The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Kimey ameuliza saloon huwa mnaenda kutizama mpira, wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wengine tena wanaongea bila kifichoCarmel mwanamke hawezi toa siri kama wanaume.
Si unaona hata wakikaa vijiweni wanavyoanza kuongea mke wa fulani, tena si mwanamke ni demu fulani yuko hivi ana ma*** ana K*** ya vile ana nini na nini sijui mambo kibaooooo mpaka wanachosha.
Hebu sema we unaweza kuanza kusema kwa wanawake wenzio eti mume wangu ana kibamia?? Au hilo tango?? Au hajatahiriwa? Zaidi utakuta unaweza kusema sipendi mume wangu alewe au awe na mwanamke mambo ya ndaaaani huwezi sema kabisa
Ni kweli wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wanawake wengine wakianza kuchambua wanaume wanachambua bila aibu tena open kabisaMmh labda ni kweli Fynest..ila binafsi sijawahi wala sifagilii!Kuna dada mmoja ye alikua anaongea mambo ya chumbani kwake kama kwa mtu yeyote na mahali popote!Nlikua namuona wa ajabu kweli!
Gaga karibu nyumbani wikiendi hii nimekuandalia bamiaMi nasema tu nahisi kama sina aibu vile!au nakingiuka maadili? ila vibamia huwa vina raha ajabu maana unaweza pata tango likasambaratisha kitu hata usione hiyo raha yenyewe, kibamia akuuu palepale panapohusika. kwa upande wa wanaume siku hizi hakuna cha kabila wala nini watu wanasoma vitabu wameelimika wamejifunza kila mtu yuko kivyake. kwa hiyo wanaume inategemea wa kwako yuko radhi kujifunza mambo mapya au vipi. ila wale wenzetu wa kuleeeee bado ubahili hawaachi naona hii haiwezekani
Kimey ameuliza saloon huwa mnaenda kutizama mpira, wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wengine tena wanaongea bila kificho
Mi nasema tu nahisi kama sina aibu vile!au nakingiuka maadili? ila vibamia huwa vina raha ajabu maana unaweza pata tango likasambaratisha kitu hata usione hiyo raha yenyewe, kibamia akuuu palepale panapohusika. kwa upande wa wanaume siku hizi hakuna cha kabila wala nini watu wanasoma vitabu wameelimika wamejifunza kila mtu yuko kivyake. kwa hiyo wanaume inategemea wa kwako yuko radhi kujifunza mambo mapya au vipi. ila wale wenzetu wa kuleeeee bado ubahili hawaachi naona hii haiwezekani
Lizzy nyie mkikaa kikundi cha wanawake huwa mnadiskasi banaa.....
Habari yake vibamiaa??? Bacha umemsikia Gaga anapenda vibamia??? Kazi kwako
Gaga karibu nyumbani wikiendi hii nimekuandalia bamia
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo, sasa nachoshangaa ni kwamba mbona wanawake wao huwa hawatoi experience zao kuhusu wanaume wa mikoa mbalimbali au nchi mbalimbali? sababu ni nini? au wamefundwa kuficha siri za wenzi wao?, au ni aibu? au hawana experience ya kutosha? ( which is understandable maana wanawake si donoa donoa kama wanaume) ni nini haswa?
Weee njoo bana hayo maswali utauliza ukiishafikaMhhhh na wewe unacho?
Ni kweli wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wanawake wengine wakianza kuchambua wanaume wanachambua bila aibu tena open kabisa
Wanawake wameumbwa na haya na wako discreet, so mara nyingi hawezi kusema siri ya aibu ya mumewe. Aibu ya mwanaume wake ni aibu yake. Lakini kwa mwanaume aibu ya mwanamke wake ni ya mwanamke wake., yeye haimuhusu.