Kuna wachina wapo kwenye site sehem fulan hapa Tanzania kuna baadhi hawajui hata kingereza cha Kikuyu cha kuombea maji tena ni moja ya site engineer na katoka kwenye nchi yenyw uchumi mkubwa duniani!!!
Ila hapa kweny swala la wakenya kutucheka watz n jambo la kushangaza sana hata wenyw lugha yao watashangaa kwa kujipendekeza huko[emoji16][emoji16][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Rafudhi kijaruo kiruya rugha kiluga.Ivi wakenya wanaongeaga kingereza au kiluga?
Kingereza kina rafudhi mbaya kuliko ubaya wenyewe. Mchukue mtanzania anaejua kingereza na mkenye anaejuea kingereza usikie rafudhi zao,
rafudhi ya mkenya kama anaongea kikamba sio kikamba kijaruo sio kijaruo kiruya siko kiruya. Tuacheni na Rugha yetu ya kimataifa jamani.
Ntawaona wa maana sana siku nikisikia kikamba au kijaruo ni rugha ya kimataifa.
Inabidi ifike hatua hawa mapopoma wa kenyatta wabadilike, nchi yao ndio shamba la bibi inafika hatua hawana hata ardhi Mwl. Nyerere alishawahi kusema "Rasilimali ya kwanza kuitunza kwenye nchi yoyote ni ardhi, ardhi ndio utajiri wetu". Ila hawa jamaa wamegawa ardhi wa wazungu halafu wao wanajisifia kujua kiingereza utumwa wa kifikra huu badilikeni.
Sasa hv ameingia mchina na yy anawanyoosha kinoma mtafundishwa na kichina harafu mtajisifia. POOR KUNYAN
Sent using Jamii Forums mobile app
kikikikiii.... tuko 2019 msee. ondoa mawazo chafu na fikra duni.Nchi ya Kenya inamilikiwa na Wazungu, na familia ya Kenyatta,
Hawa wengine kitu pekee wanaona ni mafanikio ni Kuzungumza Kingereza, nothing More.
Angalia sifa zetu hapo Watanzania,yan tukiwa nje huku hlf unakutana na muafrika yyt yule ktk harakati,tukiulizana tunapotokea ukimuambia ni mbongo hata km mlikaa seat tofauti kwenye train lazima asogee na kuanza story mbali mbali,gear yao kubwa utawasikia nilipokua nchi flan au mji flan nilikua na rafiki,boyfriend au girlfrien mbongoNilikuelekeza hadi kwenye site za usafiri kwa watalii na expats ambazo wengi wao huwa wanatumia kupata reviews. Nikakupa hadi mfano mmoja, Lonely Planet ila wewe ukanijibu eti nije na ushahidi. Spoonfeeding ndio zenu. Kama hujui siri moja ya Kenya kuwa na makao makuu ya kampuni kubwa na viwanda vingi kutoka kwa wawekezaji wa kimataifa ndio hiyo. 'Workforce' ambayo ni rahisi kuelewana nayo.
Hapo kwenye pronounce ndio uwa nawakomesha mungiki pale tunapokutana kwenye vijiwe vya kahawa vya nje ya afrika,tena ya lugha zote english na swahili,nishagonga sana mademu wa kikenya kwa kupagawa na kiswahili changu tu [emoji23]Ivi wakenya wanaongeaga kingereza au kiluga?
Kingereza kina rafudhi mbaya kuliko ubaya wenyewe. Mchukue mtanzania anaejua kingereza na mkenye anaejuea kingereza usikie rafudhi zao,
rafudhi ya mkenya kama anaongea kikamba sio kikamba kijaruo sio kijaruo kiruya siko kiruya. Tuacheni na Rugha yetu ya kimataifa jamani.
Ntawaona wa maana sana siku nikisikia kikamba au kijaruo ni rugha ya kimataifa.
meanwhile.. [emoji116][emoji116][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28]
View attachment 984838
Usitegemee wakenya kukikuza kiswahili, wala usijidanganye. Very brainwashed africansLugha ambayo inatumika na watu wengi ndiyo inapaswa kuwa powerful. Mzungu hawezi kuweka neno powerful halafu ndani ataje kitu chochote kuhusu Africa. Kama powerful language ina uhusiano na utajiri wa eneo inapozungumzwa basi Japanese ilibidi iwe juu zaidi hapo. English ni muhimu ila tusi kibeze Kiswahili, E.A ina chance kubwa ku influence hii lugha kuwa ya Ki dunia. Kenyans kwenye hili mnateteleka. Sijawahi muona Uhuru ata mara moja akiongea Kiswahili akiwa kwenye makongamano ya Kimataifa. Kwenye yale maongezi ya pembeni sawa, ila kwenye hotuba wakalimani wapo, mara moja moja siyo mbaya akawa anachapa Kiswahili kama Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, na Magufuli ambavyo wamefanya mara kadhaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usitegemee wakenya kukikuza kiswahili, wala usijidanganye. Very brainwashed africans
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli wako brainwashed mpaka raisi wao! Akiwa US anatoa hotuba mbele ya Trump akawa anajaribu kutamka maneno kama wa marekani!! Ilikuwa comedy kwa Trump, Uhuru mpaka watoto wake hawajui Kiswahili vizuri. So sadUsitegemee wakenya kukikuza kiswahili, wala usijidanganye. Very brainwashed africans
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kutamausha kupitiliza ni kwamba hawa wanaoibuka na hizi propaganda kila uchao sio vijana eti, ni wazee walokomaa, na midevu yao, hadi na ule ukucha wa jogoo. Utawapata wamekomalia kwenye nyuzi za ligi, A vs. B, na umbea wa tuna hili nyie hamna ila kwenye mada za masuala msingi kama elimu, afya, maendeleo, demokrasia na nafasi yetu duniani kama waafrika hutawaona kamwe.Mi nazani kuna unasabaaa mzuri baina ya wakenya na wa Tz yaani mfano ktk social networks wakenya wengi wana chat na waTz ila izi propaganda zinaletwa na wapuuzi walio wachache
hahahahahahahah wanahitaji mental therapyCha kutamausha kupitiliza ni kwamba hawa wanaoibuka na hizi propaganda kila uchao sio vijana eti, ni wazee walokomaa, na midevu yao hadi na ule ukucha wa jogoo. Utawapata wamekomalia kwenye nyuzi za ligi, A vs. B, na umbea wa tuna hili nyie hamna ila kwenye mada za masuala msingi kama elimu, afya, maendeleo demokrasia na nafasi yetu duniani kama waafrika hutawaona kamwe.
Hoja iliyopo ni kwa nn nyie wabaguz na wakabila wakubwa ndo mnaona watz hawajui hicho kingereza ila dunia nzima iliyobaki hawajawai kuona iyo tafaut?Kama hamkifahamu Kiingereza mnataka tuwadanganye eti mnakifahamu ilhali hamkifahamu? Sisi sio waongo namna hio
Hoja iliyopo ni kwa nn nyie wabaguz na wakabila wakubwa ndo mnaona watz hawajui hicho kingereza ila dunia nzima iliyobaki hawajawai kuona iyo tafaut?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol. .kw nini watanzania pekee ndio hudai waKenya ndio watu weusi Pekee duniani kote ?Heri ya Mwaka mpya,
kwa kuwa leo Mjadala wa Lugha umechukua nafasi sana kwenye Jukwaa hili, na mimi naongezea hili,
Wageni toka kote duniani Huja na kuondoka Tanzania, watalii mamilioni kwa mamilioni na wafanyi biashara,
Walimu mashuleni na vyuoni Hufundisha kwa Lugha hii ya Kingereza, watanzania maelfu kwa maelfu wamesoma na wanasoma ulaya, Marekani na Asia,
Watanzania wamesambaa kote duniani, na wengi wetu nikiwepo mimi tumesafiri nchi za Ng’ambo pia,
Viongozi na wakuu wa nchi mbalimbali duniani hutembelea na kukaribishwa Kufanya mikutano Tanzania,
katika hao wote sijawahi sikia Wageni hawa wakilalamika kuwa Wamepata changamoto ya Lugha ama hawakufanikisha mambo yao kwa sababu ya Lugha,
Hii dhana ya kusema Watanzania hawajui Kingereza kwa nini ishikiliwe bango na Wakenya pekee,?
au wanataka tuzungumze kama vile wazungu wakati sisi ni Watanzania,
Hivi utumwa utatoka lini Vichwani mwa hawa majirani waingereza Weusi?