Kwa nini wanaume watu wazima wanapenda wasichana wa shule na vyuo?

Kwa nini wanaume watu wazima wanapenda wasichana wa shule na vyuo?

udhalilishaji/tamaa zinawasumbua,hivi mabab wa 45+ hujickii aibu kuvua nguo mbele ya binti wa 17yrs? watu wamechunwa ngozi za usokweli, haibu wameziacha msalani.

Akiwa anavua hilo anakuwa alijui ila akiishamaliza tendo la ngono maana si ndoa ndio anaanza kufikiria hayo
 
Uzuri wa wazee ni huu hapa: wanakata pochi kwa wingi (kama hawana akili nzuri) halafu katika kale ka mchezo hawafiki mbali kwisha habari yao.
Ubaya wa vijana: ha wakati pochi bali longo longo kwa kwenda mbele na katika kale ka mchezo wanaweza kumtoa binti roho. Wanasimamia ka baiskeli.
Kutokana na hiyo mabinti wengi wanapendelea wazee kuliko vijana. Utafiti wangu wa miaka kadhaa


absolutely!!!!! sijakiona kidude cha senks ningekungongea
 
45 bado hajaitwa babu, ingawa bado hastahili ki date na binti wa 17yrs, babu ni kuanzia 50+....mie mr wangu hajafikisha 35 lakini nikimkuta na binti wa 17yrs cjui nitamfanya nini kwa kweli, yaani cjajua, adhabu nitakayompa itatofautiana sana na nikimkuta na binti wa 22+

Nyamayao pamoja na kuwa ikitokea ukamkamata mumeo inaonekana utakuwa una huruma sana kwake:becky:
 
1.hiyo ni moshi hapa dar akina fataki si wengi
2.lakini mkuu wewe nawe waonekana umo na siku moja labda ulizidiwa kete?tusameheane.we miezi miwili unatafiti tuuuu?
3.msichana mdogo anatafuta pesa kwa kazi ndogo
4.mtu mzima nae ananunua starehe kwa bei nafuu.
 
Babu wa kizungu na binti awe wa kizaramo? Hata haijaka sawa


na mie nimeenda hivyo hivyo kizaramu zaramu mana warembo wa mjini hawajali utu wao wanajali kitu alichonacho mtu....kwa kawaida mbaba wa kiafrika kuoa binti wa 18 yrs ni nadra sana, kwangu mie bado cjawahi kuona, najua watakuwa wanatembea nao lakini kufikia kuoa ni ngumu, home kwake ana mtoto wa20+aje aone binti wa18?
 
45 bado hajaitwa babu, ingawa bado hastahili ki date na binti wa 17yrs, babu ni kuanzia 50+....mie mr wangu hajafikisha 35 lakini nikimkuta na binti wa 17yrs cjui nitamfanya nini kwa kweli, yaani cjajua, adhabu nitakayompa itatofautiana sana na nikimkuta na binti wa 22+
si mpaka umkute????? wakati huo yeye kalewa? au? SWALA LA KUMKUTA SAHAU KABISA.....JIJI KUBWA HILI DADA YANGU HALAFU WATU WAKE HAWANA UMBEYA.
 
Kuna kautafiti nimefanya kwa kipindi cha takribani miezi 2 hivi. Nilisikia jinsi baadhi ya rafiki zangu wakizungumzia kuhusu wasichana wa chuo fulani na shule fulani. Nikataka kujua je ya kweli?
Nilienda pale Masoka chuoni, hayo magari yaliyokuwa yanapishana pale nilishangaa. Nikamuuliza kijana mmoja akanambia ni kawaida wasichana kuchukuliwa pale ijumaa na huwa wanarudishwa jumapili jioni.
Nikahamishia kambi pake KCMC mambo ni yale yale, tena hawa sio weekend tu ni kila wakati na kwa bahati mbaya baadhi ya magari ni yale yale.
Nikarudi Ushirika, wenyewe wanaita MuccoBs. Mambo ni balaa, wasichana ndo wehu kabisa tena wanahamasisha. We pita na mkweche mpigie break binti anazama mchumani bila wasiwasi. Nikamalizia pale hostel za mtaani za Majengo Sec, du hawa wanachukuliwa gari inaenda mbele kidogo anamalizana na mtu wake huyooooooooo anarudi zake hostel.
Katika kote huku nimegundua ni watu wenye umri mkubwa ndo wanafanya vituko hivi na hawa watoto wetu. Sisemi kuwa hakuna vijana ila idadi kubwa ni watu wenyekuweza kuwaita hawa mabinti watoto kama sio wajukuu. Nilmsikia binti mmoja wa pale majengo akisema aaaaaaaaaaah nimekamata mic nikaanza kushusha mistari mara kaachia akanipa mshiko wangu nikarudi zangu.
Je huwa tunafata nini wazeee?:confused2:

Eeka Mangi hivi huu utafiti wako ulikuwa unafanya practical pia maana utafiti bila kufanya practical kabisa hautoi matunda mazuri
 
1.hiyo ni moshi hapa dar akina fataki si wengi
2.lakini mkuu wewe nawe waonekana umo na siku moja labda ulizidiwa kete?tusameheane.we miezi miwili unatafiti tuuuu?
3.msichana mdogo anatafuta pesa kwa kazi ndogo
4.mtu mzima nae ananunua starehe kwa bei nafuu.

Mkuu ki ukweli domo zege kwa watoto wa rika hizi. Cjawahi amini.
Nilitaka kupata ukweli wa kuwa WAZEE WANAWAMENDEA WATOTO WAO BASI!
Ufataki ulianza cku nyingi pale Dar. Wakati huo nilikuwa na Bosi wangu alikuwa anawapitia watoto wa Jangwani ka kipanga vile. Anapita Kariakoo ananunua kanga kabinti kanaingizwa guest.
Bei nafuu au kuaribu watoto wa wenzake!

Hivi una binti yako unakuta yuko na huyo mbaba mtu mzima ndo wanatoka guest utafanyaje?
 
Wote ni matatizo matupu! Vibinti vikigoma kutoka iwapo hao unaowaita wazee wakija na mikoko yao! Hayo majambo yangetokea? Kwanza wamezeeka sehemu gani?
 
Mkuu ki ukweli domo zege kwa watoto wa rika hizi. Cjawahi amini.
Nilitaka kupata ukweli wa kuwa WAZEE WANAWAMENDEA WATOTO WAO BASI!
Ufataki ulianza cku nyingi pale Dar. Wakati huo nilikuwa na Bosi wangu alikuwa anawapitia watoto wa Jangwani ka kipanga vile. Anapita Kariakoo ananunua kanga kabinti kanaingizwa guest.
Bei nafuu au kuaribu watoto wa wenzake!

Hivi una binti yako unakuta yuko na huyo mbaba mtu mzima ndo wanatoka guest utafanyaje?

hapo hana shida yoyote nyumbani, unajinyima unamsomesha vizuri, anakula vzr, anavaa vzr...haaaa wengi nadhani kwenye hii mada bado hawajajua uchungu wa mtoto.
 
Eeka Mangi hivi huu utafiti wako ulikuwa unafanya practical pia maana utafiti bila kufanya practical kabisa hautoi matunda mazuri

Am afraid wasnt practically just theoretically brother. Ningekuwa mzee mbaya sana ningekula hawa kondoo wachanga
 
mTI UKISHAZEEKA HUKAUKA,
NDIPO MTEKA KUNI ANAONA UNAFAA KWA KUKOKEA MOTO
 
sijajua ina radha gani, ngoja nitajaribu, maana naelekea uzeeni.
 
sijajua ina radha gani, ngoja nitajaribu, maana naelekea uzeeni.
walah utajua kwa nini mti mkavu ndio husababisha moto ukawa mkali. mti mbichi unafaa kwa kivuli tu

Heeeeeee!Na wala usithubutu, Don't try this at home!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.Na uzee huo utajuta!
angalia huyu mti mbichi usimsikilize
 
Majibu mengine ni rahisi kupatikana hata kwenye mifano ya wanyama...

Ukiangalia mbuzi, wale waliozeeka siku zote wanapenda kula yale majani malaini ya nchani. Nadhani kwa sababu hata meno yao yanakuwa yamechoka...

Alaf wale wazee wa kule Uchagani wanajua kujipa vitu vilaini. Wakichinja mbuzi nyama laini zote; Maini, figo, Ulimi, ni mali ya mzee... we ulidhani hata kweney mambo ingine wasingechagua vilaini?
 
Na hawa watoto ndo watoaji wakubwa wa MTANDAO (TIGO) so vibabu vinaenda zibua mitaro hukoooooooo
 
Back
Top Bottom