The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
🤣🤣🤣 Inachekesha na kusikitisha 😢 at the same timeKuna wahuni wanawafirabalaa yaan acha tu yaan mimi namuwaza mwanangu tu akikutana na libazazi dah inauma kishenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Inachekesha na kusikitisha 😢 at the same timeKuna wahuni wanawafirabalaa yaan acha tu yaan mimi namuwaza mwanangu tu akikutana na libazazi dah inauma kishenzi
Wajanja wale waliona hapa ukiwae dekeza hawa wanawake watakupanda kichwani na ndoa hazitadumu.🤣🤣🤣🤣 Wataleban hawataki usenge
Asante wee umekamilisha mada. Wazazi ndio chanzo kikubwa cha watoto wakike kuharibika na kuendekeza tamaaa.Ex wangu pale Mwalimu Nyerere alikuwa na rafiki yake ukouko Kigamboni, akawa anawekwa ndani na mtu mzima mwanajeshi mstaafu. Akawa anamlipia nyumba na matanuzi ila huyo binti bado anatoka na jamaa yake wa chuo mpaka sponsor akagundua akasitisha huduma kwa muda.
Baadae wakaendelea binti akapata mimba, kwao hawana uwezo kabisa akaacha chuo. Mwanaume akaanza mchukulia kawaida, nimemuona December nimeshangaa alivyochakaa.
Mara nyingi wanaofanya umalaya kama lifestyle na sio njaa huwa wanadumu sababu umalaya ni kipaji. Ila hawa watoto wa maskini wanaoishi mazingira magumu wakiingia uko angalau nao kuishi huwa wanaharibikiwa mapema.
Ukiondoa umaskini unapunguza chances 50% ya binti yako kuwa chawote uko chuoni. Ukimpa na malezi sahihi na kumfuatilia unapunguza nyingine 25% na 25% zinazobaki na factors zake yeye.
Ukiona binti yeyote ana tabia njema, utagundua mostly sio yeye bali wazazi/walezi wake.
Mzee naomba nije nikae dukani kwakonakumbuka mwaka 2019 nilikuwa na duka la vipodozi hapo mitaa ya survey hakuna rangi sijaona. Mdada yupo tayari umkule kwa spray tu ya 3500.
Nilivyopata kazi nikamuachia dogo langu mkuu sema ni wa kike sasa usije kwenda ukaanza na yeye🤣🤣🤣Mzee naomba nije nikae dukani kwako
Kwa hiyo ata dogo wako mwenyewe humuamini 🤣🤣 alooh!Nilivyopata kazi nikamuachia dogo langu mkuu sema ni wa kike sasa usije kwenda ukaanza na yeye🤣🤣🤣
Daaah unanifanya nacheka kama mjiga mkuu ujue, emb achana na hii mambo. Ila kwa ufupi mademu wa UDSM na ARDHI kwa mwaka 2019 hawana cha kunambia kwa mwaka mmoja niliokaa hapo.Kwa hiyo ata dogo wako mwenyewe humuamini 🤣🤣 alooh!
Kweli mzeya mie nipe wiki tuu nikae hapo dukani kwako. Nitakulipa 5k per day mie kukaa hapo. Mdogo wako sitamgusa na kwa kukuhakikishia hilo kwenye mkataba wetu mie naweka bodaboda yangu kama bond. Plz boro naomba just one week
Alfu kuna kademu cha ardhi hapo miaka hiyo hiyo nilika date uwiiiii.Daaah unanifanya nacheka kama mjiga mkuu ujue, emb achana na hii mambo. Ila kwa ufupi mademu wa UDSM na ARDHI kwa mwaka 2019 hawana cha kunambia kwa mwaka mmoja niliokaa hapo.
Now nipo mkoani mkuu, sipo huko nakujaga likizo tu. Ila mwezi wa nne nitakuwa mjini kuna madogo kama wanne hivi wamepata kazi hapohapo bongo nakuja kukumbushia maisha yetu ya kale.Alfu kuna kademu cha ardhi hapo miaka hiyo hiyo nilika date uwiiiii.
Nitafutie gheto la kupanga badi hapo
wapo wengi tuHao wa kiume wenye ambitions za maana wakwapi?
Naaam iko hivyo na dunia inataka watu wawili Tu mtawala na mtawaliwa so Wanajua kwamba wakiruhusu mwanamke apate elimu basi jamii Yao itatikisika kimaadili Wanaume wata struggle Sana , sitetei Sheria zao lakini Wana kitu somehow 🤣Wajanja wale waliona hapa ukiwae dekeza hawa wanawake watakupanda kichwani na ndoa hazitadumu.
Mwanamke ni kiumbe pekee dunia i akipata elimu na pesa wazo la kwanza ni kumuondoa mwanaume maishani mwake.