Kwa nini wanaume watu wazima wanapenda wasichana wa shule na vyuo?

Kwa nini wanaume watu wazima wanapenda wasichana wa shule na vyuo?

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
482
Kuna kautafiti nimefanya kwa kipindi cha takribani miezi 2 hivi. Nilisikia jinsi baadhi ya rafiki zangu wakizungumzia kuhusu wasichana wa chuo fulani na shule fulani. Nikataka kujua je ya kweli?
Nilienda pale Masoka chuoni, hayo magari yaliyokuwa yanapishana pale nilishangaa. Nikamuuliza kijana mmoja akanambia ni kawaida wasichana kuchukuliwa pale ijumaa na huwa wanarudishwa jumapili jioni.
Nikahamishia kambi pake KCMC mambo ni yale yale, tena hawa sio weekend tu ni kila wakati na kwa bahati mbaya baadhi ya magari ni yale yale.
Nikarudi Ushirika, wenyewe wanaita MuccoBs. Mambo ni balaa, wasichana ndo wehu kabisa tena wanahamasisha. We pita na mkweche mpigie break binti anazama mchumani bila wasiwasi. Nikamalizia pale hostel za mtaani za Majengo Sec, du hawa wanachukuliwa gari inaenda mbele kidogo anamalizana na mtu wake huyooooooooo anarudi zake hostel.
Katika kote huku nimegundua ni watu wenye umri mkubwa ndo wanafanya vituko hivi na hawa watoto wetu. Sisemi kuwa hakuna vijana ila idadi kubwa ni watu wenyekuweza kuwaita hawa mabinti watoto kama sio wajukuu. Nilmsikia binti mmoja wa pale majengo akisema aaaaaaaaaaah nimekamata mic nikaanza kushusha mistari mara kaachia akanipa mshiko wangu nikarudi zangu.
Je huwa tunafata nini wazeee?:confused2:
 
Hivi msichana aliye chuo ni mtoto au mtu mzima!??????:confused2:
 
Ni mabinti wanafata mkwanja kwa 'wazee'...
 
Hivi msichana aliye chuo ni mtoto au mtu mzima!??????:confused2:

We utawaitaje? Watoto hawa wanamaliza kidato cha 6 wakiwa na 17 to 18 na wengine hawakumaliza F6 ni F4. Kwa kutembelewa na vijana wenzao sina swali! Hivi vibabu vilivyoacha wake zao nyumbani hivi ndo nasemea!
 
We utawaitaje? Watoto hawa wanamaliza kidato cha 6 wakiwa na 17 to 18 na wengine hawakumaliza F6 ni F4. Kwa kutembelewa na vijana wenzao sina swali! Hivi vibabu vilivyoacha wake zao nyumbani hivi ndo nasemea!

Hao kupenda hela ni asili yao nafikiri wa kulekule mlimani:eyebrows:
 
I wonder kwa nini watu wanapenda kula bamia changa......
 
We utawaitaje? Watoto hawa wanamaliza kidato cha 6 wakiwa na 17 to 18 na wengine hawakumaliza F6 ni F4. Kwa kutembelewa na vijana wenzao sina swali! Hivi vibabu vilivyoacha wake zao nyumbani hivi ndo nasemea!

sasa we Eeka Mangi huelewi nini hapo!kwani huoni kabisa tofauti ya mwanamke wa age ya 50yrs na yule wa 18 yrs ni ipi?jamani hebu tusidanganyane,hivi vitoto vina taste yake bana............!
 
Mzunguko wa maisha na kupenda vitu rahisi rahisi halafu ukiwa na gari tu dah kwishnei
 
sasa we Eeka Mangi huelewi nini hapo!kwani huoni kabisa tofauti ya mwanamke wa age ya 50yrs na yule wa 18 yrs ni ipi?jamani hebu tusidanganyane,hivi vitoto vina taste yake bana............!

Test? Test gani kaka. Kama unaye binti yako visualize vile huyo mzee na upara wake unapata picha gani?
 
sasa we Eeka Mangi huelewi nini hapo!kwani huoni kabisa tofauti ya mwanamke wa age ya 50yrs na yule wa 18 yrs ni ipi?jamani hebu tusidanganyane,hivi vitoto vina taste yake bana............!

so ur supporting kwamba ni sawa hiki kitendo kufanyaka, mbaba wa 50 ku date na binti wa 18 coz vina taste?....ghosh!
 
Uzuri wa wazee ni huu hapa: wanakata pochi kwa wingi (kama hawana akili nzuri) halafu katika kale ka mchezo hawafiki mbali kwisha habari yao.
Ubaya wa vijana: ha wakati pochi bali longo longo kwa kwenda mbele na katika kale ka mchezo wanaweza kumtoa binti roho. Wanasimamia ka baiskeli.
Kutokana na hiyo mabinti wengi wanapendelea wazee kuliko vijana. Utafiti wangu wa miaka kadhaa
 
Ha ha haaaaaaaaaaa hata mi cjui bwana! Wenye uzoefu watujuze

We dogo, acha saundi bana!...we majibu yote unayo unaenjoy watu tu!!
Kwanini hujauliza kwanini wanawake watu wazima wanapenda serengeti boys!!
All in all, ni mambo ya kishenzi tu yanayotuendesha haya!..Ni hopes and dreams...mtu anakuwa na mawazo kichwani mwake kwamba huenda mdogo ana tofauti...!
 
sasa we Eeka Mangi huelewi nini hapo!kwani huoni kabisa tofauti ya mwanamke wa age ya 50yrs na yule wa 18 yrs ni ipi?jamani hebu tusidanganyane,hivi vitoto vina taste yake bana............!

Mpwa nina wasiwasi ulipoenda kwenye mapanki inawezekana sehemu uliyofikia ilikuwa karibia na chuo
 
Uzuri wa wazee ni huu hapa: wanakata pochi kwa wingi (kama hawana akili nzuri) halafu katika kale ka mchezo hawafiki mbali kwisha habari yao.
Ubaya wa vijana: ha wakati pochi bali longo longo kwa kwenda mbele na katika kale ka mchezo wanaweza kumtoa binti roho. Wanasimamia ka baiskeli.
Kutokana na hiyo mabinti wengi wanapendelea wazee kuliko vijana. Utafiti wangu wa miaka kadhaa

kwani huyu binti yeye atakaa na huyo mzee daima? c lazima atakuwa na kijana wake wa kujirusha nae kwanza age inamruhusu, pili huyu baba mambo ya kujirusha kwake hayapo, binti tamaa zake yupo na mzee ananunuliwa blackberry na pesa ya weekend anaenda kujirusha na kijana wake,chain inaendelea....tutakufa kama kuku wa kideri haki ya nani tena.
 
Ng'ombe hazeeki maini ati!
Vibinti vinaenda kuchuna ,wababa wanafukuza uzee :becky:
 
Back
Top Bottom