Pre GE2025 Kwa Rais Samia kujifanya "Chura kiziwi" ni dharau kwa watanzania. Kwani yupo Ikulu kwa maslahi ya akina nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ›‘οΈ
 
Prezda akijigeuza chura manake ikulu inakuwa inaongozwa na frogi sio?
Anayejua tabia za 🐸 atujuze tafazali...
Kurukaruka,makelele hasa usiku,kukaa madimbwini,ulimi mreefu....
🀣 🀣 🀣
 
Rais yuko sahihi kabisa. Asipoteze muda kuwajibu kina Pumbulu, Mdude na wapinzani wengine wasio na hoja. Akianza kujishughulisha kuwajibu atageuka dikteta. Anaepusha mengi sana
 
"...dhamira na lengo lake", la kutuuza kwa waarabu na wengineo halitatimia. Yeye mwenyewe anajuwa hivyo.
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ›‘οΈ
 
Kiukweli nilisha wai kushangazwa na ukimya wa Samia hasa nilipo angalia mamlaka yake na jinsi watu wanavyo mwongelea na namna wanavyo mwongelea with fear less

Hakili yangu ikaniambia huyu president anakitu Cha ziada zaidi ya jamii yetu unavyo mchukulia

Ana hakili

Ana subila

Anajiamini na ndio maana kafika hapo alipo

Kwa kifupi Samia Ana hueka za kiume japo ni mwanamke

Nime jalibu kum compare na jpm nimejikuta namwona jpm ni samia af Samia ni jpm

Kiukweli president tunae ila wasaidizi zake ni watu wabaya Sana kwake kwani..

Hawapendi mafanikio yake

Hawa pendi kuinuka kwake

Wana chukia juhudi zake kwa inchi na watu wake kwani hawataki aje kuwa mfano kwa vizazi vijavyo

Kiukweli Samia Hana ubaya na Tanzania ila wenye nia mbaya na Tanzania wana jitahidi kumfaya Samia awe mbaya kwa wa tanzania
 
Mkuu kuna jambo ulitaka kulisema ila umelipotezea katikati ya hoja yako.

Hujaeleweka ulitaka kusema nini!!

Kimsingi huwezi kuunga hoja na kuipinga at the same time kwenye andiko lako!!!
 
Nilikuwa nataka usije huku maana utaharibu ila ushakuja wacha twende
Wananchi wapi watanzania au watu wanaojiita watanzania huu sio
 
Mkuu kuna jambo ulitaka ulisema ila umepotezea katikati ya hoja yako. Mkuu huwezi kuunga hoja na kuipinga at the same time kwenye andiko lako!!!
Mkuu life is like magazine.
In short President ni Mungu.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ›‘οΈ
 
Mkuu kuna jambo ulitaka ulisema ila umepotezea katikati ya hoja yako. Mkuu huwezi kuunga hoja na kuipinga at the same time kwenye andiko lako!!!
Ahsante sana. Matapeli wamezidi sana siku hizi, hasa huku kwenye mitandao amabako watu hawajulikani ni akina nani..
Huyu kapiga soga zake hapa, na mwisho kasahau alichonuia kuwasilisha kwa wasomaji wake.
Sijui kama kweli alinuia kumlinganisha Nyerere na Samia, katika jambo lolote lile!
 
πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ›‘οΈ
 
Yaani Samia sijui amefikiria nini! Yaani katika vyote, kamwona chura ndiye kiumbe mzuri wa kumuiga!!
🀣 🀣 🀣 πŸ€πŸ™‹β€β™‚οΈ
 
πŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ™‹β€β™‚οΈπŸ’πŸ›‘οΈ
 
Nyerere siyo msahafu, kwamba kila alichokifanya ama kutamka basi alikuwa yuko sahihi. Nyerere ni miongoni mwa viongozi wabaya kuwahi kutokea ktk nchi hii. Bahati yake ni kuwa alitawala enzi za giza.
Kiongozi mzuri hana hata huo muda wa kusikiliza au kusoma kile ambacho mimi na wewe tunaandika huku jamii forum.
 
Rais anafanya kazi na team ya washauri.

Urais ni taasisi katika ukamilifu wake.
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…