macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Huwezi kumuelesha mtu kama hujui namna ya kumuelewesha. Kutojua kwako kuandika maneno rahisi ya kiswahili kunaathiri uwezo wako wa kumfundisha mtu.Hapa tunaeleweshana vigezo vinavyotumika kugawa mkoa na si kushindana kwa kutukanana kama unavyofanya. Kama huwezi kushindana kwa hoja basi kaa kimya.
Tabora na morogoro ndiyo inatakiwa Lindi ina eneo kubwa lakini ni poli tu ila chato ule ni ujinga kabisaTabora, Lindi na Morogoro ndio inatakiwa kugawanywa.
Kwenye Kibondo, weka KakonkoPasipo kupotoshana,mkoa wa Chato, utajumuisha wilaya hizi: Ngara,Biharamulo, Bukombe,Kibondo na Chato yenyewe. Chuki tu, ndo zinafanya mgogoro huu kuwepo na zaidi kukuzwa kupita kiasi, hasa kwa wasiyojua taabu anayoipata mtu wa Ngara kwenda Bukoba makao makuu ya mkoa wa Kagera, kupata huduma za ana kwa ana.
Mimi sioni tatizo,chato,ichukue wilaya moja moja toka Tabora,morogoro na lindi,,,case closed..😒😒Sijajua kwanini Mwendazake alikazania kuipandisha hadhi Chato kwa kasi namna ile, kwa jicho la mbali nik kama Chato ilikuwa inakwenda kudai mamlaka kamili vile😆😅😂🤣kama maswahiba Burundi na Rwanda
Shukrani, mkuu. Nimerekebisha.Kwenye Kibondo, weka Kakonko
Hivi wewe kwa akili yako ndoho tu wilaya ya Kakonko iko geita biharamlo na Ngala zipo geita? Kwa nini zikachukuliwe wilaya za mikoa mingine ili kuunda kamkoa kwa ajili tu ya mtu mmoja? Na Dar haikumegwa tu kwa sababu ya mtuKama ni kutokana na ukubwa wa eneo basi Dar isingekuwa mkoa au Zanzibar isingekuwa na mikoa mitano. Wilaya ya Chato ina watu wengi sana ingawaje ina eneo dogo na muunganiko wa wilaya nne zinazotegemewa kuunda mkoa yaani Ngara, Chato, Kakonko na Biharamulo zina idadi ya watu zaidi ya milioni moja. Kuna mikoa ina idadi ya watu chini ya laki nane kama Lindi na Katavi.
Wewe ndiyo mshamba mkoa unagawanywa kutokana na ukubwa na sio wingi wa watu kama ingekuwa wingi wa watu basi kungekiwa na mikoa hata 100Acheni ushamba,
Kugawanya mikoa hawaangalii ukubwa wa eneo kama wengi wenu vilaza mnavyofikiria.
umeiona dar vizur lknHebu tulinganishe ukubwa wa mikoa mbalimbali tushauri mikoa inayotakiwa kugawanywa. View attachment 1828539
Mkuu unajua ulichoandika[emoji28] ? Umenifurahisha sana. Geita na shinyanga kuna mwanza kati kati, inakuaje iwe mkoa afu uruke mwanza ?Geita na shinyanga iwe mkoa mmoja,Mwanza na simiyu mkoa mmoja,njombe na Iringa iwe mmoja pia,
Na hii biashara ya kuigawa nchi mpaka lini?lazima tuwe na kikomo,wananchi wakiongezeka wanataka shule,hospitari,nyumba,sio maeneo ya watawala.
Kuanzisha mkoa maana yake ni kusogeza huduma kwa wananchi.Kwa maelezo yako ya kuangalia ukubwa wa eneo Dar isingekuwa mkoa au Zanzibar isingekuwa na mikoa mitano. Na kama wanaangalia idadi ya watu na uchumi au mapato ya eneo husika basi Chato inasitahili kuwa mkoa.
Kugawa mikoa hata sio solution ya umaskini ni kuongeza gharama za uendeshaji mfano mkoa wa tabora ndio ni mkubwa ila population ni ndogo na asilimia 90 na kitu ni mapori hayakaliwi na watu kabisa, serikali irahisishe huduma Hadi ngazi za katani na wilayani ili kuepusha wananchi kwenda had mikoani makao makuu.Geita na shinyanga iwe mkoa mmoja,Mwanza na simiyu mkoa mmoja,njombe na Iringa iwe mmoja pia,
Na hii biashara ya kuigawa nchi mpaka lini?lazima tuwe na kikomo,wananchi wakiongezeka wanataka shule,hospitari,nyumba,sio maeneo ya watawala.
Acha tuu aise yan Kweli Mungu ni Fundi sana!!! Yan huwa najiuliza angemaliza miaka kumi na ile mingine kumi kutoka kwa "ndugwai" sijui hii nchi ingekuwake!!! Nakosa jibuSijajua kwanini Mwendazake alikazania kuipandisha hadhi Chato kwa kasi namna ile, kwa jicho la mbali nik kama Chato ilikuwa inakwenda kudai mamlaka kamili vile[emoji38][emoji28][emoji23][emoji1787]kama maswahiba Burundi na Rwanda
Lile jitu ni baya mnoAisee! Asante kwa kuja na kielelezo cha ramani. Hata huko TAMISEMI hebu waliangalie hili.
Kuna mikoa mikubwa kuliko hiyo wilaya ya Chato.
Tutaitumia hii ramani kupinga uanzishwaji wa mkoa wa Chato!
Mungu wenu kafa hilo sahauKama ni kutokana na ukubwa wa eneo basi Dar isingekuwa mkoa au Zanzibar isingekuwa na mikoa mitano. Wilaya ya Chato ina watu wengi sana ingawaje ina eneo dogo na muunganiko wa wilaya nne zinazotegemewa kuunda mkoa yaani Ngara, Chato, Kakonko na Biharamulo zina idadi ya watu zaidi ya milioni moja. Kuna mikoa ina idadi ya watu chini ya laki nane kama Lindi na Katavi.
Mungu wenu hayupo hakuna mkoa wa chatoAcheni ushamba,
Kugawanya mikoa hawaangalii ukubwa wa eneo kama wengi wenu vilaza mnavyofikiria.