Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Kwa raha hizi huko peponi walioahidiwa waislamu na mimi naanza kutafakari

Umeisha ambiwa wanawake watakuwa na urembo zaidi ya mrembo yeyote unaemjua hapa duniani!.Mwanamke starehe yake ni urembo,yaani ndiyo kitu anachopenda.
Sasa unataka wapewe nini kingine ili wewe uone kuwa wamepewa kipendwa chao?.
🤣🤣🤣Aaaah kmk...so we starehe yako ni tungi na ngono ila wanawake urembo tu...ndo maana hawafanyi mapenzi na kunywa pombe bac...🤣hizi dini zitawafanya vichaa
 
Wanawake 70 ni moja tu ya agadir kati ya ahadi nyingi...agadir hii ni katika sector ya mapenzi tu bado kuna ahadi na prize nyingi sana ambazo mwanamke nae atapata hapa kwenye Base ya mapenzi sina eliminate sana Mungu mjuzi anajua zaidi.

Watu wanaopenda uchochezi wa kidini wanapenda sana kutumia hii sehemu ya mabikra 70 kuleta uchochezi kujenga picha kama kitu kibaya bila mantiki yoyote...Swali ni je mapenzi ni kitu kibaya??
Mkuu tendo la ndoa kwa Mungu ni uchafu haijalishi linafanywa na akina nani hivyo haliwezi kuwepo huko mbinguni mahali pake patakatifu, liliwekwa tu hapa duniani kwa ajili ya starehe na kuzaliana na ndio maana hata wanyama na viumbe vingine nao wanalifanya, na pia ndio maana hata Yesu alizaliwa bila baba tena kwa mwanamke Bikira hilo tu lilitosha kuonesha Mungu analichukuliaje tendo la ndoa
 
Kwaiyo sisi tunaopenda mishangazi na mijimama tutabaguliwa?hii mbingu mbona ya kibaguzi
🤣🤣🤣Ahadi za kutungwa au sio
Mkuu tumuombe mungu kadri tunavyojua sisi,akili za kuambiwa changanya na zako

Cheki uko Nako Kwa wagalatia papa alivyokichafua,kunamda tuingie kwenye masinagogi ili walimwengu wasitutenge,ila mfumo wa kuabudu Kila Mmoja atumie njia zake tusilazimishane
 
Kwaiyo sisi tunaopenda mishangazi na mijimama tutabaguliwa?hii mbingu mbona ya kibaguzi
🤣🤣🤣Ahadi za kutungwa au sio
Mkuu tumuombe mungu kadri tunavyojua sisi,akili za kuambiwa changanya na zako

Cheki uko Nako Kwa wagalatia papa alivyokichafua,kunamda tuingie kwenye masinagogi ili walimwengu wasitutenge,ila mfumo wa kuabudu Kila Mmoja atumie njia zake tusilazimishane
 
Oh kwenye vitu watapewa wanawake naona wengi hamna elimu kabisa, mmeelimika tu hapo kwenye kupewa mabikra 70 na pombe. Nilitamani kujua kwa upana.

Huyo hapo chini ni wakawaida sana,hupo peponi watapewa urembo mara maelfu.
JamiiForums-1649587880.jpg
 
Mwanamke apewe nini. Hapo ndiyo dini ni story za kale. Yaani waliandika wakati huo wa zamani mwanamke alikuwa hathaminiki kabisa katika jamii. Yaani haki za mwanamke zilikuwa hakuna
Zaidi ya urembo usio na mfano wa hapa duniani,wewe ulitaka wapewe nini?.

Sasa hivi Muhimbili wanafanya upasuaji wa makalio,wewe unadhani hiyo huduma inamaana gani kwa Mwanamke?.
Mwenyezi Mungu ameshataja ni kitu gani wamepewa.
 
Ili kitu kiwe na maana lazima kiwe na ukomo.

Unahangaika tu na mabrika milele? Utachoka haraka sana, labda;

Allah atoe utashi wako, uwe kama robot, unachojua ni kuzagamuana tu.

Eleweni muktadha wakuu, 'milele' haina mwisho.
Bao la peponi linachukua muda gani mkuu au hamna kukojoa huko

Na vipi mkifanya mapenzi huko mimba haziingi

Vipi watoto wachanga wakifa peponi wanakuwa wakubwa au

Anyway Allah ndo mjuzi zaidi

Sent from my SM-A145F using JamiiForums mobile app
 
Surah Al-Ahqaf Ayat 9 (46:9 Quran)
"I am not the first of the Messengers; and I do not know what shall be done with me or with you. I follow only what is revealed to me, and I am nothing but a plain wwarn
Aya mbona ipo wazi,nilijua utaleta hiyo,watu waliuliza ikiwa anawaona peponi au motoni,Aya inamalizia yeye muonyaji,afanyae wema atakua peponi,muovu motoni,Aya zingine zinasema kila nafsi inajijua Kama Ina wema au ubaya
Quran 4:29
Eat not your property amongst yourselves unjustly except it be trade amongst you,by mutual consent,and DO NOT KILL YOURSELVES (no kill one another)
 
Then baada ya hilo pumziko la millennium binadamu tunarudi duniani kuishi kama ilivopangwa tokea mwanzo na mungu alipomuumba binadamu(Adam) duniani na sio mbinguni. Kiufupi kila kitu kinarudi kama awali before Adam and Eve sinned.
Mkuu kwa hili andiko lako ina maana binadamu atakula bata peponi kwa kipindi cha mwaka mmoja tuu, kisha atarudi duniani?

Philosophy of reincarnation

According to
2 Peter 3:8–9 reads:

‘But do not forget this one thing, dear friends: With the Lord a day is like a thousand years, and a thousand years are like a day. The Lord is not slow in keeping his promise, as some understand slowness. He is patient with you, not wanting anyone to perish, but everyone to come to repentance
 
Utapeli wa kidini. Yaani wewe na akili Yako timamu unajua mtu akifa anafufuka. Siyo kweli kabisa. Halafu kusema watapewa mabikra 70 ni mawazo ya kimalaya na wakati dini inapinga uzinzi. Je wenye ukimwi na magonjwa mengine ya kuambikiza itakuwaje. Tuwe na critical thinking na siyo kufuata mkumbo tu
Hivi tukifika mbinguni tunafufuka na mikasa yetu magonjwa uzee ajali unafufuka hoihoi maisha yanaendelea hivyo?
 
Yaani unakufa na kuacha wake zako wanne duniani kisha unaenda kuzawadiwa mabikira 72 wa kunyandua huko peponi, je huo sio uzinzi, na kwa nini utelekeze wake zako waliokuzalia watoto wazuri duniani kisha ukarukie hivyo vi demu 72?
Code:
na kwa nini utelekeze wake zako waliokuzalia watoto wazuri duniani kisha ukarukie hivyo vi demu 72?

Kwanza tambua kuwa sisi wanadamu tunazaa watoto kwa faida ya Mwenyezi Mungu na siyo faida yetu.
Zaidi ya upendo wa kihisia ndani ya mzazi na mtoto,hakuna kingine.

Ni sawa tu na mfugaji aliyefuga mbuzi,mbuzi ubeba mimba na kuzaa na kumnyonyesha mtoto wake kwa Mapenzi sana.Lakini mfugaji ndiye ufurahi zaidi kwa kuwa kwake yeye ni faida kwa kuongeza idadi ya mifugo.

Mkuu,wewe zaa tu hao watoto na furahia kuwa nao,lakini hauna faida nao.
Sisi maustadhi acha tuendelee kupiga jaramba hapa duniani tukijiandaa kwenda kuchakata mbususu za warembo huko Peponi tukiwa hatuna stress tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom