mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
leo hadi msemo "Kama kawaida" wengine wameubatiza "Kama kenya"
Uganda kumekuwa na Uchaguzi, umepita kimya...
Rwanda sijasikia hata kada au kamanda kagusa chigali kupiga promo.
Burundi hata ukiweka swali la interview Mpinzani mkuu ni nani huko Ufipa nzima wanakula F.
kwa nini kenya?
mbona wao huwa hatuwaoni wakikomaa hivyo kama huku...
Je Tanzania bila kujifananisha na kujilinganisha na kenya kwenye kila kitu haiwezekani?
NAWAZA
Uganda kumekuwa na Uchaguzi, umepita kimya...
Rwanda sijasikia hata kada au kamanda kagusa chigali kupiga promo.
Burundi hata ukiweka swali la interview Mpinzani mkuu ni nani huko Ufipa nzima wanakula F.
kwa nini kenya?
mbona wao huwa hatuwaoni wakikomaa hivyo kama huku...
Je Tanzania bila kujifananisha na kujilinganisha na kenya kwenye kila kitu haiwezekani?
NAWAZA