kwa nini wanawake hawatoi sifa au kukandia?

kwa nini wanawake hawatoi sifa au kukandia?

Carmel mwanamke hawezi toa siri kama wanaume.

Si unaona hata wakikaa vijiweni wanavyoanza kuongea mke wa fulani, tena si mwanamke ni demu fulani yuko hivi ana ma*** ana K*** ya vile ana nini na nini sijui mambo kibaooooo mpaka wanachosha.

Hebu sema we unaweza kuanza kusema kwa wanawake wenzio eti mume wangu ana kibamia?? Au hilo tango?? Au hajatahiriwa? Zaidi utakuta unaweza kusema sipendi mume wangu alewe au awe na mwanamke mambo ya ndaaaani huwezi sema kabisa
Kimey ameuliza saloon huwa mnaenda kutizama mpira, wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wengine tena wanaongea bila kificho
 
Mi nasema tu nahisi kama sina aibu vile!au nakingiuka maadili? ila vibamia huwa vina raha ajabu maana unaweza pata tango likasambaratisha kitu hata usione hiyo raha yenyewe, kibamia akuuu palepale panapohusika. kwa upande wa wanaume siku hizi hakuna cha kabila wala nini watu wanasoma vitabu wameelimika wamejifunza kila mtu yuko kivyake. kwa hiyo wanaume inategemea wa kwako yuko radhi kujifunza mambo mapya au vipi. ila wale wenzetu wa kuleeeee bado ubahili hawaachi naona hii haiwezekani
 
So...so dear carmel is speaking it out....kwamba wanawake hawapendi kukiri uzoefu wao wa ngono.......
 
Mmh labda ni kweli Fynest..ila binafsi sijawahi wala sifagilii!Kuna dada mmoja ye alikua anaongea mambo ya chumbani kwake kama kwa mtu yeyote na mahali popote!Nlikua namuona wa ajabu kweli!
Ni kweli wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wanawake wengine wakianza kuchambua wanaume wanachambua bila aibu tena open kabisa
 
Mi nasema tu nahisi kama sina aibu vile!au nakingiuka maadili? ila vibamia huwa vina raha ajabu maana unaweza pata tango likasambaratisha kitu hata usione hiyo raha yenyewe, kibamia akuuu palepale panapohusika. kwa upande wa wanaume siku hizi hakuna cha kabila wala nini watu wanasoma vitabu wameelimika wamejifunza kila mtu yuko kivyake. kwa hiyo wanaume inategemea wa kwako yuko radhi kujifunza mambo mapya au vipi. ila wale wenzetu wa kuleeeee bado ubahili hawaachi naona hii haiwezekani
Gaga karibu nyumbani wikiendi hii nimekuandalia bamia
 
Kimey ameuliza saloon huwa mnaenda kutizama mpira, wewe unaweza usiwe unafanya hivyo lakini kuna wengine tena wanaongea bila kificho

Mi sisemi aisee hhhaaa yaani nianze kumwaga sifa za BE hadharani haiwezekani
 
Mi nasema tu nahisi kama sina aibu vile!au nakingiuka maadili? ila vibamia huwa vina raha ajabu maana unaweza pata tango likasambaratisha kitu hata usione hiyo raha yenyewe, kibamia akuuu palepale panapohusika. kwa upande wa wanaume siku hizi hakuna cha kabila wala nini watu wanasoma vitabu wameelimika wamejifunza kila mtu yuko kivyake. kwa hiyo wanaume inategemea wa kwako yuko radhi kujifunza mambo mapya au vipi. ila wale wenzetu wa kuleeeee bado ubahili hawaachi naona hii haiwezekani

Habari yake vibamiaa??? Bacha umemsikia Gaga anapenda vibamia??? Kazi kwako
 
Lizzy nyie mkikaa kikundi cha wanawake huwa mnadiskasi banaa.....

Kuna wengine wanadiscuss wengine huwa hawadiscuss inategemea na marafiki zako walivyo ila hata siku moja huwezi kuwa specific kwamba mume wangu yuko hivi yuko vile inakuwa story za kigeneral tu. Nafikiri hata wanaume wataongea sana lakini hawezi sem mke wangu au GF wangu yuko hivi na vile. ile mastory ya kawaida yapo tu
 
Nahitaji sana kuelewa hili, mara nyingi humu utakuta topic nyingi zinahusu wanawake wa sehemu fulani sijui watamu, sijui wanajua mapenzi, sijui wanawe utakuta wanaume wanajitoa, wanachangia kweli experience zao na wanawake wa aina mbalimbali, wenye kutoa sifa haya, wenye kutoa dharau nao wapo, sasa nachoshangaa ni kwamba mbona wanawake wao huwa hawatoi experience zao kuhusu wanaume wa mikoa mbalimbali au nchi mbalimbali? sababu ni nini? au wamefundwa kuficha siri za wenzi wao?, au ni aibu? au hawana experience ya kutosha? ( which is understandable maana wanawake si donoa donoa kama wanaume) ni nini haswa?

Hapo kwenye red ni kujitetea tu kimaneno, kivitendo ni tofauti.
Wanawake wameumbwa na aibu, ndo maana hata mwanamke akitoka nje anakuwa msiri sana tofauti na mwanaume
Ingawaje wapo wanawake wanaozungumzia wanaume walivyo, lakin still majority bado wameumbwa na aibu kuzungumzia wanaume
 
Wanawake wameumbwa na haya na wako discreet, so mara nyingi hawezi kusema siri ya aibu ya mumewe. Aibu ya mwanaume wake ni aibu yake. Lakini kwa mwanaume aibu ya mwanamke wake ni ya mwanamke wake., yeye haimuhusu.
 
nadandia hoja kiaina
niliona sredi ya MWANAUME WA KITANGA NAYE MUME?
mbona dada zetu kila mara hurudia usemi wa wanaume wa kimasai watumu au tuseme ndio hamjawasikia?
 
tunaogopa tukisema watatuona malaya😛layball:😛layball:
 
Mwanamke ambaye alelewa vizuri na amepewa mafunzo ya kuishi, hawezi kutoa siri ovyo ovyo, si hulka yetu
 
Wanawake wameumbwa na haya na wako discreet, so mara nyingi hawezi kusema siri ya aibu ya mumewe. Aibu ya mwanaume wake ni aibu yake. Lakini kwa mwanaume aibu ya mwanamke wake ni ya mwanamke wake., yeye haimuhusu.

ASante mkuu, very well said! hili ndio jibu hasa, mengine tutaongezea tu.
 
Carmel hii naona ni hulka yetu ,tumeumbwa na staha ,,,,kwa hiyo ni ngumu sana kwa wanawake kuanzisha Topic za dizain hii
 
Back
Top Bottom