Kwa nlichokiona niseme watoto wa kike wa chuo wanatumika vibaya sana

Wasiojielewa wamefuata nini wanatumika hasa. Halafu wenyewe wanaona ndio ujanja. Kila weekend analala nje ya hostel. Vikiwa baa vikilewa vinaanza vingereza vingii yaani vinaonanmaisha ndio yameishia hapo.
 
Uzuri haya maisha hayacheki na yoyote.

Maisha ni rula ukipinda tu lazima yaje yakunyooshe kisawasawa, Mpaka utakubali show mwenyewe!!

Na muda huo hakuna mwenye time nao tena.

Ndio hao kutwa kucha kujazana makanisani kutafuta miujiza.
 
Wasiojielewa wamefuata nini wanatumika hasa. Halafu wenyewe wanaona ndio ujanja. Kila weekend analala nje ya hostel. Vikiwa baa vikilewa vinaanza vingereza vingii yaani vinaonanmaisha ndio yameishia hapo.
Kuna wahuni wanawafirabalaa yaan acha tu yaan mimi namuwaza mwanangu tu akikutana na libazazi dah inauma kishenzi
 
Wapi hapa moro mzee nije na mie niokoteze totoz za sua jordan.
Mbona huku badoo na tinder nawasaka siwapati
 
Uzuri haya maisha hayacheki na yoyote.

Maisha ni rula ukipinda tu lazima yaje yakunyooshe kisawasawa, Mpaka utakubali show mwenyewe!!

Na muda huo hakuna mwenye time nao tena.

Ndio hao kutwa kucha kujazana makanisani kutafuta miujiza.
Kumbuka na binti yako nae atafanywa hivyo hivyo mkuu hawa wa 2000 ndio wanawazaa wa 2025 na kuendelea una miaka mingapi?
 
Kumbuka na binti yako nae atafanywa hivyo hivyo mkuu hawa wa 2000 ndio wanawazaa wa 2025 na kuendelea una miaka mingapi?
Nitampa tahadhari na maonyo yote Akiamua kwenda kinyume na nitakacho mweleza, Litakalo mkuta limkute.

Sinaga muda wa kuhurumia wajinga na wapumbavu. Hata awe mwanangu.

Aki kataa kusikiliza maonyo yangu, Akafie mbele litakalo mkuta, limkute.

Asirudi tena nyumbani kwangu maana nitamfurumusha vibaya sana.
 
Wateja wangu wa baadae kama nabii mkuu.
 
Pacha Wake Na Likud
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…