Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Kwa sababu ya umasikini wangu wazazi wa binti wamenikataa

Dogo pole sana.
Ipo hivi.

Unapokua katika Hali uliyonayo wewe, unakua na Imani kwamba huyo binti ndio mzuri na anafaa kuliko wote duniani. Unakua unapata picha Kwa mba ukimuacha unaweza usipate mwingine kama yeye.

Wengi tumepitia hali hiyo. Mimi nilikuja kutambua kua yule alikua kiazi sana yaan kiazi haswa. Kama ningemuoa, ndoa ingenishinda na kama ningekomaa, ningekua mtumwa wa ndoa, yaan ndoa ingenie desha Sana na bila shaka ningekua mtu wa ajabu nisiye na maono ya wapi naenda.

Katika Dunia, Mungu kaumba wa kufanana. Changamoto huja pale anapomchelewesha kwako, yeye Mungu anakua na kusudi zuri tu, akija usimpoteze, akukute umejipanga na umeenea, sio ki pesa au mali, hapana, ki mawazo na utu uzima.

Jikaze, Sali sana, Muombe sana Mungu akuvushe salama.

Hujachelewa hata kidogo. Jipange kiutafutaji sana. Angalia channel zako za pesa zifanyie kazi haswa. Achana na kukimbizana na mapenzi, mpenzi kama huyo atakufanya ukimbizane na mapenzi kumridhisha yeye na sio kujenga maisha yenu ya baadae.

Alie wako atakuelewa vyema na mtayajenga yaliyo yenu.
very well said, ni kam umeingia umevaa viatu vyangu haswa.
Hivyo ndivyo nimekuw nikimtazam (special hakuna mwengine).
Iko funny 😀 huwenda nikituliza akili naweza kumuona KIAZI pia.

Asante san, ubarikiwe
 
Wazee wako nayo miyeyusho mkuu kwahiyo masters ndo inaoa?
Tena nilikua nalipiwa na mzee hio masters/ mzee alikua sahihi kwanza sikua above 25 ki kawaida japo sio Sheria at least anzisha familia 30's
Wewe umeona kigezo icho TU...unajua mzee alikua anani shepu/ alitaka niwe nani? By the way nilifuata mawazo ya wazee na Sasa Nina Maisha yangu ya uchumi wa Kati juu/ yaani uwezo wa kulipa nauli ya ndege Kama wewe unavyo lipia daladala...
 
Sasa usilaumu wazazi wako maana jukumu lao kwako liliisha ulipo fikisha miaka 18 tu..sasa hadi unafika late 20s means una 29 utuambie miaka yotee 11ulikuwa unafanya nini hadi uendelee kubaki ulivyo..
Swali/hoja nzur, si kila mpambanaji anatusua kw wakat.
Na kw hoja hiyo ni kwmba kila mweny 28 years old hap TZ amejipata.

Mim ndo niliyebak alone, now nahitaj maombi
 
Wewe ni red flag ..utampa binti wa watu mimba ushindwe kulea mtoto uongze idadi ya single Maza....tafuta hela
hujui tu, mimba ningeshampa kitambo.
But wote wawil tumekubian many times no mimba now.

Plus sikimbii my own kids hata nikiw broke kias gan,
Nikuzwa na single maza with a deadbeat faza.


By default siwez kumsingle maza any woman, labda nife
 
Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.

To cut long story short,

Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.

SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.

Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.

Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.

Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia

*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight

Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.

Asanteni
KUVUNJIKA KWA KOLEO SIO MWISHO WA UHUNZI MKUU.
Nitafute in box
 
Mm mtazamo kwa binti yangu ni , huyo kijana awe na
1> kijana awe na akili timamu
2> kijana awe na muonekano ili niwe na wajukuu wazuri
3> kijana asiwe shoga wa mlevi na vingine vya kufanana na hivyo.
Pesa watatafu wote.
Basi Mkuu bado una safari ndefu ya kuikata minyororo ya umasikini kiongozi.

Watu wanasema sijui tuangalie upendo mara mali ni vitu vya kupita. Huo ni uongo mali ni muhimu sana na kwa sasa mali zinaangaliwa kupitia uwezo wa uchumi wa mhusika.

Kama unataka kuwa tabaka la juu lazima uwe na uchumi imara la sivyo utabaki tabaka la chini, vizazi hadi vizazi Mkuu. Nikuibie siri, kuna baba wakwe wa maana sana kaskazini wapo tayari kukupa mtaji na kukusapoti sana ila sasa ukishakuwa na umasikini ni ngumu sana wao kukuamini kiongozi. Nadhani baba wa binti kaliwaza hilo vizuri sana.
 
Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.

To cut long story short,

Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.

SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.

Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.

Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.

Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia

*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight

Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.

Asanteni
Aisee pole sanaa kiukweli umaskini unatesa sanaa, sijajua una kazi rasmi tayari au unajishughulisha na biashara au kazi za muda mfupi? Ila uhalisia ni kwamba ni ngumu kuingia baadhi ya familia/koo na kuposa binti yao bila ya wao kujiridhisha juu ya hali yako ya kiuchumi pamoja na background ya familia yako. Hivyo basi natumia wasaa huu kukutia moyo kwamba tofauti za hali ya kiuchumi zimesabibisha utengano wa penzi lenu na huyo binti. Usikate tamaa chukua hiyo kama changamoto na uifanyie kazi, kuna siku Mungu huyu atakuinua na wale waliokukataa watatamani kuwa karibu na wewe hawatokumbuka kama walikukata. Jiambie nafsi yako "Mimi ni Yusufu lazima watakuja watu kutoka maeneo mbalimbali na kutafuta kuniona" ninekuambia hivyo kwa sababu ya hadithi ya Yusufu tunayemsoma kwenye neno la Mungu naye alitwezwa na Nduguze lakini ulifika wakati wakamtafuta kutoka Mbali. Mungu akujaalie upate KIBALI .
 
Tena nilikua nalipiwa na mzee hio masters/ mzee alikua sahihi kwanza sikua above 25 ki kawaida japo sio Sheria at least anzisha familia 30's
Wewe umeona kigezo icho TU...unajua mzee alikua anani shepu/ alitaka niwe nani? By the way nilifuata mawazo ya wazee na Sasa Nina Maisha yangu ya uchumi wa Kati juu/ yaani uwezo wa kulipa nauli ya ndege Kama wewe unavyo lipia daladala...
Hongera things worked out for you
 
Basi Mkuu bado una safari ndefu ya kuikata minyororo ya umasikini kiongozi.

Watu wanasema sijui tuangalie upendo mara mali ni vitu vya kupita. Huo ni uongo mali ni muhimu sana na kwa sasa mali zinaangaliwa kupitia uwezo wa uchumi wa mhusika.

Kama unataka kuwa tabaka la juu lazima uwe na uchumi imara la sivyo utabaki tabaka la chini, vizazi hadi vizazi Mkuu. Nikuibie siri, kuna baba wakwe wa maana sana kaskazini wapo tayari kukupa mtaji na kukusapoti sana ila sasa ukishakuwa na umasikini ni ngumu sana wao kukuamini kiongozi. Nadhani baba wa binti kaliwaza hilo vizuri sana.
Kweli kabisaa kaka uko sawa
 
Aisee pole sanaa kiukweli umaskini unatesa sanaa, sijajua una kazi rasmi tayari au unajishughulisha na biashara au kazi za muda mfupi? Ila uhalisia ni kwamba ni ngumu kuingia baadhi ya familia/koo na kuposa binti yao bila ya wao kujiridhisha juu ya hali yako ya kiuchumi pamoja na background ya familia yako. Hivyo basi natumia wasaa huu kukutia moyo kwamba tofauti za hali ya kiuchumi zimesabibisha utengano wa penzi lenu na huyo binti. Usikate tamaa chukua hiyo kama changamoto na uifanyie kazi, kuna siku Mungu huyu atakuinua na wale waliokukataa watatamani kuwa karibu na wewe hawatokumbuka kama walikukata. Jiambie nafsi yako "Mimi ni Yusufu lazima watakuja watu kutoka maeneo mbalimbali na kutafuta kuniona" ninekuambia hivyo kwa sababu ya hadithi ya Yusufu tunayemsoma kwenye neno la Mungu naye alitwezwa na Nduguze lakini ulifika wakati wakamtafuta kutoka Mbali. Mungu akujaalie upate KIBALI .
Ameeen
Mim ni mjasirimali mdogo, bado najitafuta.
Nimeelewa kile umenena, sikufit vigezo vya familia ya binti.
Nitaishi kw hii "Mimi ni Yusufu lazima watakuja watu kutoka maeneo mbalimbali na kutafuta kuniona"

Be blessed
 
Basi Mkuu bado una safari ndefu ya kuikata minyororo ya umasikini kiongozi.

Watu wanasema sijui tuangalie upendo mara mali ni vitu vya kupita. Huo ni uongo mali ni muhimu sana na kwa sasa mali zinaangaliwa kupitia uwezo wa uchumi wa mhusika.

Kama unataka kuwa tabaka la juu lazima uwe na uchumi imara la sivyo utabaki tabaka la chini, vizazi hadi vizazi Mkuu. Nikuibie siri, kuna baba wakwe wa maana sana kaskazini wapo tayari kukupa mtaji na kukusapoti sana ila sasa ukishakuwa na umasikini ni ngumu sana wao kukuamini kiongozi. Nadhani baba wa binti kaliwaza hilo vizuri sana.
Nawez kukubaliana na ww, ila nasikitika wamenihukumu mapema sana.
Lakin kw kuwa ni kaskazin nawez nikaelew kwa nn.

Pia natambua hierachy of wealthy, watu huishi kw level zao. But kuna kupanda na kushuka.
mwisho siku im not their level nakubal hilo
 
Back
Top Bottom