Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
........😀😀😀
halafu na wewe mwaka huu lazima tule pilau...!
mchango wa harusi vipi?mboni kimya/??
Hehehehee,Pilau tu? Ongezeni maombi na bht ndie awe mkuu wa maombi akisaidiwa na Kaizer,si unajua shetani naye yupo kazini? huwa hapendi kuona watu wakila pilau.
Mchango wa tareh 13 usijali shem.Ninakukumbuka sana we hujuwagi tu.
wapi Pretta sijaona hun!!! uje jana umenichunia weeee haya tu!!!
mwenzangu mi wanaishangaza hawa mamen humu......wanatupiga vijembe huku usiku hawalali wakifikiri kesho watatudanganyaje!!!
nimekumis we binti sayuni jamani loh!!! mbona hivo??
afu shetani akiona mambo yanataka kunyoooka anongeza nguvu mweeee!!!!
ZD nakumbuka ille thread ya malengo yako2010....hili la kulisha watu pilau nililiona......tuko pamoja sana!!!
We acha tu bht,lakini ashindwe na alegee kwa jina la Yesu.
kesho mwaya.bye!
We acha tu bht,lakini ashindwe na alegee kwa jina la Yesu.
kesho mwaya.bye!
Ah bwana weh... naona yupo "mute"!!!😀... Yaani intelectual leo amamua kutukaukia
Vingine havikaukiki maana alisema mwenyeweeeee leo hii anageuza usemi tusemeje mwongo au?
mpwa hapa UMEUA!.............
![]()
Wakuu hiki kijiwe kipo wapi nasikia panalipa sana naombeni msaada tafadhari week end hii nitoke na mtoto wangu wa uswazi.
Tabata karibu na njia panda ya kweda Mawenzi!!!!![]()
Wakuu hiki kijiwe kipo wapi nasikia panalipa sana naombeni msaada tafadhari week end hii nitoke na mtoto wangu wa uswazi.
mbona mimi nina 109 yangu sipati hao mademu.au kwa kuwa haina AC na FM radio ya kusikiliza Power Breakfast asubui wakati wa kwenda posta..hahaaaaa