Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,915
- 3,422
[HASHTAG]#CountDown[/HASHTAG] [HASHTAG]#MilioniYaZiada[/HASHTAG].
Zimebaki siku 17...
KWA NINI WEZI HAWATAJIRIKI...
Watu wengi wamekuwa wanashangaa watu wanaiba fedha nyingi, lakini bado wanaendelea kuwa wezi maisha yao yote.
Siyo kama hawapendi kuwa matajiri na waache kuiba, ila hawana maarifa sahihi na hawapo tayari kujitoa kwa juhudi.
Utajiri siyo fedha, utajiri ni maarifa uliyonayo, ambayo yanakuwezesha kupata fedha.
Hivyo kama unataka kuiba, usiibe fedha, bali iba maarifa. Kwa sababu fedha zinapita, ila maarifa yanadumu.
Karibu uje uibe maarifa yenye thamani ya zaidi ya milioni moja kwa shilingi eldu 35 tu.
Ni tarehe 30/10/2016.
Kupata tiketi tuwasiliane kwa namba zifuatazo; 0717396253 au 0755953887.
Karibu sana.
Zimebaki siku 17...
KWA NINI WEZI HAWATAJIRIKI...
Watu wengi wamekuwa wanashangaa watu wanaiba fedha nyingi, lakini bado wanaendelea kuwa wezi maisha yao yote.
Siyo kama hawapendi kuwa matajiri na waache kuiba, ila hawana maarifa sahihi na hawapo tayari kujitoa kwa juhudi.
Utajiri siyo fedha, utajiri ni maarifa uliyonayo, ambayo yanakuwezesha kupata fedha.
Hivyo kama unataka kuiba, usiibe fedha, bali iba maarifa. Kwa sababu fedha zinapita, ila maarifa yanadumu.
Karibu uje uibe maarifa yenye thamani ya zaidi ya milioni moja kwa shilingi eldu 35 tu.
Ni tarehe 30/10/2016.
Kupata tiketi tuwasiliane kwa namba zifuatazo; 0717396253 au 0755953887.
Karibu sana.