Kwa nini wanawake wa kiafrika hawapendi nywele zao?

Kwa nini wanawake wa kiafrika hawapendi nywele zao?

Hata yebo tusisuke jamani na za crochet pia? Nywele km nywele yangu haina dawa kabisa na ni ndefu hadi mgongoni ila za kusuka hapo juu nasukaga sana tu,

Wigi sinaga, siyawezi nahisi hayatanipendeza yamefanya nisiyapende pia
Hongera zako mwaya kama nywele hujaiweka kitu inafika mgongoni.
 
Nadhani mleta uzi kwa huu Utandawazi inabidi uvumilie tu kwani hamna jinsi.
 
Asante shadeeya, zikinyooshwa saluni huwa siamini km ni zangu, maana nywele zetu za kiafrika zilivyo si kazi rahisi
Sina budi kusema ulipendelewa My dear. Mana kama mimi. Uuuwiiii. 🏃‍♀️
 
🙏🙏 Siku yetu leo sista.
images.jpeg
 
Kupanga ni kuchagua kwnn huumie na machaguzi ya mwenzako maisha ni huru ata hao wazunge bado wanavaa mawigi
Yan maisha ya mtu mwingne ww yakuumize ebu acheni izo
Mbona wanaume sku izi atupendi mbele tunapenda nyuma
Mbona wanaume sku izi wanakulana wao kw wao mashoga
 
Back
Top Bottom