Takemetochurch
Member
- Dec 29, 2024
- 83
- 140
- Thread starter
- #181
Hahahahaah 😀Tafuta pesa kiasi kwamba aanze kuwa anawahadithia watu, mnaona yule jamaa anayemiliki kampuni ABC, kidogo awe mme wangu ila basi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaah 😀Tafuta pesa kiasi kwamba aanze kuwa anawahadithia watu, mnaona yule jamaa anayemiliki kampuni ABC, kidogo awe mme wangu ila basi tu.
But how old are youhujui tu, mimba ningeshampa kitambo.
But wote wawil tumekubian many times no mimba now.
Plus sikimbii my own kids hata nikiw broke kias gan,
Nikuzwa na single maza with a deadbeat faza.
By default siwez kumsingle maza any woman, labda nife
Nitafanya hvyo asapKama una 50,000 Katoe shukrani, kuanzia sasa mambo yatanyokq
Nimekupata, pesa mbeleTafuta pesa muda huo binti anahangaika kutafuta mwenye makalio na kende (mbele na nyuma). Ukifanikiwa kujipata, binti atakuwa single maza ama amechakaa sasa yeye ndio atakuwa hana mbele wala nyuma.
Tafuta hela
Tafuta hela
Tafuta hela.
Huu ndio ushauri wangu kwako
28But how old are you
Nitaitumia kam booster bat sitoringisha, dont hate players hate the gameTumia kama fursa kusaka note then urudi kuwaringishia
Hat huyu nilikuw naye hakuw na mapenz ya kwel, otherwise angefight for me.Akudanganye rejea wimbo wa diamond "nimpende nani anasema wazuri ni wengi lakini kumpata mwenye mapenzi ya kweli ndo balaa wengi wajanja wamejawa utapeli zamaa
Sex sio big deal kwngu, nilimtak yeye.We umekula mbususu miaka mitatu free unaumia nini sasa. Tafuta mwingine kula mbususu maidha yasogee
Sasa unarudi unakuta demu kaolewa na tajiri zaidi 🤣sjui utaweka wapi sura yakoTumia kama fursa kusaka note then urudi kuwaringishia
Mwanangu wewe umejuaje kama napanda japo ni kweli upo sahihi napanda dala bado nipe kazi Sasa mkubwa kama upo dsmTena nilikua nalipiwa na mzee hio masters/ mzee alikua sahihi kwanza sikua above 25 ki kawaida japo sio Sheria at least anzisha familia 30's
Wewe umeona kigezo icho TU...unajua mzee alikua anani shepu/ alitaka niwe nani? By the way nilifuata mawazo ya wazee na Sasa Nina Maisha yangu ya uchumi wa Kati juu/ yaani uwezo wa kulipa nauli ya ndege Kama wewe unavyo lipia daladala...
Aiseeh huo mtihani mbonaKuna mwamba familia walimkataa akaenda fight akatusua akarudi wakampa mke. Pambana huenda wao ndio chachu ya wewe kufanikiwa, KUMBUKA UKITUSUA USIDATE NA MWANAMKE ASIE NA MBELE WALA NYUMA.
Hilo pigo la kimaisha na kimapenzi bado halijakamilika kwa huyo mtoto wa kichaga. Wazazi wamekuambia ukweli utamtesa mtoto wa watu. Pigo la kimaisha na la kimapenzi litakamilika ukilazimisha kumuoa ukafanikiwa. Lazima upate maumivu unayosikia sasa kwa speed ya kindege cha aviator.Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Nashusha uzi mwingne hapa JF 😀Sasa unarudi unakuta demu kaolewa na tajiri zaidi 🤣sjui utaweka wapi sura yako
Ni kwel, better now nimwache aendeHilo pigo la kimaisha na kimapenzi bado halijakamilika kwa huyo mtoto wa kichaga. Wazazi wamekuambia ukweli utamtesa mtoto wa watu. Pigo la kimaisha na la kimapenzi litakamilika ukilazimisha kumuoa ukafanikiwa. Lazima upate maumivu unayosikia sasa kwa speed ya kindege cha aviator.
Kwa mchaga jitafute kwanza tofauti na hapo utakuja kuto-wambe ndani kwako.
Mkiwa nyuma ya keyboard mnaharisha tu! Eti una thamani ya matrilioni ya pesaNina thamani ya matrilioni ya pesa. Huwezi nichukua ukanitese na njaa zako. Kama umeshindwa kutafuta pesa utawezaje kunitafuta mimi
Utajuaje sasa mkuu ukute anazo hela au yuko kijijini mpimbwe, ikwiririMkiwa nyuma ya keyboard mnaharisha tu! Eti una thamani ya matrilioni ya pesa
MPUMBAVU WEWE! 😅😅
Mwenye hela hanaga mishebeduo ya kishamba namna hiyo kama huyo mama kumbena hapo juu… eti ana thamani ya matrilioni 😅Utajuaje sasa mkuu ukute anazo hela au yuko kijijini mpimbwe, ikwiriri