Bando la wiki
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 911
- 3,017
Hoya usiache kuweka chuma zake (ndege na magari)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe naye alijaribu kama haya ila akabomolewa.Amani kwenu wanaume wa jamiiforum
Moderater mnisaidie kuziweka vizuri hizi picha
Ana watoto watano.Mali zote hizi halafu unazaa watoto wawili tu..
😭😭😭
Ashaupata sasa afanye kuweka malengo mengine makubwa ya Kuonana na Mungu baada ya kufa😆😆Aliwahifilisika akiwa na madeni balaa. Kitendo Cha kurudi Tena kwenye game kimemjengea heshima kubwa sana.
Ndoto ya kuwa Rais alikua nayo akisema ndio kitu pekee amebakisha hapa duniani roho yake itulie.
Uzuri wa watoto wa kizungu ukiwachia mali wanatunzaAmani kwenu wanaume wa jamiiforum
Moderater mnisaidie kuziweka vizuri hizi picha
Raisi anatakiwa awe na Uchumi mzuri siyo Raisi anaiba pesa za wananchi na kujenga maghorofa yake kijijini kwao, na kuchukua pesa za wananachi na kuwagawia Maaskofu na timu za mpira wa miguu, kwa jinsi Trump alivyo na pesa ata akitoa pesa kwa Maaskofu na timu za Basketball wananchi hawata shtuka na kusema Trump fisadiAmani kwenu wanaume wa jamiiforum
Moderater mnisaidie kuziweka vizuri hizi picha
Analala kwenye chumba kimoja na kitanda kimoja kama sisiTu
Tulia bado sijamaliza
Wahuni wakataka wampige risasi ila wapi mshenzi ana kila kitu alikosa kua na urais unaambiwa hii atapiga mihula 2 na akigombea tena wa 3 wanampa tenaKula vyuma
Acha kupotosha bali ni shabiki na supporter mkubwa wa Mike Tyson. Kuna mchango mkubwa sana wa Donald Trump kwenye mafanikio ya bondia Tyson.Trump katika utafutaji wake aliwahi kuwa kibarua wa mpiganaji mmoja hivi huko zamani..
Wivuuuu wivuuuu wivuuuu zerominus10Analala kwenye chumba kimoja na kitanda kimoja kama sisi
Alikuwa ni mshauri wa fedha wa Mike Tyson mwaka 1998Trump katika utafutaji wake aliwahi kuwa kibarua wa mpiganaji mmoja hivi huko zamani..
Sio kweli mali nyingi ameridhiTrump katika utafutaji wake aliwahi kuwa kibarua wa mpiganaji mmoja hivi huko zamani..