Kwa nlichokiona niseme watoto wa kike wa chuo wanatumika vibaya sana

Kwa nlichokiona niseme watoto wa kike wa chuo wanatumika vibaya sana

Ex wangu pale Mwalimu Nyerere alikuwa na rafiki yake ukouko Kigamboni, akawa anawekwa ndani na mtu mzima mwanajeshi mstaafu. Akawa anamlipia nyumba na matanuzi ila huyo binti bado anatoka na jamaa yake wa chuo mpaka sponsor akagundua akasitisha huduma kwa muda.

Baadae wakaendelea binti akapata mimba, kwao hawana uwezo kabisa akaacha chuo. Mwanaume akaanza mchukulia kawaida, nimemuona December nimeshangaa alivyochakaa.

Mara nyingi wanaofanya umalaya kama lifestyle na sio njaa huwa wanadumu sababu umalaya ni kipaji. Ila hawa watoto wa maskini wanaoishi mazingira magumu wakiingia uko angalau nao kuishi huwa wanaharibikiwa mapema.

Ukiondoa umaskini unapunguza chances 50% ya binti yako kuwa chawote uko chuoni. Ukimpa na malezi sahihi na kumfuatilia unapunguza nyingine 25% na 25% zinazobaki na factors zake yeye.
Ukiona binti yeyote ana tabia njema, utagundua mostly sio yeye bali wazazi/walezi wake.
Asante wee umekamilisha mada. Wazazi ndio chanzo kikubwa cha watoto wakike kuharibika na kuendekeza tamaaa.
 
Nilivyopata kazi nikamuachia dogo langu mkuu sema ni wa kike sasa usije kwenda ukaanza na yeye🤣🤣🤣
Kwa hiyo ata dogo wako mwenyewe humuamini 🤣🤣 alooh!
Kweli mzeya mie nipe wiki tuu nikae hapo dukani kwako. Nitakulipa 5k per day mie kukaa hapo. Mdogo wako sitamgusa na kwa kukuhakikishia hilo kwenye mkataba wetu mie naweka bodaboda yangu kama bond. Plz boro naomba just one week
 
Kwa hiyo ata dogo wako mwenyewe humuamini 🤣🤣 alooh!
Kweli mzeya mie nipe wiki tuu nikae hapo dukani kwako. Nitakulipa 5k per day mie kukaa hapo. Mdogo wako sitamgusa na kwa kukuhakikishia hilo kwenye mkataba wetu mie naweka bodaboda yangu kama bond. Plz boro naomba just one week
Daaah unanifanya nacheka kama mjiga mkuu ujue, emb achana na hii mambo. Ila kwa ufupi mademu wa UDSM na ARDHI kwa mwaka 2019 hawana cha kunambia kwa mwaka mmoja niliokaa hapo.
 
Wajanja wale waliona hapa ukiwae dekeza hawa wanawake watakupanda kichwani na ndoa hazitadumu.
Mwanamke ni kiumbe pekee dunia i akipata elimu na pesa wazo la kwanza ni kumuondoa mwanaume maishani mwake.
Naaam iko hivyo na dunia inataka watu wawili Tu mtawala na mtawaliwa so Wanajua kwamba wakiruhusu mwanamke apate elimu basi jamii Yao itatikisika kimaadili Wanaume wata struggle Sana , sitetei Sheria zao lakini Wana kitu somehow 🤣
 
Chuoni kwakweli mabinti asilimia kubwa wanatumika sana, Nakumbuka kipindi nasoma T.I.A, kuna mademu tulikua tunawala kwa pair,
Yani unalkuta mshikaji wangu ana demu wake, siku akitaka kumla anamwambia aje na rafiki yake, huyo rafiki yake akija wala sitongozi na mtoto analiwa,
 
Back
Top Bottom