa mzuri baina ya wakenya na wa Tz yaani mfano ktk social networks wakenya wengi wana chat na waTz ila izi propaganda zinaletwa na wapuuzi walio wachache
 
Mi nazani kuna unasabaaa mzuri baina ya wakenya na wa Tz yaani mfano ktk social networks wakenya wengi wana chat na waTz ila izi propaganda zinaletwa na wapuuzi walio wachache
Cha kutamausha kupitiliza ni kwamba hawa wanaoibuka na hizi propaganda kila uchao sio vijana eti, ni wazee walokomaa, na midevu yao, hadi na ule ukucha wa jogoo. Utawapata wamekomalia kwenye nyuzi za ligi, A vs. B, na umbea wa tuna hili nyie hamna ila kwenye mada za masuala msingi kama elimu, afya, maendeleo, demokrasia na nafasi yetu duniani kama waafrika hutawaona kamwe.
 
Cha kutamausha kupitiliza ni kwamba hawa wanaoibuka na hizi propaganda kila uchao sio vijana eti, ni wazee walokomaa, na midevu yao hadi na ule ukucha wa jogoo. Utawapata wamekomalia kwenye nyuzi za ligi, A vs. B, na umbea wa tuna hili nyie hamna ila kwenye mada za masuala msingi kama elimu, afya, maendeleo demokrasia na nafasi yetu duniani kama waafrika hutawaona kamwe.
hahahahahahahah wanahitaji mental therapy
 
Heri ya Mwaka mpya,
kwa kuwa leo Mjadala wa Lugha umechukua nafasi sana kwenye Jukwaa hili, na mimi naongezea hili,

Wageni toka kote duniani Huja na kuondoka Tanzania, watalii mamilioni kwa mamilioni na wafanyi biashara,
Walimu mashuleni na vyuoni Hufundisha kwa Lugha hii ya Kingereza, watanzania maelfu kwa maelfu wamesoma na wanasoma ulaya, Marekani na Asia,
Watanzania wamesambaa kote duniani, na wengi wetu nikiwepo mimi tumesafiri nchi za Ng’ambo pia,
Viongozi na wakuu wa nchi mbalimbali duniani hutembelea na kukaribishwa Kufanya mikutano Tanzania,

katika hao wote sijawahi sikia Wageni hawa wakilalamika kuwa Wamepata changamoto ya Lugha ama hawakufanikisha mambo yao kwa sababu ya Lugha,
Hii dhana ya kusema Watanzania hawajui Kingereza kwa nini ishikiliwe bango na Wakenya pekee,?
au wanataka tuzungumze kama vile wazungu wakati sisi ni Watanzania,

Hivi utumwa utatoka lini Vichwani mwa hawa majirani waingereza Weusi?
Lol. .kw nini watanzania pekee ndio hudai waKenya ndio watu weusi Pekee duniani kote ?
Nyie ni waafrika weupe?
 
Back
Top Bottom