- Thread starter
- #21
masingle wapo kibaoHuko kumejaa kila mtu ana wake 2+ bado ahadi ya wale mabikra 72.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
masingle wapo kibaoHuko kumejaa kila mtu ana wake 2+ bado ahadi ya wale mabikra 72.
😂😂😂 Ni kweli kabisa.Poor Brain lete mawazo yako apa je n kwel?
Si kashasema humu? Uwe unasoma uzi vzuri, hata kama simu ni yako, usifanye kazi ya kichwa ni kuumiza shingo na kuhifadhi meno.Umepata wapi takwimu hizo?
Na mbinguni zinaenda nafsi, ndio maana imeandikwa kila nafsi itahukumiwa, sasa sijui nafsi zitaenda kufanyana?Huko kumejaa kila mtu ana wake 2+ bado ahadi ya wale mabikra 72.
Ooh! Nishakumbuka. Wee naye husahau tu?sasa dear sjakuona kitambo,,na nilkwambia nikikung'aza popote nitakuita dear,,sjui unakumbka?
Sasa hapa umechangia mada au umenitongoza😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣yaani hata nifike 30 sikukubali ng'ooo mxiuuu kwenda zako uko,,, endelea kusoma toto.😂😂😂 Ni kweli kabisa.
Maana nina kipaji cha kila anaetafuta mchumba huwa naenda moja kwa moja PM kwake japo naoata negative response ila ndo hvo wengi ni wakristo..
Kwanini ni wa kristo ndio wanaongoza?
hi ni kwa sababu
Wadada wa kikristo wengi huwa wana ongoza kwa kuringa pasipo na sababu za msingi.
Unaweza ukamtokea binti kwa nia njema tu lakini akawa analeta nyodo na maringo.
Pia wengine wanakuwa na masharti magumu sana zaidi hata ya waganga,mara uwe na gari aina flani,huwe na hela za kutosha n.k.
Wanawake wa dizaini hii huwa wanakosaga watu wakuwa nao maisha kwasababu ya masharti yao ya ajabu ajabu na tamaa.
Hi inapelekea kuwa single mpaka inafikia kipindi sasa anaanza kusumbuka huku mitandaoni
Ushauri.. kama ni mdada wa kikristo na umependwa na kijana haijatishi ni mwanafunzi au ni mfanyakazi au laah.
Wewe mlee hivo hivo maana umri unakwenda .
Waache kusumbua watu jf huku.
Mashangazi pia naomba muwe ..... Au basi niishie hapa 😂😂😂😂
dear,,nikiahidi jambo hua sisahau dear.Ooh! Nishakumbuka. Wee naye husahau tu?
Waislamu wanaooa wanawake wawili wapo wangapi?Kwasababu nature haitaki mwanaume awe na mke mmoja,matokeo yake ndio haya,na kwaujinga waliolishwa makanisani kuwa kuolewa matala ni dhambi wakati Yesu hata hakuwahi kuoa.
Kiufupi walidanganywa ndio mana wanateseka,matala ni mpango wa asili wa viumbe hai.
Upo singo?masingle wapo kibao
Nimetoa ushauri khaaa...Sasa hapa umechangia mada au umenitongoza😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣yaani hata nifike 30 sikukubali ng'ooo mxiuuu kwenda zako uko,,, endelea kusoma toto.
Usinikumbushe 😂😂😂😂😂😂😂 Utashangaa wanaotafauta hao wanaume na wenyewe ni wanaume!!
Wewe una uhakika gani km kweli ni wanawake na wakristo??
Daah! Na ulivyonikomalia, itabidi tu nibadili ID kwasabb yako.dear,,nikiahidi jambo hua sisahau dear.
Una waonea wivu bibie? aya chaaap nakuja dm kwako bibie ole wako ukatae ntakubakaWanawake wa kikristo shida ipo wapi?
NainjoiUpo singo?
Nenda uswazi. Huko ndiko kuliko na maskani ya kina Asha, Mwamtumu, Hadija etc wanagawa kama pipi. Kwao ndoa ni jambo la usiku mmoja.Kwasabb wanawake wa kikristo wanataka ndoa za heshima zisizo na mitala. Wakati upande wa pili wao wako tayari kuwa mke wa 6 ama kudanga.