Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa. Pacha nakugawa. 😅Natumai mleta mada anaendelea kupata miongozo 😃
Hongera zako mwaya kama nywele hujaiweka kitu inafika mgongoni.Hata yebo tusisuke jamani na za crochet pia? Nywele km nywele yangu haina dawa kabisa na ni ndefu hadi mgongoni ila za kusuka hapo juu nasukaga sana tu,
Wigi sinaga, siyawezi nahisi hayatanipendeza yamefanya nisiyapende pia
Asante shadeeya, zikinyooshwa saluni huwa siamini km ni zangu, maana nywele zetu za kiafrika zilivyo si kazi rahisiHongera zako mwaya kama nywele hujaiweka kitu inafika mgongoni.
Tutaziweka stable unasemaje mchumba..??😊Nina kipilipili toleo la kwanza nishakubaliana na hali yangu mkuu.
Sawa mchumbi 😅Tutaziweka stable unasemaje mchumba..??😊
Nami pia nimekumiss pacha.Hatari sana pacha
Halafu nimekumiss 😊
Sina budi kusema ulipendelewa My dear. Mana kama mimi. Uuuwiiii. 🏃♀️Asante shadeeya, zikinyooshwa saluni huwa siamini km ni zangu, maana nywele zetu za kiafrika zilivyo si kazi rahisi
Thanks hun, happy women's day. Nimefurahi kukuona, much love.🙏🙏 Siku yetu leo sista.
View attachment 2143118
Hata na mimi Sista. Thanks a lot. 🙏😘Thanks hun, happy women's day. Nimefurahi kukuona, much love.
Ahsante kwa kuniongezea Pacha 😅😅 Ila hata na mie nimemiss sana huenda majukumu yamembana sasa.
😂😂😂Halafu nyie ndo unakuta unazidekeza Sana,, na hazitoi shukrani,Sina budi kusema ulipendelewa My dear. Mana kama mimi. Uuuwiiii. 🏃♀️
Yaani acha tu mwaya. 🤣🤣😂😂😂Halafu nyie ndo unakuta unazidekeza Sana,, na hazitoi shukrani,