Kwa Rais Samia nchi inakwenda bila makelele

Kwa Rais Samia nchi inakwenda bila makelele

Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.
Alhamdu lilahi yaani lami zinamiminwa HUKU kwetu siamini macho yangu yaani barabara zinatenhenezwa hakuna MASKHARA
 
Hizi sio kelele ni vicheko ??
1. Tozo mihamala na luku
2. Mfumuko wa Bei ya mafuta na vitu vingine
3. Kulazimishana chanjo
4. Miradi kusimama na hatupewi updates
5. Kila mara tunaona na kuambiwa tumepewa matrion ya shilingi ila zinapoelekezwa hatuon wala kuambiwa.


Kama hizo kwako sio kelele basi Mafisad endeleen kuneemeka tu, maana ukiona fisadi linafurahi ujue kuna mnyonge kijijini huko hana amani ya kuishi kila anapogusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pro magu hamna jema / MWAJITIA UPOFU.HAMUONI MAZURI YANAYOENDELEA,MAKWEPA KODI WENGI YAMEUMIZWA SANA ULIPAJI WA KODI NA TOZO MBALI KWA WOTE.
 
Naona ushapewa uji wa ulezi unasinzia tu saizi ...huna budi kuandika utopolo
 
Hizi sio kelele ni vicheko ??
1. Tozo mihamala na luku
2. Mfumuko wa Bei ya mafuta na vitu vingine
3. Kulazimishana chanjo
4. Miradi kusimama na hatupewi updates
5. Kila mara tunaona na kuambiwa tumepewa matrion ya shilingi ila zinapoelekezwa hatuon wala kuambiwa.


Kama hizo kwako sio kelele basi Mafisad endeleen kuneemeka tu, maana ukiona fisadi linafurahi ujue kuna mnyonge kijijini huko hana amani ya kuishi kila anapogusa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi tozo unazoziona ni kielelezo cha uadilifu wa mama Samia. Angekuwa mtu mwingine angekuwa analalamika hadharani na kusema nchi imefilisika hakuna kitu hazina. Kila mtu alikuwa anaidai serikali kuanzia watumishi, askari, wakandarasi, suppliers, wastaafu, wananchi na kila mtu. Jamaa alikuwa derever wa lori haangalii nyuma yeye ni reli, bwawa, barabara na kanda ya ziwa tu. Kama sio hizi tozo hata yeye angenyooka tu na huenda angeshaacha au kuachishwa kibarua.

Miradi mingine inalazimu aichomolee betri ili na mambo mengine yaende. Jamaa yetu alikuwa na miradi ya majukwaani isiyokuwa na uhalisia, alitembea na noti mfukoni ili kujipatia sifa za bei rahisi kama vile kununua jogoo kwa laki moja, mahindi ya kuchoma kwa sh. 10,000 kila moja huku wastaafu wakigalagala kwa kukosa stahiki zao.
 
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.
Una maana Magufuli alikuwa vuvuzela?
 
Hivi husikii misifa? Husikii tukiambiwa kuwa kila kitu ni kwa fadhila ya kiongozi wetu? Huoni viongozi wetu wanavyochezewa ngoma wakitoka kwenye ziara za kikazi? Hausikii watu wakisema "tumeagizwa kutoka juu"? Hausikii kelele za watu wakipigishwa kwata kwa sababu tu wamevaa T Shirt zinazosema kiongozi wao sio gaidi (mahakama bado haijatoa hukumu kuwa ni gaidi) au kutaka katiba mpya?

Amandla...
Mmmmh! kelele zilizopita zilizidi bhana, huku yeye, kule makonda, kwakule Sabaya, na upande ule Gambo, na huku Tabora yuko Mwanri soma iyoooo, kule dodoma kuna afande mtapata tabu saaana, camera za barabarani ndo usiseme na kule wanahanikiza kwa vifijo vya kudhalilisha viongozi wakitumbuliwa kadamnasi nna matusi ya nguoni juu.
 
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.
Mkuu yeye ndo ameuwa nchi muda mfupi sana, mnajipa moyo kwa sababu ya posho zinazowaneemesha wachache, generly Tanzania kwisha kabisa habari yake hakuna uchumi kukua wala ajira , shaghala baghala tu miripuko ya bei chakula kila kitu tafran maji, barabara , nothing new., CCM miaka 60 waliyoishi madarakani imetosha bila, Watanzania wanataka fyagio jipya.
 
Anatuumiza kimya kimya
Hakuna namna kama mnataka mamiradi makubwa ya babu yenu ya Dodoma, reli na bwawa yaendelee kujengwa, samia hana miujiza. Jamaa yetu alikuwa anayajenga kwa kunyang'anya watu hela zao, samia hawezi kunyang'anya watu kwa kuwatumia akina Sabaya na TRA. sabaya alikiri kutumwa kunyang'anya watu pesa zao ziende hazina. Ni heri njia hii ya tozo kuliko unyang'anyi.
 
Hakuna namna kama mnataka mamiradi makubwa ya babu yenu ya Dodoma, reli na bwawa yaendelee kujengwa, samia hana miujiza. Jamaa yetu alikuwa anayajenga kwa kunyang'anya watu hela zao, samia hawezi kunyang'anya watu kwa kuwatumia akina Sabaya na TRA. sabaya alikiri kutumwa kunyang'anya watu pesa zao ziende hazina. Ni heri njia hii ya tozo kuliko unyang'anyi.
Tajiri atabaki kuwa tajiri na masikini atabaki kuwa masikini.ndicho nilichogundua.
 
Mtu anaejiamini anamfukuza mwizi kimyakimya bila kupiga kelele, hata wanyama wanaojiamini habweki sana wakiona adui yao.

Kuna wakati Watanzania walitaka kuaminishwa kuwa makelele mengi hadharani ni dalili njema za kujiamini na uongozi bora, lakini sasa imedhihilika kuwa sio kelele nyingi zinazoleta matokeo chanya kwenye kila jambo. Watu tumeanza kumuelewa mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na ametufundisha somo kuwa mbwembwe nyingi sio sehemu ya uongozi bora.

Viongozi wote hata wa kwenye ngazi ya familia tumepata kiigizo chema na somo kuhusu uongozi. Sisi tunahitaji kuona matokeo maji yakitiririka kwenye mabonda, umeme ukiwaka nchi nzima, barabara zikijengwa, watoto wanakwenda shule na majambazi wakinyang'anya silaha zao hukohuko vichakani walikojificha na sio makelele ya kuyataja majina yote ya Rais mara 100 kwenye kila mkutano wakati output hakuna.

Wanawake jamaniee hawana mambo mengi, wana aibu, hawahongi na wanapenda sifa, hivyo sio wezi kama mijianaumeeee.

Tumechelewa wapi sie kuchagua wapiga dili miaka yote hiyo?? Mungu atusamehe ssi kwa dhambi hiyo.

Mwaka 2025 sintapepesa macho.

Vipi tena. CCM yenye ilani yake haitambuliwi rasmi? Rais peke yake ndio mtu au taasisi ya maana?
 
Vipi tena. CCM yenye ilani yake haitambuliwi rasmi? Rais peke yake ndio mtu au taasisi ya maana?
Awamu ya Tano haikuitambua CCM, CCM imepoteza mvuto, wakiona nyuki wanapita angani wanaimba "nyuki nenda kaingie kwenye mizinga ya Babu tulambe asali" . CCM Ina makundi yanayosubiri nyuki waingie kwenye mizinga ya babu Yao. Yaani kila kundi linafaidika kama mtu wao akikamata madaraka.
 
Hizi tozo unazoziona ni kielelezo cha uadilifu wa mama Samia. Angekuwa mtu mwingine angekuwa analalamika hadharani na kusema nchi imefilisika hakuna kitu hazina. Kila mtu alikuwa anaidai serikali kuanzia watumishi, askari, wakandarasi, suppliers, wastaafu, wananchi na kila mtu. Jamaa alikuwa derever wa lori haangalii nyuma yeye ni reli, bwawa, barabara na kanda ya ziwa tu. Kama sio hizi tozo hata yeye angenyooka tu na huenda angeshaacha au kuachishwa kibarua.

Miradi mingine inalazimu aichomolee betri ili na mambo mengine yaende. Jamaa yetu alikuwa na miradi ya majukwaani isiyokuwa na uhalisia, alitembea na noti mfukoni ili kujipatia sifa za bei rahisi kama vile kununua jogoo kwa laki moja, mahindi ya kuchoma kwa sh. 10,000 kila moja huku wastaafu wakigalagala kwa kukosa stahiki zao.
Nilijua naongea na mtu ana upeo wa akili, kumbe ni wale watu reject miongoni mwa watu.

Magu alikuwa anabadili nchi kwenda upande ambao huwez kuuona na hutakaa uuone kwa sabab umezingirwa hapo ulipo na utaona hapo ulipo na si vinginevyo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom