Kwa nini wasichana hubabaikia wenye magari na fedha?

Kwa nini wasichana hubabaikia wenye magari na fedha?

Hawakuanza leo kubabaikia hivyo vitu!!!
 
Jamani mbona mara nyingi hapa habari ni wanawake hili wanawake lile, why? I think we are being unfair to women! what about men? wangapi ambao wako tayari kuwekwa kinyumba na wamama wenye pesa ambao wanawazidi umri mara tano kwa ajili ya pesa, magari nk? si kweli kwamba wanawake wote wanapenda wanaume wenye magari, eti hicho ndo kigezo, inategemea akili ya mtu na malezi paamoja na defition yake ya mapenzi. Halafu si kweli kwamba mdada wa kawaida lets say graduate tu mwenye kazi ya kawaida ya laki sita hadi saba kwa mwezi anashindwa kununua gari ya kawaida ya million sita, kama ishu ni usafiri. Lakini inapokuja ni model gani ya gari, how expensive it is na mengine kama hayo, tutakuwa tunaongelea zaidi personal traits za tamaa ambayo ndo hupelekea kutaka vitu vya juu zaidi bila kuangalia uwezo. Lazima tukubali kuwa wanawake wengi wamebadilika na wanafight kivyao kupata magari mazuri na nyumba nzuri kwa pesa zao wenyewe, after all, wanaume wenyewe wa kuhonga wako wako wapi kama si mafisadi?

hapa hakuna kutwishana msalaba as you have said carmel, jinsia zote mbili kuna watu wanaangalia maslahi zaidi na si mapenzi ya dhati yaliyowasukuma kuwa na wenzi walio nao. si suala la wanawake tu ndo wanatabia hiyo.

wanaume wenyewe tena anakuuliza kabisa unaendesha gari gani??? (wat if I dont drive) gaddamn!!!

men!!! siku hizi sambamba sana tu!!! wanawake wajanja siku hizi tunachapa kazi na tunaji-secure wenyewe!!!!!!!
 
hapa hakuna kutwishana msalaba as you have said carmel, jinsia zote mbili kuna watu wanaangalia maslahi zaidi na si mapenzi ya dhati yaliyowasukuma kuwa na wenzi walio nao. si suala la wanawake tu ndo wanatabia hiyo.

wanaume wenyewe tena anakuuliza kabisa unaendesha gari gani??? (wat if I dont drive) gaddamn!!!

men!!! siku hizi sambamba sana tu!!! wanawake wajanja siku hizi tunachapa kazi na tunaji-secure wenyewe!!!!!!!

Hope aliyeanzisha Thread ni mwanaume! angeanzisha Mwanamke it could be the otherway round!!
What I just believe most of us interlectual women are not in this kind of shit behavior coz we are capable of owning one.
 
Hope aliyeanzisha Thread ni mwanaume! angeanzisha Mwanamke it could be the otherway round!!
What I just believe most of us interlectual women are not in this kind of shit behavior coz we are capable of owning one.

VIvian ulikwama mlimani na mvua hizi au nauli ulitumia!!!??

ngapi umeona zimeanzishwa na wanawake kulaumu wanaume hivi wanume vile!! its as if wanawake tu ndo tuna huu udhaifu.


wanawake wapo wenye juhudi ya kuchapa kazi ili wawe na vyao na si kutegeme ku-hunt wanaume sijui wenye gari and the like!!!!
 
watoto ndiyo wanababaika sana, hasa wanafunzi a hawa vibondo waliotoka vyuo juzi wananadi degree zao. Ila wanawake badilikeni, usitegemee cha nduguyo, mwanaume anafanya kazi kupata vile vitu siyo kuwa anasehemeu anatoa wewe uje na ulimbwende wako unataka mali huku hujui ametoa wapi ndiyo swala la TiGo linalopokuja utakataaa?

Akili kichwani wadada, siyo vyote ging'aavyo ukafikir ni dhahabu, vingine feki.
 
Story tamu kweli Chimu! LOL

Yaani kaka huyu kweli kaleta story. Hao ndo wale mnaowaita wa kishua sijui au kiswazi. Sasa yeye akaazime gari ya rafiki yake wakati demu mwenyewe ana gari tena kali zaidi ya aliloazima mshikaji validity ya sentence yake hapa iko wapi? Asipende kugeneralize.
 
Azima gari, weka wese, mpitie dem, weka kipupwe, fungulia mziki mzuri... She is all urs, men. Na kiada atakupa
 
Hope aliyeanzisha Thread ni mwanaume! angeanzisha Mwanamke it could be the otherway round!!
What I just believe most of us interlectual women are not in this kind of shit behavior coz we are capable of owning one.

Teh teh teh, Vivian dada yangu! ni kweli hayo unayoyasemaaaaa? just quick QNS. Idadi ya wanawake wasomi TZ ni wangapi? na Idadi ya wanawake TZ ni wangapi? Na Idadi ya wanawake wanao fanya kazi ni wangapi?.

Alafu Ref: to your statement on top

 
Hope aliyeanzisha Thread ni mwanaume! angeanzisha Mwanamke it could be the otherway round!!
What I just believe most of us interlectual women are not in this kind of shit behavior coz we are capable of owning one.

Tena nyie ndio msiseme, hamuangalii tena usafiri, mnaangalia make, type etc. hiyo attraction comes naturally mama hata kama una ndege etc

Inaweza isiwe kubabaikia, lakini ni kuadmire, its natural just like any other eflex from your body

Duh, kweli kazi ipo
 
Hope aliyeanzisha Thread ni mwanaume! angeanzisha Mwanamke it could be the otherway round!!
What I just believe most of us interlectual women are not in this kind of shit behavior coz we are capable of owning one.


1.
Please members just advise on how am I going to tell him to go on his own!! This guy has been paying my rent, DSTV bills, Fueling my Car frequently, Lots me kwakweli. But I just need to say enough now.
Jamani nashindwa nimuanzeje?
https://www.jamiiforums.com/mahusia...d-in-a-relationship-i-dont-want-to-be-in.html



Just in case u have forgotten
 
Back
Top Bottom