Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mchongo uliopo ni WA marketing chochote utakacho uza in marketing..2% ni yako so uki sale 30m jua 2% ni yako ni pharmaceutical companies industries na mshahara wa 350 monthly transport fee na food 4000 daily basisSasa michongo vipi mkuu
Kutembeza s ndioMchongo uliopo ni WA marketing chochote utakacho uza in marketing..2% ni yako so uki sale 30m jua 2% ni yako ni pharmaceutical companies industries na mshahara wa 350 monthly transport fee na food 4000 daily basis
Hutembez chochote wewe ni ku deal na pharmacy kutafuta oda za dawa naweza Nika ku mentor simply unakua sales representativeKutembeza s ndio
Mara mtoto mdogo 30 hajafika mara mtu mzima so which is which?Umri mdogo kuendekeza mapendi, jitafute kwanza, tafuta ela hao wanawake hawajawahi kuisha duniani na utawaacha!! Pambana toka maghetoni gadamiti weweee, acha utegemezi toka, kuzaliwa maskini sio kosa, ila kufa maskini ni kosa kenge wewe....!!
Mwaka unapinduka unawaza wanawake tu na mapenzi, bora hiyo familia wamekukata ndio uongeze mapambano gadamiti!! Hakuna atakayekuheshimu ukiwa maskini tena kijana mdogo kabisa hata 30 hujafika umeanza kulialia, una utoto mwingi sana, ushakuwa mtu mzima acha wenge
Atafute helaMara mtoto mdogo 30 hajafika mara mtu mzima so which is which?
Ahsante mkuu.Hauko nje ya mada, inaonekan una high emotional tolerance. Ni nzur coz huwez kuyumbishw na ishu kam hiz
Mmeanza nanujinga wenu wa divine intervation 🤣🤣🤣🤣🤣Ni mjasiriamali mdogo
May be wazee huona mbali, wako protective. Like you umepoteza lakin umepata mwngne along the journey. Huwenda ikatokea kwangu pia.
Nakubaliana na wewe DEVINE NATURE imechukua mkondo wako.
Thanks man
Kwema? Nisaidie namba za huyo binti kwa pm, barikiwaMimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
MY FEEDBACK
Nashukuru sana wanaJF, nimepata POSITIVE FEEDBACK nyingi.
Si za kunishusha wala kunipamba uongo, BUT zenye kunionyesh reality
Maisha ni safar moja ndefu yeny ups&down, miba na maua. Sometimes tunajifunza vitu the hard way.
Usipofunzwa na mzaz utafunzwa na walimwengu.
Now i feel relieved kuliko nilivyokuw in past days
Positively, asanteni na mbarikiwe sana walimwengu
#HAPPYNEWYEAR 2025
Una agenda gan nazo? kindly asking.Kwema? Nisaidie namba za huyo binti kwa pm, barikiwa
I believe hili jukwaa ni la kubadilishan mawazo na kupeana ushauri, sitafuti sympathy.Kwa wewe kukataliwa na kuja kutafuta sympathy humu tayari ushalamba mchanga. Kama binti anakubaliana na wazazi kuwa wewe ni kapuku ni wakati wako wa kujitathmini na uchape lapa.