Yeah Mkuu...Upo sahihi mkuu...nikiangalia trend ni SUV tu...natamani kuiona hiyo BMW x7....
Then discovery waki pimp no.6 nitauza roho yangu
Umechanganya mkuu...
SUV ni Sport Utility Vehicle.
Suburban Vehicles ni kama Ford Expedition,Chevloret Tahoe na GMC Yukon.
Ni Yale masuv makubwa sana.
Zigo mbona unalo unasukuma kila sikuasante mkuu nilidhani unauwezo wa range nijisogeze uje uninunulie zawadi ya birthday li range natamani kulisukuma hili zigo
na kizigo nataka lizigoZigo mbona unalo unasukuma kila siku
[emoji23] [emoji23] [emoji23]na kizigo nataka lizigo
Mkuu naona umeacha SUV moja tamu sana AUDI Q5!Ukiangalia reviews nyingi za magari mwaka huu... G-wagon imescore marks ndogo sana.
Wakati huo huo Range Rover imechukua marks nyingi kiasi cha kupewa "Editors Choice" kuanzia Top Gear,Car Connection na Car and the Driver.
Hii ni kwa kuwa Range Rover imekua stable On and Off-road... Na lile tatizo la kuwa eti Range Rover haidumu bila kwenda Garage limeshachimbiwa kaburi.
Tatizo pekee sasa la Range Rover ni sky high price... Bei yake kweli ni nondo.
G-wagon imekuwa stable off-road but sio stable on-road pia imekuwa na fuel economy mbaya zaidi yani inakula mafuta sio mchezo.
Pia comfort na handling ya gari ni nzuri sana kwenye Range Rover kuliko G-wagon.
So Range Rover ndio mshindi hapo.
tena kiume kweli kweliG class imekaa kibabe sana.
Mkuu...Ni ilo ilo moja mkuu.
A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV) is a vehicle classified as a light truck, but operated as a family vehicle. They are similar to a large station wagon or estate car, usually equipped with four-wheel drive for on- or off-road ability
Wachache hawataelewa Sedan... kwa lugha ya wengi ni Saloon...[emoji6][emoji6][emoji6]Sport Utility Vehicles(SUVs) are hot right now...
Wabongo ndio hatuendi na ulimwengu uendavyo....
Rolls-Royce Wamezalisha Sedans tangu WWII lakini siku hizi SUVs zimekua dili... Mwaka huu wanazindua their first SUV Rolls-Royce Cullinan.
Bentley pia wamezalisha Sedans kwa miaka mingi... Mwaka jana walizindua their first SUV Bentley Bentayga.Ambayo ndio world fast SUV.
BMW mwaka huu wanazindua BMW X7 ili icompete na Range Rover... Na wameona SUVs ndio zina soko siku hizi.
Jaguar wamezindua Jaguar F-Pace mwaka huu ambayo ndio their first Suv... Kwa kuwa Sedans Kama Jaguar XJ hazina dili.
Believe me,Suvs ndio habari ya mjini duniani mda huu.
Ila kutokana na umasikini wetu wabongo Sedans Kama Toyota mark X,Camry na nyingine ndio tunaona zina maana.
Hiyo ni land cruiser v8 mkuu wamefanya minor tweaks kwenye body na ndani pia wakaweka logo ya lexus.Lexus LX 570...
Tatizo hiyo gari iko overpriced kwa sababu ya lexus logo,,,.Hakika Mkuu...
Lexus LX 570 ni Land cruiser kuanzia body mpaka interior.
Sema wameitofautisha kidogo sana.
Volvo XC90 ina konga sana nyoyo za raia huko ulaya...Ukitaka safety...go for Volvo XC90
Go for R design if you want more performance...R design ni kama AMG...Volvo XC90 ina konga sana nyoyo za raia huko ulaya...
Ni luxury... Design ni nzuri but kikubwa zaidi bei yake ni affordable.
Wameongeza option mbili now... Kuna Volvo XC90 Excellent ambayo ni luxury zaidi... Hii ni kwa wale wanaopenda kuendeshwa.
Na Volvo XC90 Hybrid ambayo ni kwa wale wanaopenda kutunza mazingira.
Hii gari ni nzuri sana Mkuu...