Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wana akili, wanajitambuaWaache tu bwashee!
Kwa ratiba hio??
Hiyo ni kuja kupokea maelekezo si kujadiliana chochote. Yaani watu wanafanya wanachokitaka si kusikiliza mawazo ya upande wa pili. Only in TanganyikaTuwekeni ushabiki kando, kinachotangazwa na kupigiwa upatu kama kikao Cha wadau wa siasa hakina Ajenda ya majadiliano hata Moja. Yaani mnafika, wanakaribishana Hadi saa Tano, Chief Hang'her anaongea kama mgeni rasmi. Saa sita wanapiga picha, "kikao" kimeisha picha zimepigwa. Imetoka hio.
Kwa wenye akili tu wanaweza kunijibu, hiki ni kikao Cha aina Gani? Cha kusalimiana? Kupiga picha na kuondoka?
Tuwenj serious, CHADEMA kwa hili wako sahihi kama wanavyokuaga sahihi siku zote
View attachment 2044549
Yes, kwahio hapa ingekua kama majumuisho. Wanatuona hatuna akiliora basi kama kungekuwa na mazungumzo ngazi ya chini yameshafanyika.
Mkutano wa CCM na wadau wake, na sio vinginevyoTuwekeni ushabiki kando, kinachotangazwa na kupigiwa upatu kama kikao Cha wadau wa siasa hakina Ajenda ya majadiliano hata Moja. Yaani mnafika, wanakaribishana Hadi saa Tano, Chief Hang'her anaongea kama mgeni rasmi. Saa sita wanapiga picha, "kikao" kimeisha picha zimepigwa. Imetoka hio.
Kwa wenye akili tu wanaweza kunijibu, hiki ni kikao Cha aina Gani? Cha kusalimiana? Kupiga picha na kuondoka?
Tuwenj serious, CHADEMA kwa hili wako sahihi kama wanavyokuaga sahihi siku zote
View attachment 2044549
Aisee 🤔🤔Tuwekeni ushabiki kando, kinachotangazwa na kupigiwa upatu kama kikao Cha wadau wa siasa hakina Ajenda ya majadiliano hata Moja. Yaani mnafika, wanakaribishana Hadi saa Tano, Chief Hang'her anaongea kama mgeni rasmi. Saa sita wanapiga picha, "kikao" kimeisha picha zimepigwa. Imetoka hio.
Kwa wenye akili tu wanaweza kunijibu, hiki ni kikao Cha aina Gani? Cha kusalimiana? Kupiga picha na kuondoka?
Tuwenj serious, CHADEMA kwa hili wako sahihi kama wanavyokuaga sahihi siku zote
View attachment 2044549
Kikao etiUhuni uliopitiliza. Sasa hiyo ni kikao au tukio la kupiga picha.
Huyu bibi kaja kutuharibia nchi yetuHiyo ni kuja kupokea maelekezo si kujadiliana chochote. Yaani watu wanafanya wanachokitaka si kusikiliza mawazo ya upande wa pili. Only in Tanganyika
Bora basi kama kungekuwa na mazungumzo ngazi ya chini yameshafanyika.
Ni sehemu ya kupiga picha basiUhuni uliopitiliza. Sasa hiyo ni kikao au tukio la kupiga picha.
Kweli tupuPesa za mabeberu znatafutwa kwa aibu sana...
Ebu waulize wakwambie faida walopata kwa kugoma kwao, wakikujibu unitag!Wana akili, wanajitambua
Simple, hawajauza utu wao Ili kuwanufaisha MiCCM. That's itEbu waulize wakwambie faida walopata kwa kugoma kwao, wakikujibu unitag!
Kumbe kwenda kwa mlango wa nyuma kupitia kwa mzee Mangula ni bora eeh?Simple, hawajauza utu wao Ili kuwanufaisha MiCCM. That's it