Kwa nini wasichana hubabaikia wenye magari na fedha?

Kwa nini wasichana hubabaikia wenye magari na fedha?

1.jpg


Wakuu hiki kijiwe kipo wapi nasikia panalipa sana naombeni msaada tafadhari week end hii nitoke na mtoto wangu wa uswazi.
 
........😀😀😀
halafu na wewe mwaka huu lazima tule pilau...!
mchango wa harusi vipi?mboni kimya/??

Hehehehee,Pilau tu? Ongezeni maombi na bht ndie awe mkuu wa maombi akisaidiwa na Kaizer,si unajua shetani naye yupo kazini? huwa hapendi kuona watu wakila pilau.
Mchango wa tareh 13 usijali shem.Ninakukumbuka sana we hujuwagi tu.
 
Hehehehee,Pilau tu? Ongezeni maombi na bht ndie awe mkuu wa maombi akisaidiwa na Kaizer,si unajua shetani naye yupo kazini? huwa hapendi kuona watu wakila pilau.
Mchango wa tareh 13 usijali shem.Ninakukumbuka sana we hujuwagi tu.

afu shetani akiona mambo yanataka kunyoooka anongeza nguvu mweeee!!!!

ZD nakumbuka ille thread ya malengo yako2010....hili la kulisha watu pilau nililiona......tuko pamoja sana!!!
 
wapi Pretta sijaona hun!!! uje jana umenichunia weeee haya tu!!!

mwenzangu mi wanaishangaza hawa mamen humu......wanatupiga vijembe huku usiku hawalali wakifikiri kesho watatudanganyaje!!!

nimekumis we binti sayuni jamani loh!!! mbona hivo??

Sio kama sikutaka kuja Dear na sio kama sikukujibu kwa makusudi ile jana,ni mambo fulani tu .
BADO NINA DENI NADAIWA na wewe.
I love you my dear.
 
afu shetani akiona mambo yanataka kunyoooka anongeza nguvu mweeee!!!!

ZD nakumbuka ille thread ya malengo yako2010....hili la kulisha watu pilau nililiona......tuko pamoja sana!!!

We acha tu bht,lakini ashindwe na alegee kwa jina la Yesu.
kesho mwaya.bye!
 
Hapo mkuu umegusa pakubwa kwani kubabaika lishakuwa gonjwa baya ona fisadi anavyo babaikiwa/tetewa, mtu yupo radhi apigwe mawe lakini aendelee kumtetea, Tukiliangalia hili kwa upana zaidi sio mabinti tu tumeingiliwa/inasikitisha
 
wanaepnda sana starehe na kujichana....
 
Ah bwana weh... naona yupo "mute"!!!😀... Yaani intelectual leo amamua kutukaukia

Vingine havikaukiki maana alisema mwenyeweeeee leo hii anageuza usemi tusemeje mwongo au?

mpwa hapa UMEUA!.............

Mzee wa marungu aka hii hapa au
imebidi nikugongea big senkisi...kwa kweli! I like this.......! mi nilimchungulia bibie kiongea pale kamchunia tu lkn nikuwa nakumbuka ile mambo ya DSTV.....daah mzee kaamua kumchapa nayo ......I like JF!

dah Mkuu NL, hapo ndo nyumbani bin home!

Sijui lakini mi natekeleza wajibu kama great sinker, Jaydee mwenyewe anatujua....si unajua tena lazima ukisema uongo uwe na kumbukumbu ulidanganyaje in the past..wengine kwa mareference ndo wenyewe japo najua kwa wakulu kama nyie ndo zipo kichwani ila hamkuziweka tu hapa lol
 
Changamoto kwa wanaopigania haki za wanawake. Hafu jamaa wenye mikebe na ukwasi wa kishua ndo wenye ngebe kweli. Si ajabu wengi wao ndio washinikizaji wa mambo ya kuji-express. Hapo manyanyaso ya kijinsia yataisha kweli?
 
1.jpg


Wakuu hiki kijiwe kipo wapi nasikia panalipa sana naombeni msaada tafadhari week end hii nitoke na mtoto wangu wa uswazi.

hapo ni tabata bima mzee. ukifika tu kama unavyokiona, kipo njiani
 
Kikubwa wanachofikiri kwenye vichwa vyao ni kua kama huyu ambaye hana hata baiskeli anaweza nilisha chipsi kuku,na kunipa vihuduma vidogo vidogo vipi huyu mwenye gari?si ndo nitakimbia starehe kwake,ila kuna signature ya mwenzetu huku jamvini ambayo J.F kennedy alisema, itafikia sehemu mtu atathaminiwa kwa mali zake lakini sio kwa utu wake.
 
mbona mimi nina 109 yangu sipati hao mademu.au kwa kuwa haina AC na FM radio ya kusikiliza Power Breakfast asubui wakati wa kwenda posta..hahaaaaa
 
mbona mimi nina 109 yangu sipati hao mademu.au kwa kuwa haina AC na FM radio ya kusikiliza Power Breakfast asubui wakati wa kwenda posta..hahaaaaa

hhahahah Kigogo bana.....hizo zinabebea majani ya ng'ombe kule kwetu!

lakini ukijua mapungufu ndo kama ivo siku ya siku unaazima tu!😀
 
Back
Top Bottom