bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Na hawa watoto ndo watoaji wakubwa wa MTANDAO (TIGO) so vibabu vinaenda zibua mitaro hukoooooooo
heeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!...........ina maana hivi vitoto mitaro yao imeziba eeeh????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hawa watoto ndo watoaji wakubwa wa MTANDAO (TIGO) so vibabu vinaenda zibua mitaro hukoooooooo
heeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!...........ina maana hivi vitoto mitaro yao imeziba eeeh????
ng'ombe hazeeki maini ati!
Vibinti vinaenda kuchuna ,wababa wanafukuza uzee :becky:
nzi kufia juu ya kidonda ni halali:smile-big:ndio mana wanafia lodge, lol
naogopa kuchangia maana aspirin ameanzisha kampeni kukataza masuala ya mtandao. itabidi tuwapakue kimya kimya sasa
Inakuwa bado myembamba, inahitaji kutanuliwa...
zina virutubisho! pia ni laini!I wonder kwa nini watu wanapenda kula bamia changa......
Hakuna lolote zaidi ya uharibifu.
mnatoooo!
kuna jirani yangu kesi iko mahakamani sasa, yeye ana 50s katoto kana 16 halafu ni ka mfanyakazi mwenzie na keshakikaza mara 3! hataria sana hii
yani wewe acha tu, na kwa historia yake hata shemeji zake wote keshamega vitoto vingi tu hapa mtaani ila ya juzi ndo kafumaniwaNa afungwe tu. Safari ya kuelekea ukonga inamsubiri kwa hamu!