Kwa nini wapiganaji waliompindua Assad hawaishambulii Israel iliyoingia ndani mwa nchi walioyoiomboa

Kwa nini wapiganaji waliompindua Assad hawaishambulii Israel iliyoingia ndani mwa nchi walioyoiomboa

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria.
Kinyume cha utaratibu.
Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama ni yawa wanamgambo wasiwe na kifaa chochote cha kijeshi cha maana.

Kwa nini hawa waasi wasiendeleze vita na Israel kama lengo lao lilikuwa ni kuikomboa Syria. Watawezaje kutawala nchi ambayo imevamiwa tayari?

Najiuliza sipati jibu, wajuvi karibuni
 
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria.
Kinyume cha utaratibu.
Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama ni yawa wanamgambo wasiwe na kifaa chochote cha kijeshi cha maana.

Kwa nini hawa waasi wasiendeleze vita na Israel kama lengo lao lilikuwa ni kuikomboa Syria. Watawezaje kutawala nchi ambayo imevamiwa tayari?

Najiuliza sipati jibu, wajuvi karibuni
Israel ni mama wa magaidi
 
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria.
Kinyume cha utaratibu.
Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama ni yawa wanamgambo wasiwe na kifaa chochote cha kijeshi cha maana.

Kwa nini hawa waasi wasiendeleze vita na Israel kama lengo lao lilikuwa ni kuikomboa Syria. Watawezaje kutawala nchi ambayo imevamiwa tayari?

Najiuliza sipati jibu, wajuvi karibuni
Tatizo lao wale Waasi walijirecord kuwa watamarch hadi Jerusalem.. Walifanya Technical foul mbaya sana.. ndio Netanyahu akasema cheki tabia yao wakakuta ni mbaya sana.. Kichekesho wamesema watavamia na Saudia pia Kaaba

Hay'at Tahrir Al-Sham (HTS) Islamist Militants In Damascus Declare: We Will Enter Al-Aqsa Mosque In Jerusalem, The Prophet's Mosque In Medina, And The Kaaba In Mecca, Just Like We Entered The Umayyad Mosque In Damascus​


And kihistoria vikundi vipo vingi and mara kwa mara huwa vinagombana so kuna safari ndefu ya kushare power iwe equal
 
Tatizo lao wale Waasi walijirecord kuwa watamatch hadi Jerusalem.. Walifanya Technical foul mbaya sana.. ndio Netanyahu akasema cheki tabia yao wakakuta ni mbaya sana.. Kichekesho wamesema watavamia na Saudia pia Kaaba

Hay'at Tahrir Al-Sham (HTS) Islamist Militants In Damascus Declare: We Will Enter Al-Aqsa Mosque In Jerusalem, The Prophet's Mosque In Medina, And The Kaaba In Mecca, Just Like We Entered The Umayyad Mosque In Damascus​


And kihistoria vikundi vipo vingi and mara kwa mara huwa vinagombana so kuna safari ndefu ya kushare power iwe equal
Nimepata mwanga
 
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria.
Kinyume cha utaratibu.
Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama ni yawa wanamgambo wasiwe na kifaa chochote cha kijeshi cha maana.

Kwa nini hawa waasi wasiendeleze vita na Israel kama lengo lao lilikuwa ni kuikomboa Syria. Watawezaje kutawala nchi ambayo imevamiwa tayari?

Najiuliza sipati jibu, wajuvi karibuni
SABABU HUWA NAISEMA HUMU SIKU ZOTE KUWA .....SABABU NI WAISIHARAMU NI WAPUMBAVU WANACHEZESHWA AKILI NA MABEBERU KAMA WAPUMBAVU
 
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria.
Kinyume cha utaratibu.
Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama ni yawa wanamgambo wasiwe na kifaa chochote cha kijeshi cha maana.

Kwa nini hawa waasi wasiendeleze vita na Israel kama lengo lao lilikuwa ni kuikomboa Syria. Watawezaje kutawala nchi ambayo imevamiwa tayari?

Najiuliza sipati jibu, wajuvi karibuni

View: https://x.com/hahussain/status/1867379904448540956
 
Israel imeingiza vifaru kwenye eneo la kijiografia la Syria.
Kinyume cha utaratibu.
Inashambulia uti wa mgongo wa jeshi lililoshindwa la Syria. Kana kwamba wanataka serikali itakayokuja hata kama ni yawa wanamgambo wasiwe na kifaa chochote cha kijeshi cha maana.

Kwa nini hawa waasi wasiendeleze vita na Israel kama lengo lao lilikuwa ni kuikomboa Syria. Watawezaje kutawala nchi ambayo imevamiwa tayari?

Najiuliza sipati jibu, wajuvi karibuni
Kuna mawili wanataka waingie wengi ili wawamalize sababu itakuwa easy kuwamaliza kwa njia ya ground force. Au kuna deal walisha fanya kati yao Israel na hao Rebels kila kitu kinawezekana. Lakini kwa watu wanao jua Military Strategy Israel ni bwege sana kuingiza majeshi yake Syria na nchi bado haipo stable anaweza kushambuliwa hata na Turkey na Jordan bila yeye kujua.
 
Kuna mawili wanataka waingie wengi ili wawamalize sababu itakuwa easy kuwamaliza kwa njia ya ground force. Au kuna deal walisha fanya kati yao Israel na hao Rebels kila kitu kinawezekana. Lakini kwa watu wanao jua Military Strategy Israel ni bwege sana kuingiza majeshi yake Syria na nchi bado haipo stable anaweza kushambuliwa hata na Turkey na Jordan bila yeye kujua.
Hata wakati waasi walivyokuwa wanateka miji ya Syria watu walisema wanaachwa waingie ndani zaidi ili wazingirwe wamalizwe.
Kuna yule msemaji wa serikali ya Iraq enzi za Sadam naye alikuwa na maneno kama haya
 
Back
Top Bottom