Kwa nn mange anamwandama sana diamond kuna nini nyuma ya pazia?

Status
Not open for further replies.
Kutumia maneno ya dini isiyo yako popote nikukosa heshima nanidham kwa wenye dini husika.

Anaudhalilisha ukristo kwa faida ya dinigani?

Kwanini ameukosea adabu ukristo? Au hadhani anawadhalilisha wapenzi wake wa upande huo?

Hana adabu kabisa.
Tatizo lenu masingo mother huwa mnatoa comments kwa kupanic......hallelujah unajua maana yake au unaropoka tu..?
 
Una gombana na mtu mwenye mikataba lukuki ya kuingiza pesa huku mkataba wa Universal, kule kile kipombe cha ufaransa nk...

hii ngoma kaipigia sana promo mitandaoni na clouds fiesta tabora waliitambulisha kama ngoma mpya... kwa haya yote kwanni viewers wasifikie idadi iliyopo sasa...

Dini tuziache kama zilivyo... Islam hairuhusu haya mamiziki lakini Kiba tuna sema ni mtu wa dini ana fanya mziki... [HASHTAG]#Mzee[/HASHTAG] yusuph aliacha mziki kwa sababu ya dini, Suma Lee ameacha mziki kwasababu ya dini...

Kiba ktk maojiano ya fiesta arusha alionekana akibwia pombe ktk kopo la maji safi... na jinsi alivyo kuwa ana zungumza utaelewa kuwa alikuwa yupo tilalila

 
Kwa sababu hamwandami Kiba,oh sorry mie nimesoma heading tu.
 
Hicho ndio hasa kinachonishangaza... Huyu alimtukana matusi ya nguoni Lowassa mpaka kumzushia alijinyea kwenye kampeni akashindwa kupanda jukwaani.. Leo hii Mbowe kwenye Press conference anamu address kabisa eti amesaidia kukusanya michango ya Tundu Lissu
 
nimeona watu wamemshambulia vibaya sana na kumwambia kuwa abakize siasa tu, mambo ya miziki aachane nayo, watu naona wametukana mpaka account imebidi iwe ya private sasa,
 
Kutumia maneno ya dini isiyo yako popote nikukosa heshima nanidham kwa wenye dini husika.

Anaudhalilisha ukristo kwa faida ya dinigani?

Kwanini ameukosea adabu ukristo? Au hadhani anawadhalilisha wapenzi wake wa upande huo?

Hana adabu kabisa.
Yani amekosa maneno kabisa ya kuweka paka ameweka hilo neno,me namwita mp.uuzi sana
 
nimeona watu wamemshambulia vibaya sana na kumwambia kuwa abakize siasa tu, mambo ya miziki aachane nayo, watu naona wametukana mpaka account imebidi iwe ya private sasa,
kusoma hajui, hata picha haoni...?
 
Yaani kuwa shabiki wa diamond ndo kuwa na akili..!!? Ugomvi wa mange na diamond ulianza baada ya diamond kutoa wimbo wa kumtetea makonda"acha nikae kimya". Hapo ndo ugomvi ulianzia..!
Sorry alishawahi kusema kuwa hawezi kumfurahia Diamond wakati alimuacha mdogo wake wema, na pia juzi alipomuwish Wema Birthday yake pia aliandika kuwa hata kisa cha kumshambulia Makonda hadi issue ya vyeti fake ilisababishwa na yeye makonda baada ya kumtaja wema. Fikiri ndugu,Mange anashida na inawezekana ana tatizo ambalo anahitaji msaada zaidi ya tufikiriavyo.

Nahisi anapata faraja zaidi mtandaoni kwa anayoyafanya na anaamini anapata amani ya moyo.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…