Huyo huyo BondiaMike Tyson huyu huyu tunayemjua
Ndio huyu huyu mike tysonMike Tyson huyu huyu tunayemjua
Mama wivuuuuuuu🎶🎶🎶🎤Wivuuuu wivuuuu wivuuuu zerominus10
Ila dogo ana hela nyingiHuyu Trump hata kwenye orodha ya Forbes hayupo
Alafu kuna dogo mmoja kutoka pale Tandale, kanunua kijumba South Africa leo hii anaota kuwa Billionaire namba 1 duniani 🤣🤣🤣
Hayo majengo ukiona "Trump Tower" usifikiri mmiliki ni Trump.Amani kwenu wanaume wa jamiiforum
Moderater mnisaidie kuziweka vizuri hizi picha
hao wawili labda nao kwa mbinde.Mali zote hizi halafu unazaa watoto wawili tu..
😭😭😭
Huyu Trump hata kwenye orodha ya Forbes hayupo
Alafu kuna dogo mmoja kutoka pale Tandale, kanunua kijumba South Africa leo hii anaota kuwa Billionaire namba 1 duniani 🤣🤣🤣
Oyaa mwanaume akilia ujue kuna jamboWanaume hatuliagi hata tukifiwa