Uchaguzi 2020 Kwa rhetoric kama hizi, uwezekano wa jina lake kutokuwepo kwenye ballot paper unazidi kuongezeka

Uchaguzi 2020 Kwa rhetoric kama hizi, uwezekano wa jina lake kutokuwepo kwenye ballot paper unazidi kuongezeka

Hapo wala sijaona ukali wa kauli za Lissu. Nilichoona ni ukali wa hatua zilizochukuliwa dhidi ya Lissu, na serikali ya Magufuli :
1) Kuzuia bunge kumgharimia matibabu. Waziri wa Afya kuna wakati alitamka kwamba serikali iko tayari kugharimia matibabu ya Lissu, popote duniani, ali mradi ndugu zake wapeleke maombi. Hayo yalifanyika lakini serikali ikabadili msimamo. Ilionekana wazi hiyo ni amri ya Magufuli mwenyewe.
2) Serikali kuamuru Polisi wasimamishe uchunguzi dhidi ya tukio la kushambuliwa Lissu. Kwa kawaida Polisi hufungua jalada la uchunguzi na watu mbalimbali huhojiwa. Mfano majirani walioshuhudia tukio. Hapa tunaona polisi wamekataa kuanza uchunguzi, mpaka kwanza wamhoji Lissu mwenyewe na dereva wake. Kwa kauli za Polisi, na hasa IGP, inaonekana kwamba Lissu mwenyewe ndio mtuhumiwa namba moja.
3) Kufuta ubunge wa Lissu katika mazingira yenye utata.

Kwa sababu hizo kuu na zingine nyingi, serikali ya Magufuli inaonekana kumtarget Lissu kama adui na inamshambulia personally, with fatal consequences. Lissu is yet to return fire
Kamanda umejiandikisha kupiga kura?
 
Hivi nyie mnamuona Lisu yuko sawa kisaikolojia kweli?

Yule alipaswa baada ya yale yaliyomkuta akirudi akae nagalau mwaka ndio aanze siasa!

Yani kumbe hata Nayarandu bora kuliko huyu jamaa.
 
Hapo wala sijaona ukali wa kauli za Lissu. Nilichoona ni ukali wa hatua zilizochukuliwa dhidi ya Lissu, na serikali ya Magufuli :
1) Kuzuia bunge kumgharimia matibabu. Waziri wa Afya kuna wakati alitamka kwamba serikali iko tayari kugharimia matibabu ya Lissu, popote duniani, ali mradi ndugu zake wapeleke maombi. Hayo yalifanyika lakini serikali ikabadili msimamo. Ilionekana wazi hiyo ni amri ya Magufuli mwenyewe.
2) Serikali kuamuru Polisi wasimamishe uchunguzi dhidi ya tukio la kushambuliwa Lissu. Kwa kawaida Polisi hufungua jalada la uchunguzi na watu mbalimbali huhojiwa. Mfano majirani walioshuhudia tukio. Hapa tunaona polisi wamekataa kuanza uchunguzi, mpaka kwanza wamhoji Lissu mwenyewe na dereva wake. Kwa kauli za Polisi, na hasa IGP, inaonekana kwamba Lissu mwenyewe ndio mtuhumiwa namba moja.
3) Kufuta ubunge wa Lissu katika mazingira yenye utata.

Kwa sababu hizo kuu na zingine nyingi, serikali ya Magufuli inaonekana kumtarget Lissu kama adui na inamshambulia personally, with fatal consequences. Lissu is yet to return fire
Hizo sababu kwako zinaonekana zina uzito lakini hukumbuki kwamba unaongelea majungu ambayo huna uhakika nayo. Huwezi ukafanya propaganda then watu wakuamini. Nyinyi furahieni kwamba Tanzania ni nchi ambayo ipo vizuri sana katika kufanya shughuli zake hivyo mpo salama na mnalala salama pamoja na familia zenu.
 
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.

Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].

Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.

Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.

Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.

Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.


Lisu atapigws kwenye sanduku la kura October 28, mchana kweupe!
 
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.

Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].

Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.

Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.

Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.

Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.

CCM ishachukya nchi unaumia na nini?
 
Hivi nyie mnamuona Lisu yuko sawa kisaikolojia kweli?

Yule alipaswa baada ya yale yaliyomkuta akirudi akae nagalau mwaka ndio aanze siasa!

Yani kumbe hata Nayarandu bora kuliko huyu jamaa.
Nyarandu
 
Achia kichekesho. Kwa hiyo unajenga uwanja wa ndege kwa ajili ya kutegemea ndege kutua wakati wa dharura? Investment ya mabilioni itumike mara moja kwa miaka 50? Akili matope?
Duh aisee kweli huwezibkuwa hatavkiongozi wa kata. Huwezi jenga mifereji ya mvua mpaka mafuriko yatokee..?? Ndio maana ya kuwa proactive. Usisubiri majanga ndio uchukue tahadhari.
 
Nenda kamuone daktari wa masikio bwana nyani.

Huyo mwananchi kasema "wewe sii ngosha" akimaanisha wewe sio mshamba.

By the way bwana nyani kama umeghafilika hivi hadi unaamini hiyo kauli inapaswa kuwa sababu ya kuliengua jina la Lissu kwenye uchaguzi.
 
Kwa hali aliyofikia Magufuli anatakiwa apingwe kwa maneno makali na ikiwezekana kwa maandamano yasiyokoma.

Magufuli anajua kujenga barabara na madaraja tu.
 
Kwa hali aliyofikia Magufuli anatakiwa apingwe kwa maneno makali na ikiwezekana kwa maandamano yasiyokoma.

Magufuli anajua kujenga barabara na madaraja tu.
Kwani Magufuli ni fundi ujenzi?
 
Back
Top Bottom