Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzabzab your never disapointing meWacha tuwasaidie wazazu wao kuwafundisha watoto wao dunia maana wao kazi iliwashinda..
Mie ndio maana nipo 1000% na wataliban kuwa mwanamke sehemu yake yeye ni jikoni tuu. Ata shule hatakiwi kwenda
Sasa watoto wengine watazaliwajeWacha tuwasaidie wazazu wao kuwafundisha watoto wao dunia maana wao kazi iliwashinda..
Mie ndio maana nipo 1000% na wataliban kuwa mwanamke sehemu yake yeye ni jikoni tuu. Ata shule hatakiwi kwenda
wanachezesha aviator mpaka wanajinyonga.Naona mnawaongelea mabint mnasahau watoto wenu wa kiume yetu macho na wao wanapenda maisha mazur sio mabint tu .............. [emoji848]
Kwa u watoto kizaliwa mpaka wanawake waende shule ama mie sijaelewa point yako?Sasa watoto wengine watazaliwaje
Aviator tu eeh??? Walinden watoto wenu wa kiumewanachezesha aviator mpaka wanajinyonga.
Trust me my friend, only the sharpest tools in the shed never get dissapointed with my posts. So you r one of the select few who are wiseMzabzab your never disapointing me
Wacha nao tuwale tako bwanaAviator tu eeh??? Walinden watoto wenu wa kiume
I got it bro!Trust me my friend, only the sharpest tools in the shed never get dissapointed with my posts. So you r one of the select few who are wise
Ukimfundisha kuwa mwanaume toka utoto wala akikua ,hauna haja ya kumlinda.Aviator tu eeh??? Walinden watoto wenu wa kiume
Hoja yako iwekewe lamination, Kisha tumkabizi Melo aiweke pale JF HQ. 😋😋😋Wacha tuwasaidie wazazu wao kuwafundisha watoto wao dunia maana wao kazi iliwashinda..
Mie ndio maana nipo 1000% na wataliban kuwa mwanamke sehemu yake yeye ni jikoni tuu. Ata shule hatakiwi kwenda
Hao wa kiume wenye ambitions za maana wakwapi?dunia ya leo kua na mtoto wa kike 90% ni hasara
wengi wana disappoint sana wanakosa ambitions za vitu vya maana
Mleta mada amesema kweli kabisa,tabia ya mpangaji mwenzio mmoja imefanya mabinti wengi wa chuo waonekane wanatumika vibaya!?
Kiumeni ni balaa zito...... wapo wanaishi kama ndoa kabisaAviator tu eeh??? Walinden watoto wenu wa kiume