Kwa nini Wazungu hutumia Uislam kutengeneza magaidi badala ya dini nyingine?

Kwa nini Wazungu hutumia Uislam kutengeneza magaidi badala ya dini nyingine?

Kwa mtazamo wangu katika dini zenye misimamo mikali Uislam ni wa mwisho. Ukifuata misimamo ya Yesu tu utakuwa zaidi ya tishio.

Kwa mujibu wa nadharia za njama (Conspiracy theories) inaonekana magaidi karibu wote huwa ni project za Wazungu.

Mfano Osama Ibn Laden alitengenezwa na US ili kuithibiti USSR Afganstan. ISIS inaonekana ni kazi ya Mossad, hata Hamas inaonekana ilianzishwa na Israel ili kumtuliza Yasser Arafat.

Najiuliza tu kwanini mabeberu wanapenda kutumia uislam kutimiza kazi zao mbaya? Kwanini wasitumie ukristo ambao wanaujua zaidi Au kutumia Uyahudi (Judaism)? Ikumbukwe Kulikuwa na vikundi vingi vya kigaidi vya kiyahudi enzi za Yesu wakiwemo Mazealoti, Wakina Barkokeba.

Najiuliza, Msingi wa mada sio uislam, ni nadharia kwamba vikundi vingi vya kigaidi ni project za Wazungu, kwa niniwatumie uislam?
Walikuwepo magaidi wa Ireland, wakatoriki na Protestant, walikuwa tishio balaa, UK aliomba po kuituliza ile Vita.
Walikuwepo magaidi wa Kule Uganda, waliokuwa wanataka kuitawala dunia kwa kutumia biblia.
Tatizo la uislam ni kiini cha ugaidi kipo ndani ya dini, ni takwa muhimu,kusilimisha kwa lazima, kuhakikisha wanaongeza idadi yao kwa kuzaa,na kuoa na kusilimisha mabinti wa Imani zingine,
Islamist na Sharia ni balaa kwa dunia, kipindi kile,ISIS wanachinja watu, baadhi ya jamaa zangu wa islam, kutunza zile video za uchinjaji kwenye simu, ilikuwa kama ufahari! Ni kitu kilikuwa kinawapa faraja na kupandisha self esteem zao,
Kwa ufupi, ukianza kuwa swala tano,na kuvaa "don't touch my shoes" Umekaribia kuwa gaidi!
Kwa, upande wa ukristo, wale walokole kama wa kakobe nk, huwa nachuki mbaya kwa mtu asieabudu kama wao, na wao ni magaidi tu, tofauti yao, wanaishia kuwa na chuki, wangepewa somo la kuua, wangeua tu kama mijaheedina mingine
 
Kwa mtazamo wangu katika dini zenye misimamo mikali Uislam ni wa mwisho. Ukifuata misimamo ya Yesu tu utakuwa zaidi ya tishio.

Kwa mujibu wa nadharia za njama (Conspiracy theories) inaonekana magaidi karibu wote huwa ni project za Wazungu.

Mfano Osama Ibn Laden alitengenezwa na US ili kuithibiti USSR Afganstan. ISIS inaonekana ni kazi ya Mossad, hata Hamas inaonekana ilianzishwa na Israel ili kumtuliza Yasser Arafat.

Najiuliza tu kwanini mabeberu wanapenda kutumia uislam kutimiza kazi zao mbaya? Kwanini wasitumie ukristo ambao wanaujua zaidi Au kutumia Uyahudi (Judaism)? Ikumbukwe Kulikuwa na vikundi vingi vya kigaidi vya kiyahudi enzi za Yesu wakiwemo Mazealoti, Wakina Barkokeba.

Najiuliza, Msingi wa mada sio uislam, ni nadharia kwamba vikundi vingi vya kigaidi ni project za Wazungu, kwa niniwatumie uislam?
Vita vya WW1 na WW2 zaidi ya watu 10M walikufa Kwa maguide wa kiislamu. Rekodi bapo haijavunjwa.
 
Walikuwepo magaidi wa Ireland, wakatoriki na Protestant, walikuwa tishio balaa, UK aliomba po kuituliza ile Vita.
Walikuwepo magaidi wa Kule Uganda, waliokuwa wanataka kuitawala dunia kwa kutumia biblia.
Tatizo la uislam ni kiini cha ugaidi kipo ndani ya dini, ni takwa muhimu,kusilimisha kwa lazima, kuhakikisha wanaongeza idadi yao kwa kuzaa,na kuoa na kusilimisha mabinti wa Imani zingine,
Islamist na Sharia ni balaa kwa dunia, kipindi kile,ISIS wanachinja watu, baadhi ya jamaa zangu wa islam, kutunza zile video za uchinjaji kwenye simu, ilikuwa kama ufahari! Ni kitu kilikuwa kinawapa faraja na kupandisha self esteem zao,
Kwa ufupi, ukianza kuwa swala tano,na kuvaa "don't touch my shoes" Umekaribia kuwa gaidi!
Kwa, upande wa ukristo, wale walokole kama wa kakobe nk, huwa nachuki mbaya kwa mtu asieabudu kama wao, na wao ni magaidi tu, tofauti yao, wanaishia kuwa na chuki, wangepewa somo la kuua, wangeua tu kama mijaheedina mingine
umesema yote upewe maua yako naafikiana na ww 100/100.
walokole na wakata suruali ni extremists. Too much of anything is harmful hapa huu msemo unapenya swadakta kabisa
 
Walikuwepo magaidi wa Ireland, wakatoriki na Protestant, walikuwa tishio balaa, UK aliomba po kuituliza ile Vita.
Walikuwepo magaidi wa Kule Uganda, waliokuwa wanataka kuitawala dunia kwa kutumia biblia.
Tatizo la uislam ni kiini cha ugaidi kipo ndani ya dini, ni takwa muhimu,kusilimisha kwa lazima, kuhakikisha wanaongeza idadi yao kwa kuzaa,na kuoa na kusilimisha mabinti wa Imani zingine,
Islamist na Sharia ni balaa kwa dunia, kipindi kile,ISIS wanachinja watu, baadhi ya jamaa zangu wa islam, kutunza zile video za uchinjaji kwenye simu, ilikuwa kama ufahari! Ni kitu kilikuwa kinawapa faraja na kupandisha self esteem zao,
Kwa ufupi, ukianza kuwa swala tano,na kuvaa "don't touch my shoes" Umekaribia kuwa gaidi!
Kwa, upande wa ukristo, wale walokole kama wa kakobe nk, huwa nachuki mbaya kwa mtu asieabudu kama wao, na wao ni magaidi tu, tofauti yao, wanaishia kuwa na chuki, wangepewa somo la kuua, wangeua tu kama

Swadakta. Nimepata mavitu.
 
Wazungu wameiathili dunia kiasi kwamba ukiona mtu kabmvaa kanzu na ndevu ndefu unaanza kuingiwa na hofu za kufanyiwa ugaidi.

Wakati wakina Yesu na wayahudi walikuwa kama walivyowaislam siasa kali leo. Mavazi.
 
Tokea mwanzo waliutengeneza Kwa dhumuni Hilo Hilo ,ndio maana hata mke wa yule nabii alikuwa ni mtawa mwenye misheni maalumu

Fafanua kidogo mkui kwa Faida ya wengi.

Mke wa Yule Nabii Mtume Mohamed alikuwa ni Mtawa wa kanisa katoliki akipishana na Mwamedi kwa miaka mingi karibu 25.

Waraqa bin Nawfal ni mtu ambaye alikuwa na ujuzi wa dini ya Kikristo Padre wa kanisa katoliki) na alikuwa ni binamu wa mkewe Khadija bint Khuwaylid, ambaye alikuwa mke wa kwanza wa Mtume Muhammad (S.A.W).

Kuna riwaya ambazo zinasema kwamba Waraqa alitabiri kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W) kabla ya kuanza kwa utume wake, na alimsaidia sana katika kuanzisha Uislamu. Waraqa alikuwa na maarifa ya Biblia na Injili, na inasemekana kuwa alikuwa amejiweka katika sehemu za kupata maarifa hayo katika enzi zake. Baadhi ya riwaya zinasema kuwa Waraqa alisoma maneno ya kwanza ya Suratul-Alaq ambayo yaliteremshwa kwa Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pango la Hira.

Waraqa alikuwa mmoja wa watu wa kwanza kusilimu, na inasemekana kuwa alikuwa ameshaandika baadhi ya vitabu ambavyo vilikuwa vinaashiria kuja kwa Mtume Muhammad (S.A.W). Hata hivyo, Waraqa alifariki kabla ya kuanza kwa utume wa Mtume Muhammad (S.A.W) na hivyo hakuwa mmoja wa Masahaba wake wa karibu
Ila alitumwa na vatcan kuanzisha hii Dimi.
 
Ugaidi ni nadharia iliyotengenezwa kuhofisha tu .ila haifungamani na uislamu hata kidogo.!

Ugaidi ni taswira iliyo nje kabisa na uislamu

Ndio maana mpaka Leo tafsiri halisi ya ugaidi haipo zaidi ya ukiwa na ndevu au ukivaa kanzu tu unaonekana una elements za ugaidi.

Kwa mfano ukiwa unaua watu alafu umechomekea mkanda nje utaonekana mwanaharakati ,mtetezi WA wanyonge au jina lingine zuri

Ila ukiua huku umefuga ndevu utaonekana gaidi !

Kwahiyo hapa tunaona kuwa kumbe ugaidi ni ndevu na sio kilicho ndani ya nafsini kwako.!

Sasa huko nje Kuna vikindu vinajinasibisha na uislamu kwa kuwa wanafuga ndevu na kubwa kanzu basi wakishika bunduku Dunia inawamulika kama magaidi wenyewe kwa akili zao fupi.!

Kusema kuwa waislamu wanatumika inaweza kuwa kweli ni waislamu wanatumika na hata wakiristo wanatumika vile vile lakin mpaka Leo tunaona wenye akili zao wanaofikiria sawa SAWA walishaona kama haya ni maigizo ili kuvunja nguvu ya uislamu lakin hawateweza mana ndio kama wanaufanyia promo uzidi kuenda mbali zaidi.....

Nawapa kisa kimoja.!
Moja katika tukio la kutisha walifanya bokoharam hapo Nigeria .Polisi wakaona sio kweli jamaa wanatuchezea basi ilipigwa ambush ya hatar wakakamatwa baadhi ya wanamgambo WA bokoharam na kuhojiwa imekuwaje wanafanya matukio ya hovyo na ikiwa dini YENU hairuhusu mbona nyie mnafanya mna dalili gani ya hivi mnavyofanya jamaa mmoja akawajibu sisi sio waislamu lakin jamaa alikuwa na kilemba kafunga ndevu nyingi vizuri na kanzu kapiga na kashika mtutu
Wao kazi Yao wakifika sehemu wanasema tu ALLAHU AKBAR raia wanakimbia hao wanafanya uvamizi na kuondoka na Mali.

Kwahiyo vitu vingine uislamu unasingiziwa tu ila ni dini njema na dini ya haki .Chunguzeni wenyewe wanaohama kutoka ukiristo kuja katika uislamu wanakuwa wamenyooka sana wanafuata dini vizur na mwisho WA siku kuwa viongozi wazuri

Mifano ni hii hapa
Bilal Philips
Yusuf estet
Malcom x
Ila upande WA pili sasa ndio kizaa zaa wao wanahama kimipango na kutafuta maisha ya kidunia.
 
Kwa mtazamo wangu katika dini zenye misimamo mikali Uislam ni wa mwisho. Ukifuata misimamo ya Yesu tu utakuwa zaidi ya tishio.

Kwa mujibu wa nadharia za njama (Conspiracy theories) inaonekana magaidi karibu wote huwa ni project za Wazungu.

Mfano Osama Ibn Laden alitengenezwa na US ili kuithibiti USSR Afganstan. ISIS inaonekana ni kazi ya Mossad, hata Hamas inaonekana ilianzishwa na Israel ili kumtuliza Yasser Arafat.

Najiuliza tu kwanini mabeberu wanapenda kutumia uislam kutimiza kazi zao mbaya? Kwanini wasitumie ukristo ambao wanaujua zaidi Au kutumia Uyahudi (Judaism)? Ikumbukwe Kulikuwa na vikundi vingi vya kigaidi vya kiyahudi enzi za Yesu wakiwemo Mazealoti, Wakina Barkokeba.

Najiuliza, Msingi wa mada sio uislam, ni nadharia kwamba vikundi vingi vya kigaidi ni project za Wazungu, kwa niniwatumie uislam?
Islam ni tawi la Vatican.
 
Jibu ni rahisi.

Hiyo dini iliundwa na Wakristo (wenye dunia) katika kutekeleza mission ngumu za kigaidi.

Hili jambo ukitaka kupata ukweli hutakiwi kuwa na mihemko ya kiimani
 
Kwa mtazamo wangu katika dini zenye misimamo mikali Uislam ni wa mwisho. Ukifuata misimamo ya Yesu tu utakuwa zaidi ya tishio.

Kwa mujibu wa nadharia za njama (Conspiracy theories) inaonekana magaidi karibu wote huwa ni project za Wazungu.

Mfano Osama Ibn Laden alitengenezwa na US ili kuithibiti USSR Afganstan. ISIS inaonekana ni kazi ya Mossad, hata Hamas inaonekana ilianzishwa na Israel ili kumtuliza Yasser Arafat.

Najiuliza tu kwanini mabeberu wanapenda kutumia uislam kutimiza kazi zao mbaya? Kwanini wasitumie ukristo ambao wanaujua zaidi Au kutumia Uyahudi (Judaism)? Ikumbukwe Kulikuwa na vikundi vingi vya kigaidi vya kiyahudi enzi za Yesu wakiwemo Mazealoti, Wakina Barkokeba.

Najiuliza, Msingi wa mada sio uislam, ni nadharia kwamba vikundi vingi vya kigaidi ni project za Wazungu, kwa niniwatumie uislam?
Takbirrrrr

Allahuakbar, Charlie Hebdo
 
Back
Top Bottom