Humu JF ukiangalia comment zote za members zinaonesha ni dhahiri watu wana mapenzi na nchi yao ndiyo maana nimekuja na thread inayotutaka sisi wanaJF kushiriki katika kutoa elimu kwa watanzania kama yafanyavyo makundi mengine mbalimbali kama CWT, TEC, n.k.
Ni sisi tu wanaJF hatujatoa tamko kuhusu zoezi zima la upigaji wa kura kwa katiba hiyo.
Ushauri wangu kama members tuwahamasishe wananchi kutokwenda kwenye vituo vya kupigia kura siku ya kupiga kura kwa sababu kuu tatu.
1: Wakuu wa mikoa , wakuu wa wilaya , wabunge na wakurugenzi wameambiwa wahakikishe katiba hiyo inapita kwa namna yoyote.
2: Nani atalinda kura zetu vituoni
3: CCM wana kawaida ya kulazimisha mambo kwa kupitisha vitu kwa nguvu huku wakidai kwamba yamepitishwa kwa maoni ya wengi hata kama si kweli.
Kwa hiyo kwa sababu hizo tatu ni afadhari kuwahamasisha wananchi wananchi kutokwenda kabisa kupiga kura kwa sababu wakienda watatumia mwanya huo kufanya maamuzi yasiyo sahihi huku wakidai wananchi wamepiga kura ya ndio kwa katiba hiyo.
Kwa mazingira hayo kwa upande wa bara ni vema kuwa ambia wananchi siku hiyo wasiende ila kwa upande wa Zanzibar waende tu mazingira yaliyopo kule ni ngumu kubadili matokeo ya hapana na kuwa ndiyo.
Ni sisi tu wanaJF hatujatoa tamko kuhusu zoezi zima la upigaji wa kura kwa katiba hiyo.
Ushauri wangu kama members tuwahamasishe wananchi kutokwenda kwenye vituo vya kupigia kura siku ya kupiga kura kwa sababu kuu tatu.
1: Wakuu wa mikoa , wakuu wa wilaya , wabunge na wakurugenzi wameambiwa wahakikishe katiba hiyo inapita kwa namna yoyote.
2: Nani atalinda kura zetu vituoni
3: CCM wana kawaida ya kulazimisha mambo kwa kupitisha vitu kwa nguvu huku wakidai kwamba yamepitishwa kwa maoni ya wengi hata kama si kweli.
Kwa hiyo kwa sababu hizo tatu ni afadhari kuwahamasisha wananchi wananchi kutokwenda kabisa kupiga kura kwa sababu wakienda watatumia mwanya huo kufanya maamuzi yasiyo sahihi huku wakidai wananchi wamepiga kura ya ndio kwa katiba hiyo.
Kwa mazingira hayo kwa upande wa bara ni vema kuwa ambia wananchi siku hiyo wasiende ila kwa upande wa Zanzibar waende tu mazingira yaliyopo kule ni ngumu kubadili matokeo ya hapana na kuwa ndiyo.