eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kuna wachina wapo kwenye site sehem fulan hapa Tanzania kuna baadhi hawajui hata kingereza cha Kikuyu cha kuombea maji tena ni moja ya site engineer na katoka kwenye nchi yenyw uchumi mkubwa duniani!!!
Ila hapa kweny swala la wakenya kutucheka watz n jambo la kushangaza sana hata wenyw lugha yao watashangaa kwa kujipendekeza huko[emoji16][emoji16][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa haaa haaa
uko sahihi.
kiingereza si ujanja, ingekuwa ujanja waChina wasingewapiga wakenya kwenye SGR.
Teh teh teh tihiii