Hiyo kupotezewa muda inakuja baada ya kufeli usaili au inakuja wakati ukiwa unaomba hy kazi?Watapata awamu nyingine nafasi zikipatikana.
Kwani kuwasomba na kuwapotezea nauli zao na muda inasaidia nini wakati ni kitu unachojua?
Unaomba kazi kwa cv, hatua ya pili ni interview sasa unaitajw watu 20k kwa nafasi 200? Kwamba hujui unataka Sifa zipi? Hujui Idadi ya Nafasi ulizonazo?Hiyo kupotezewa muda inakuja baada ya kufeli usaili au inakuja wakati ukiwa unaomba hy kazi?
Sawa, ndo nmeuliza. Kupotezewa muda inakuja muda gn? N wakati wa kuomba ajira au wakati ukiwa umefeli huo usaili?Unaomba kazi kwa cv, hatua ya pili ni interview sasa unaitajw watu 20k kwa nafasi 200? Kwamba hujui unataka Sifa zipi? Hujui Idadi ya Nafasi ulizonazo?
HaswaaNafikiri serikali ihakikishe kwenye mitaala ya elimu wanayotoa somo la Ujasiriamali linaingizwa!
Mwanafunzi ajengwe kisaikolojia kabisa kuwa hakuna ajira ikitokea basi.
Mnooo hawana matumaini teenaVijana wanapitia nyakati ngumu sana.
Hapo Tena wasahau unatoa nafasi tatu wanaomba watu 200 impossible totally.Watapata awamu nyingine nafasi zikipatikana.
Kwani kuwasomba na kuwapotezea nauli zao na muda inasaidia nini wakati ni kitu unachojua?
Hapo kuna mwalimu kapata sifuri na alitaka apangiwe kazi bila usahili aiseeeTazama hapa matokeo ya huo usaili. Huruma.
WatuKuna mtu alisema anawatafutia kazi ya kufundisha kiswahili nje ya nchi
Hakika mkuuSio kiswahili tu. Masomo yote
Sio ualimu tu kada zote
Sio kada zote tu ni Tanzania yote na Afrika kwa jumla na dunia yote.
Maisha ya leo ni wewe utakavoamua kuishii
Si suala la kawaida, huyo mtu angepatikana huenda angekuwa na simulizi fulani nyuma ya hiyo sufuri.Hapo kuna mwalimu kapata sifuri na alitaka apangiwe kazi bila usahili aiseee
Masomo kama phys na math yana unafuu mkuuSio kiswahili tu. Masomo yote
Sio ualimu tu kada zote
Sio kada zote tu ni Tanzania yote na Afrika kwa jumla na dunia yote.
Maisha ya leo ni wewe utakavoamua kuishii
Ilaumu serikali ya CCM kutokuwa na mpango wa taiga(dira ya Taiga) inayoeleweka. Kiujumla nchi hii inajiendea tu maana Hawa wazee akina wasira wanajali matumbo Yao. Na sasa wamekuja na gear ya usaili kujivua lawama wanashindwa kujua kama tunaelewa kuwa wanajivua tu lawama. Serikali isivyo na viongozi wabunifu(wanajali maslahi Yao tu). Sasa hivi wanajipigia perdiem afu yanafurahia kabisa, kiukweli wanatia hasira Sana Hawa jamaa wasio na ubunifu Kwa maslahi ya taifa Bali Kwa maslahi Yao.Usipojua na kama haujashuhudia unaweza hisi ni hadithi tu au ni jokes ukweli inasikitisha vijana nilioshuhudia vijana zaidi ya 2000 katika mkoa Fulani wakipambania nafasi ya walimu 180 nchi nzima na hao 2000 ni mkoa Mmoja sijajua mikoa mingine walioitwa kwenye usaili.
Hakika kazi ipo vijana fungeni mikanda sahau kuhusu ajira Tafuteni njia zingine za kuishi. Mungu awatie nguvu katika maisha mengine ya nje ya taaluma Yenu.