Pre GE2025 Kwa Rais Samia kujifanya "Chura kiziwi" ni dharau kwa watanzania. Kwani yupo Ikulu kwa maslahi ya akina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nyerere siyo msahafu, kwamba kila alichokifanya ama kutamka basi alikuwa yuko sahihi. Nyerere ni miongoni mwa viongozi wabaya kuwahi kutokea ktk nchi hii. Bahati yake ni kuwa alitawala enzi za giza.
Mkuu sisi tuliomuona Mwl.Nyerere hakuwa mtu wa kujibu kila jambo.
Kwanza halikuwa haruhusu kumkosoa yeye kama Raisi anakupeleka detention mapema hakuna mashtaka, ukirudi huko miaka 3 au zaidi msimlie mkeo ulivyovishwa shera.
Pili hata pale akitoa ruksa ya maswali akiona swali lako ni mtego au kumuubua anakwambia kaa chini na matusi mazito mazito,watu wanashangilia sana
Usifikiri yamekwisha subiri usiku unagongewa hodi saa nane usiku na watu wasiojulikana utapelekwa pale pasipojulikana ndio upate adabu.

Pammoja na ukali wa Mwamba Nyerere zaidi ya mara 3 walipanga njama za kumpindua,vijana wa Magomeni waliteka ndege kubwa ya ATC ikiwa na abiria ikapelekwa Uingereza wakidai Nyerere aachie madaraka ya Uraisi.
Baada ya vita ya Kagera wafadhili wake Marekani walimuekea vikwazo vya kiuchumi ukazuka ulanguzi uliokubuu alishindwa kuudhibiti.

Lakini inabidi tujuwe kuwa Raisi kapewa walinzi,kapewa escorts ya magari lukuki,Anatembea kwenye red carpet, anapigiwa mizinga 21,ndio jemedari mkuu akiamrusha vita shughuli inaanza.
Jaji atatoa hukumu ya kifo lakini Raisi ndio mtoa ruksa unyongwe au la.
Uraisi ni taasisi no.1,uraisi hauna ubia.
Wanataka Raisi acheke na nyani ili avune mabuwa?
 
Reactions: G4N
Wengine wakafikia kusema alikuwa akiangalia TV Msasani na kuja kutueleza.Je,kulikuwa na mnara Gani uliokuwepo kumwezesha Mwalimu kuangalia TV na kuja kueleza masuala mbalimbali yaliokuwa yanaendelea duniani??
TVZ now ZBC ilianza kurusha matangazo yake mwaka 1967.
 

Ina maana Rais Samia anawadharau wananchi? Ni wale watu wa kusema, 'siwasikilizi, nitafanya ninavyotaka, kwani mtanifanya nini?".

Nchi inamhitaji Rais ambaye yipo kwaajili ya kuwasikiliza wananchi na kutenda yale ambayo, wananchi katika ujumla wao, wanayataka. Siyo mtu anayewapuuza.
 
Upo sahihi na hupo sahihi pia. Kiongozi unatakiwa kusikiliza lakini huwezi kulifanyia kazi kila unalolisikia. Kiongozi hutakiwi kuw kiziwi, kipofu wala bubu. Unatakiw kusikiliza, kutazama, kuchunguza, kufanya maamuzi, na kutoa kauli kwa nini umefanya maamuzi ya aina fulani na siyo vinginevyo.
 
Mzee wa mamilion, vp hawajabubujikwa na machozi?
 
Yaani Samia sijui amefikiria nini! Yaani katika vyote, kamwona chura ndiye kiumbe mzuri wa kumuiga!!
Mimi nawaza tu hilo jina likitumika kama aka yake. Simba fc itabidi wewe waangalifu kwenye kulitumia wanapowatania Yangafc
 
Reactions: G4N
Wewe ni mjinha kweli Urais ni ajira na ajira ni kwa maslahi ya Rais na familia yake siyo maslahi yako na famila yako tafuta ajira na wewe yenye maslahi kwako na familia yako,acha uninga jingeze
Akili za Bujumbura hizi.
 
Reactions: G4N
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€
 
Naanza kupata ukakasi kulitumia hili neno, japokuwa lilikuwa neno langu pendwa
 
Reactions: G4N
Watu wanaomtukana hawafanyi hivyo kukosoa bali mitusi ya nguoni. Mfano mange anasema semia anasagana. Sasa unataka ajibu upuuzi wa mange na upuuzi wa lisu. Keep calm mama ni jibu la wapumbavu akina lisu
What if hajajibu kwa sababu ni kweli Mkuu!
 
Reactions: G4N
Mkuu yote uliyo sema ni mazuri and nobody is denying that. Wananchi wanacho sema ni kuwa hali ya uchumi wao ni mbaya mno mtaani na mfukoni!

Wanasema hawaoni unafuu wowote kiuchumi Mkuu, Hawaoni tofauti ya ugumu wa maisha licha ya mazuri hayo uliyo ya taja.
 
Nyerere siyo msahafu, kwamba kila alichokifanya ama kutamka basi alikuwa yuko sahihi. Nyerere ni miongoni mwa viongozi wabaya kuwahi kutokea ktk nchi hii. Bahati yake ni kuwa alitawala enzi za giza.
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™‹β€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…