Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Kwa nini watu maarufu upendelea Range Rover na G-Wagon?

Upo sahihi mkuu...nikiangalia trend ni SUV tu...natamani kuiona hiyo BMW x7....
Then discovery waki pimp no.6 nitauza roho yangu
Yeah Mkuu...

BMW X7 inataka kuja kuchukua crown kwa Range Rover.

Na kwa mara ya kwanza Lamborghini wanajiunga kwenye ulimwengu wa SUVs... Lamborghini Urus is on the way...

Mkuu hujaiona 2017 Land Rover Discovery and Discovery sport?
 
Hivi ni Sport utility vehicles au ni Suburban vehicles? Au mimi ndio nachanganya?
Umechanganya mkuu...

SUV ni Sport Utility Vehicle.

Suburban Vehicles ni kama Ford Expedition,Chevloret Tahoe na GMC Yukon.

Ni Yale masuv makubwa sana.
 
Umechanganya mkuu...

SUV ni Sport Utility Vehicle.

Suburban Vehicles ni kama Ford Expedition,Chevloret Tahoe na GMC Yukon.

Ni Yale masuv makubwa sana.

Ni ilo ilo moja mkuu.

A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV) is a vehicle classified as a light truck, but operated as a family vehicle. They are similar to a large station wagon or estate car, usually equipped with four-wheel drive for on- or off-road ability
 
Ukiangalia reviews nyingi za magari mwaka huu... G-wagon imescore marks ndogo sana.

Wakati huo huo Range Rover imechukua marks nyingi kiasi cha kupewa "Editors Choice" kuanzia Top Gear,Car Connection na Car and the Driver.

Hii ni kwa kuwa Range Rover imekua stable On and Off-road... Na lile tatizo la kuwa eti Range Rover haidumu bila kwenda Garage limeshachimbiwa kaburi.

Tatizo pekee sasa la Range Rover ni sky high price... Bei yake kweli ni nondo.

G-wagon imekuwa stable off-road but sio stable on-road pia imekuwa na fuel economy mbaya zaidi yani inakula mafuta sio mchezo.

Pia comfort na handling ya gari ni nzuri sana kwenye Range Rover kuliko G-wagon.

So Range Rover ndio mshindi hapo.
Mkuu naona umeacha SUV moja tamu sana AUDI Q5!
 
Ni ilo ilo moja mkuu.

A sport utility vehicle or suburban utility vehicle (SUV) is a vehicle classified as a light truck, but operated as a family vehicle. They are similar to a large station wagon or estate car, usually equipped with four-wheel drive for on- or off-road ability
Mkuu...
Ila tofauti nadhani inakuja hapa...

Suburban Utility Vehicles zinakuwa ni kwa family zaidi na lazima ziwe na third row seats ... Range Rover au G-Wagon zina two row seats basi...

Mfano angalia hii Ford Expedition.
c4806c93f36a78a9b73d07372c846e70.jpg

c24f1f7729fb89d21e4aae7c8c1d6bf3.jpg


Ndio maana magari kama GMC Yukon au Chevloret Tahoe hawaya classify sehemu moja na hizi SUVs ndogo.

Range Rover inaitwa Sport na sio Suburban kwa kuwa unaweza kuihandle kama sport car... Ndio maana kuna Range Rover SVAutobiography Dynamic... Pia G-Wagon kuna AMG G-65 ambazo zina speed kubwa na rahisi kuzihandle.

Ford Expedition inaitwa Suburban kwa kuwa inajali space zaidi ndio maana ina room ya watu 8... So ni kwa ajili ya family zaidi.

Pia Suburban hazideal sana na speed... Tazama vizuri review za magari utaona Sport na Suburban zina chambuliwa tofauti kabisa.

Lakini zote ni SUVs..
Au unaonaje kiongozi?
 
Sport Utility Vehicles(SUVs) are hot right now...

Wabongo ndio hatuendi na ulimwengu uendavyo....

Rolls-Royce Wamezalisha Sedans tangu WWII lakini siku hizi SUVs zimekua dili... Mwaka huu wanazindua their first SUV Rolls-Royce Cullinan.

Bentley pia wamezalisha Sedans kwa miaka mingi... Mwaka jana walizindua their first SUV Bentley Bentayga.Ambayo ndio world fast SUV.

BMW mwaka huu wanazindua BMW X7 ili icompete na Range Rover... Na wameona SUVs ndio zina soko siku hizi.

Jaguar wamezindua Jaguar F-Pace mwaka huu ambayo ndio their first Suv... Kwa kuwa Sedans Kama Jaguar XJ hazina dili.

Believe me,Suvs ndio habari ya mjini duniani mda huu.

Ila kutokana na umasikini wetu wabongo Sedans Kama Toyota mark X,Camry na nyingine ndio tunaona zina maana.
Wachache hawataelewa Sedan... kwa lugha ya wengi ni Saloon...[emoji6][emoji6][emoji6]
 
Ukitaka safety...go for Volvo XC90
Volvo XC90 ina konga sana nyoyo za raia huko ulaya...

Ni luxury... Design ni nzuri but kikubwa zaidi bei yake ni affordable.

Wameongeza option mbili now... Kuna Volvo XC90 Excellent ambayo ni luxury zaidi... Hii ni kwa wale wanaopenda kuendeshwa.

Na Volvo XC90 Hybrid ambayo ni kwa wale wanaopenda kutunza mazingira.

Hii gari ni nzuri sana Mkuu...
 
Yani hata mm sielewi maana najikuta natumia tu hayo magari na nayapenda sana
 
Volvo XC90 ina konga sana nyoyo za raia huko ulaya...

Ni luxury... Design ni nzuri but kikubwa zaidi bei yake ni affordable.

Wameongeza option mbili now... Kuna Volvo XC90 Excellent ambayo ni luxury zaidi... Hii ni kwa wale wanaopenda kuendeshwa.

Na Volvo XC90 Hybrid ambayo ni kwa wale wanaopenda kutunza mazingira.

Hii gari ni nzuri sana Mkuu...
Go for R design if you want more performance...R design ni kama AMG...
 
Back
Top Bottom